MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #181
Unaelewa ulichokiandika lakini? Swali la msingi, hao uliowataja ni wakatoliki?
Kwa mujibu wa Uzi wako, Rais au Makam wake lazima awe Mkatolik. Tuanzie hapo kwanza
Na unaposema walienda kujisalimisha, una ushahidi? Lakini cha msingi zaidi, MTU kwenda Vatican inamfanya awe Mkatoliki?
Rekebisha post yako vinginevyo itakua na mapungufu sana.
Hauna IQ ya Kuelewa nilichokiwasilisha.