Tukuelewe vipi wakati unaandika uongo, kikwete na makamo wake hakukuwa na hata mmoja mkatoliki, samia na makamo wake hakuna hata mmoja mkatoliki, huko israel ndio walivunja rekodi hadi yesu walimuuaWenye Akili na Wafuatiliaji wa Masuala Mtambuka kama Wewe ndiyo mtanielewa vyema Generalist Mimi ila kwa wale Wapuuzi kamwe hawatoweza Kunielewa kabisa.
Toka kwenye fikra za kusadikika mzee, haya katoliki inatawala dunia inakusaidia nini wewe mwenye dhiki hadi mdukuni kwako?Mzee Mwinyi na hata Kikwete kwa Nyakati zao tofauti Walijisalimisha huko na hsta Ujumbe Maalum wa Papa kutoka Vatican ulitumwa Tanzania tena Ikulu kuja kuwaweka sawa na Kukubaliana.
Kipindi cha kikwete na Gharib bilal yupi hapo alikuwa mkatoliki?
Hata apo miaka ya nyuma wengi waliamini mwanamke kuwa rais ni ngumu lakin leo Tanzania inaongozwa na mwanamke hakuna anayejua kesho yakeProtestants kushika Nchi ni ngumu, madhehebu mengine na dini zitashika nyadhifa nyingi za juu bila tatizo.
Dr Philip Mpango ni mkatoliki
Hata apo miaka ya nyuma wengi waliamini mwanamke kuwa rais ni ngumu lakin leo Tanzania inaongozwa na mwanamke hakuna anayejua kesho yakeProtestants kushika Nchi ni ngumu, madhehebu mengine na dini zitashika nyadhifa nyingi za juu bila tatizo.
Mtoa maada , Uzi wako unahtaji intelligence people kuuelewa , umeuleta Kwa watoto watoto , hutapata majibu yyte zaidi ya mihemko ya matusi , umeeleza vitu vingi , Ila na bado hata wewe bado hujaijua vyema nguvu ya Vatican ,hata Mimi pia , Vatican ndo inayorun dunia , pale ndo maamuz ya kwamba dunia inaendaje huamuliwa pale Vatican ikipewa support na USA+ Western Countries.... Vatican ni zaidi ya kofia ya mfumo wa kidini , hata makao makuu ya wajenzi huru yako pale ,.... Mashambulizi ya western countries na USA dhidi ya middle East ambayo ndo center ya waislamu yapo activated na Vatican , Mama Samia na dini yake si chochote mbele ya Vatican na analazimika kuwa Royal Kwa Vatican na hawezi bisha , Papa akitua leo Tanzania mapokezi yake ni zaidi ya Rais wa Marekani ....!!!
Maybe alibadili coz mama yake mpaka ndugu zake tulikuwa tukisali nao Angrican, na si hivyo tu mdogo wake anayemfuata alikuwa askofu wa kanisa la agricani huku huku kigoma, belive me
Hivi Palamagamba Kabudi anasali Kanisa gani?
Duu, huu mzigo ni wake?Popoma aka genta
Pumbavu
Kwa hiyo mama ni mkatoliki...hivi shule hazijafunguliwa bado?
We maku Jk na Dr Bilal wanasali kigango gani?
Next tym uache uongo + ujuhaCha nyuma ya hayo Makalio yako pekee.
Nimesoma mistari hii michache tu, ikatosha kunipa ukweli kwamba wewe na kanisa katoliki ni vitu mbalimbali kabisa, na wala husogelei kamwe kuwa mmoja miongoni mwao.
Pili, wewe ni mwongo na huoni hata aibu kusema uongo ulio wazi, kana kwamba unaowaandikia wakusome ni vilaza kama ulivyo wewe!
Napata shida kuendelea kusoma mengine uliyoandika huko chini, baada ya kusoma upuuzi ulioweka hapa.
Ndio mkuuDuu, huu mzigo ni wake?
Ninachojua ni kwamba kumekuwa na mzunguko wa Catholic na Islam tu.
Nyerere-Catholic
Mwinyi-Islam
Mkapa-Catholic
Kikwete-Islam
Magufuli-Catholic
Samia-Islam
.....
Kennedy aliuliwa Marekani kutaka kuleta uhusiano wake na Papa kwa kuwa alikuwa Catholics..wajuba wakamwambia hatuabudu sanamu wakamuuwa ...Ningeshangaa sana kama Mlutheri, Muanglikana na Watu wa TAG wangeupenda huu Uzi wangu ambao umepiga pale pale na sasa mnaweweseka tu huku mkiwa mmenuna ( mmefura ) kabisa. Poleni ila Sindano najua imewaingia.