The Stranger
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 272
- 250
Umesahau kikwete alikua anaenda sana vatican.. kuna gazeti moja lilishawahi kumuonesha akimbusu Papa mkonon.. unaelewa nini maana ya ishara ya kiongozi kumbusu Papa mkonon..Umepuyanga sana mzee, hivi wakati unaandika huu upupu hukushtuka tu kuwa Kikwete na Dr. Bilali sio Wakatoliki? Na walikuwa katika nafasi ulizotaja ya kuwa mmoja wapi ni lazima awe Mkatoliki?
Umekula maharage ya wapi mkuu mpaka umevimbiwa? Malizia pilau kwa shemeji yako ulale!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ukienda huko, ujue mimi nilishatoka huko siku nyingi.Kuna sehemu nimekushikia Jiwe Kubwa la FATUMA na Kukulazimisha Uufungue na Uusome huu Uzi wangu?
Idiot.
Umesahau kikwete alikua anaenda sana vatican.. kuna gazeti moja lilishawahi kumuonesha akimbusu Papa mkonon.. unaelewa nini maana ya ishara ya kiongozi kumbusu Papa mkonon..
Ukienda huko, ujue mimi nilishatoka huko siku nyingi.
Kwa hiyo tulizana.
Mada yako hii haiwezi kuwa ya maana kwa kuongeza ukilaza zaidi ya uliomo ndani yake.
Baada ya kusoma comments zote kitu nunavhoweza kuvhangia NI
Kanisa katoliki Lina vitu vifuatavyo ambavyo vinaweza kuwa NI ushawishi na nguvu kwa watawala na n nchi
Lina viongoz wasomi wenye kuweza ku analyse Mambo
Lina wafuasi wengi wenye umoja
Limeji organise kiasi kwamba maamuzi kutoka juu yakitolewa ndani ya dk waumini wake wanaweza kupata taarifa na kutekeleza walichoamriwa
Lina viongoz wenye msimamo
Lina support kubwa kutoka vatcan
Sina muda na mpuuzi.Huna IQ ya Kujibizana nami. Kajilaze tu.
Wanaweza kuwa nguvu n.k kutokana na kuwa wapo organise kuliko madhehebu mengine na kuwa na mipango ya muda mrefu.Nayaheshimu sana na mno Madhehebu mengine yote ukiachilia langu la Katoliki, ila kwa Tanzania hii na Nguvu ya Kanisa Katoliki tokea Uhuru na lilivyojikita indirectly katika Siasa za Tanzania huwezi kuwa Rais wa Tanzania au Makamu kama siyo Mkatoliki. Ukilibishia hili unataka tu Ligi isiyokuwa na maana kwani ndiyo Ukweli wenyewe.
Huko nyuma nakumbuka nilisema na leo narudia tena Kusema hapa hapa JF kuwa hata wale Marais wa Dini zingine waliowahi Kutawala ( Kuongoza ) Tanzania pia huwa ni lazima iwe ni kwa Uwazi au Kificho waende Vatican kwa Papa na ilipo Ngome Kuu ( kama si Kitovu ) Cha Ukatoliki ili Kujitambulisha.
Na hii Nguvu ya Ukatoliki haijaibuka tu bali ni Makubaliano ' Maalum ' yaliyoluwa ya ' Kimkakati ' zaidi tokea Awamu ya Kwanza ambayo imepelekea kuwa na Kiapo cha ' Siri ' kwa Watawala ( wenye Dhamana ) kuwa nafasi zote zinaweza Kutwaliwa na Madhehebu mengine.
Ila kwa Urais au Makamu wake piga ua si Ombi bali ni lazima awe Mkatoliki na hili wala halina Mjadala na kwenda nalo Kinyume ni Kujitafutia matatizo hasa ikizingatia ndiyo Dhehebu Kubwa Tanzania na lenye Waumini wengi kama ilivyo Duniani lakini pia ndiyo inaaminika kuwa ni Werevu na Wasomi wazuri.
Kwa wale Wakristo wenzangu ambao mnaota ( mnawaza ) kuja kuwa Marais Tanzania miaka ijayo Generalist nakuambia ( nakuambieni ) mapema tu kuwa kama hutokei katika Dhehebu Kubwa la Katoliki sahau labda utaishia tu kuwa Waziri Mkuu au Nafasi zilizopo za chini.
Hata Mama nae si kwamba alichelewa Kumchagua ( Kumteua ) Makamu wake Kimakusudi ila alishatahadharishwa mapema tu na Watu waliokuwa wanalijua hili kuwa lazima Mteule wake awe Mkristo lakini pia atokee katika Dhehebu Kubwa, lenye Nguvu na Ushawishi la Katoliki.
Mlionidhihaki huko nyuma endeleeni tu.
Sina muda na mpuuzi.
Nimekwishamalizana nawe; usihangaike bure!Mumeo anakusubiri sasa ukammanulie.
Nimekwishamalizana nawe; usihangaike bure!
Uzi ni wa kipuuzi huo, kama alivyo mwanzilishi wake.Huu Uzi ni wako hadi Unipangie? Swine.
Kulisha upepo kujilisha upepo jau sana.Mmeanza kujilisha upepo
Kwa sasa kila mtu akijisikia kuandika anaandika anavyojua. Hivi Warioba, Malecela, Msuya, Lowasa na Sumaye nao ni wakatoliki?
Hakuna cha siri wala nn ni promo za kijingaMkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika
Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala
Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea
Usiwachukulie Poa hao watu, Ukisikia alienda Vatican kusomea the sheria za kanisa usifikirie sheria za Africa
Kuna siri nzito sana
Rais anapokua muislamu na anatokea bara ni ngumu Sana kupata mkristo/mkatoliki kutoka Zanzibar kuwa makamu wa rais.Nakumbuka enzi ya Jakaya Kikwete makamo wa Rais alikuwa Dr Shein baadae akaingia Billal sijui hapa ukatoliki uko wapi mkuu
Kwani Mpango ni mkatoliki? Siyo Muanglican kweli? Kaka yake alikuwa askofu wa Anglican kule KigomaNayaheshimu sana na mno Madhehebu mengine yote ukiachilia langu la Katoliki, ila kwa Tanzania hii na Nguvu ya Kanisa Katoliki tokea Uhuru na lilivyojikita indirectly katika Siasa za Tanzania huwezi kuwa Rais wa Tanzania au Makamu kama siyo Mkatoliki. Ukilibishia hili unataka tu Ligi isiyokuwa na maana kwani ndiyo Ukweli wenyewe.
Huko nyuma nakumbuka nilisema na leo narudia tena Kusema hapa hapa JF kuwa hata wale Marais wa Dini zingine waliowahi Kutawala ( Kuongoza ) Tanzania pia huwa ni lazima iwe ni kwa Uwazi au Kificho waende Vatican kwa Papa na ilipo Ngome Kuu ( kama si Kitovu ) Cha Ukatoliki ili Kujitambulisha.
Na hii Nguvu ya Ukatoliki haijaibuka tu bali ni Makubaliano ' Maalum ' yaliyoluwa ya ' Kimkakati ' zaidi tokea Awamu ya Kwanza ambayo imepelekea kuwa na Kiapo cha ' Siri ' kwa Watawala ( wenye Dhamana ) kuwa nafasi zote zinaweza Kutwaliwa na Madhehebu mengine.
Ila kwa Urais au Makamu wake piga ua si Ombi bali ni lazima awe Mkatoliki na hili wala halina Mjadala na kwenda nalo Kinyume ni Kujitafutia matatizo hasa ikizingatia ndiyo Dhehebu Kubwa Tanzania na lenye Waumini wengi kama ilivyo Duniani lakini pia ndiyo inaaminika kuwa ni Werevu na Wasomi wazuri.
Kwa wale Wakristo wenzangu ambao mnaota ( mnawaza ) kuja kuwa Marais Tanzania miaka ijayo Generalist nakuambia ( nakuambieni ) mapema tu kuwa kama hutokei katika Dhehebu Kubwa la Katoliki sahau labda utaishia tu kuwa Waziri Mkuu au Nafasi zilizopo za chini.
Hata Mama nae si kwamba alichelewa Kumchagua ( Kumteua ) Makamu wake Kimakusudi ila alishatahadharishwa mapema tu na Watu waliokuwa wanalijua hili kuwa lazima Mteule wake awe Mkristo lakini pia atokee katika Dhehebu Kubwa, lenye Nguvu na Ushawishi la Katoliki.
Mlionidhihaki huko nyuma endeleeni tu.