permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Inaonekana una chuki za wazi na ukatoliki, hebu tuambie hao waliokuwa mstari wa mbele kupigania huo uhuru??Mkuu malcolm Lumumba heshima kwako..
Natamani elimu uliyonayo tuisambaze Kwa watoto wengi humu na Tanzania nzima..
Umesahau kutaja madhambi ya wakatoliki
Kwa wapigania Uhuru wa Tanganyika..
Yako mengi Sana ikiwemo Ku influence mfumo wa elimu uliowasafisha...
Hata wakatoliki wengi kama kina Msekwa hawakuwepo kabisa katika harakati za kudai uhuru...Mwalimu alishirikiana na kina Kawawa na wengine but Uhuru ulivyopatikana Tu wakawa frontline ku influence
Hata mimi nakataa siyo kweliUmepuyanga sana mzee, hivi wakati unaandika huu upupu hukushtuka tu kuwa Kikwete na Dr. Bilali sio Wakatoliki? Na walikuwa katika nafasi ulizotaja ya kuwa mmoja wapi ni lazima awe Mkatoliki?
Umekula maharage ya wapi mkuu mpaka umevimbiwa? Malizia pilau kwa shemeji yako ulale!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mbona lowasa hakua mkatoliki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dhehebu gani?
Hii huduma watu huitafuta wenyewe!Udangaji ulionao pia ni Mzigo mkubwa.
Wewe jamaa zwazwa sana, utakuwa na roho ya kichawi...maana siyo kwa kujibizana huku na kila mtu...naona unajificha kwenye ID nyingi sababu ya upopoma..
Mpumbavu mamako mbwa wewe! Unakuja jukwaani na stress zako shenzy type!!Naona Wapumbavu mnasapotiana sana.
Fanya kazi ,, uzembe wako ni mzigo wako mwenyewe.Umenijibu Kishoga mno je ni Mwenzao?
Vatican hawahawa ambao juzijuzi walikuwa wanaomba msaadaMkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika
Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala
Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea
Usiwachukulie Poa hao watu, Ukisikia alienda Vatican kusomea the sheria za kanisa usifikirie sheria za Africa
Kuna siri nzito sana
Mkuu fuatilia haya mambo kama unadhani kuna haja ila kama huna haja ya kujua yaliyomo tulia tu...mambo mengi si kama tunavyoyaonaMbona mleta mada hajamtaja Malasusa wa KKKT ambaye naye ni Pengo number 2.
Ni watu tu wengine wanaamua kutumika, kama alivyotumika Cyprian Musiba.
Si kweliKukuunga mkono unachokiongea, wanaoliogopa kanisa katoliki na kudhani ndilo linaweka viongozi wa kitaifa na kimataifa wengi hata sio wakatoliki au ni wakatoliki jina, kazi za wakatoliki ni far related from political sphere.