Masterplaner
Senior Member
- Jul 30, 2020
- 121
- 184
Mkemia aliye tuongoza kikemia, rip jpm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said brother!!Huwa najiuliza "kama ni deep state iliamua jpm ndio awe Raisi nadhani ni maamuzi ya hovyo sana na yameitia unajisi deep state yetu!kwa kuwa haitoaminika tena!!hivi unawezaje kumpa jpm nchi ukijua ni mgonjwa wa nafsi,mwili na roho???huwa nafikiria hadi machozi yananitoka!!"Deep state ifanyiwe reshuffle aiseeh!!!
Ili wavuruge utaratibu mzima wa mipango miji na kufanya kadhia kwa wapita njia huku wakihatarisha maisha yao... aaah na tuwaache tu.Na sasa wakawa wanaitwa wanyonge, wakaambiwa wapnge vitu mpaka njia za miguu
Kweli utajiri upo sana nchini ila hatujui namna ya kutumia fursa
Kauli za kusema Walituchelewesha zilikuwa ni siasa tu
Sauti ilikuwa moja
Matunda na Mazao mengi yamejaa na kauli tulizisikia sana kuwa tutawauzia majirani chakula wakiwa na njaa
Ila sijawahi kusikia vibali vitoke sana ili watu wapeleke bidhaa zetu Ulaya na Middle East kwenye hela huko ili tupate za kigeni
Tunahitaji hela za nje kujenga nchi na sio kukusanya kodi za ndani tu
La mwisho Dual citizenship inahitaji sana kwa wazawa waliopo nje
Hili limeingelewa sana ila waameweka pamba na hakuna sababu za msingi zaidi ya kutokuangalia faida zake
Magufuli was a hero. Itachukua muda sana kulifahamu hili. He was ahed of time.
Mpendwa,THE END JUSTIFY THE MEANS
Maelezo yako ni marefu japokuwa yanamezwa na jambo moja tu! UMEJAWA NA HISIA ZAIDI KULIKO UHALISIA.Mpendwa,
Watu wote wa shetani yaan; wauaji, wachawi/washirikina, majambazi, madhalimu/wakandamizaji na wote wenye hila, ndio hujitahidi kuhalalisha matendo yao maovu HIVYO. ETI ili mradi kapata alichokitaka, njia yoyote aliyoitumia inapata uhalali.
Lakini kichekesho kikubwa, huyo Mwendakuzimu alikuwa na ulinzi mkubwa haijawahi kutokea katika historia ya maraisi wa nchi hii. Aliwazidi hata Mobutu na Moi, kwa kuyaogopa yaleyale anayofanya na aliyohalalisha kwa binadamu watz wenzake.
Kwa kweli HII miaka mitano na nusu aliyokaa madarakani yafaa kukumbukwa kama kipindi cha giza kama ambavyo ulimwengu unavyokumbukwa kwa masikitiko, vita kuu ya kwanza na pili.
BAYA zaidi ni kuwa, shetani alifanikiwa kuwateka baadhi ya watz wakawa wanashangilia na kumsifu badala ya kuungana kukemea madhambi hayo makubwa mbele za Mungu. Hebu epuka kuwa mmoja wao. AMEN
Alitakiwa ayaelewe hayo maneno yako Na sio kuwaadhibu wanaomkosoaJPM hakuwa malaika yule. Yeye pia ni mwanadamu na ana mapungufu yake.
Pole sana ndugu,Maelezo yako ni marefu japokuwa yanamezwa na jambo moja tu! UMEJAWA NA HISIA ZAIDI KULIKO UHALISIA.
Anza kutizama kwa jicho la tatu na tupilia mbali hisia.
Pole sana ndugu,Maelezo yako ni marefu japokuwa yanamezwa na jambo moja tu! UMEJAWA NA HISIA ZAIDI KULIKO UHALISIA.
Anza kutizama kwa jicho la tatu na tupilia mbali hisia.
Mpendwa,
Watu wote wa shetani yaan; wauaji, wachawi/washirikina, majambazi, madhalimu/wakandamizaji na wote wenye hila, ndio hujitahidi kuhalalisha matendo yao maovu HIVYO. ETI ili mradi kapata alichokitaka, njia yoyote aliyoitumia inapata uhalali.
Lakini kichekesho kikubwa, huyo Mwendakuzimu alikuwa na ulinzi mkubwa haijawahi kutokea katika historia ya maraisi wa nchi hii. Aliwazidi hata Mobutu na Moi, kwa kuyaogopa yaleyale anayofanya na aliyohalalisha kwa binadamu watz wenzake.
Kwa kweli HII miaka mitano na nusu aliyokaa madarakani yafaa kukumbukwa kama kipindi cha giza kama ambavyo ulimwengu unavyokumbukwa kwa masikitiko, vita kuu ya kwanza na pili.
BAYA zaidi ni kuwa, shetani alifanikiwa kuwateka baadhi ya watz wakawa wanashangilia na kumsifu badala ya kuungana kukemea madhambi hayo makubwa mbele za Mungu. Hebu epuka kuwa mmoja wao. AMEN
😀 😀 So kule kwenye nyumbu za mwenyekiti Faru John ndio mko na akili sio.Watu wenye akili ndio utakuwa mwisho wa hao Mbwiga wa CCM.
Ccm huwa inastawi kwenye Mambumbumbu
Naunga mkono hoja inabidi tuanze kuwekeza kwenye early child cognitive brain development, vingenevyo maendeleo endelevu tusauWell said brother!!Huwa najiuliza "kama ni deep state iliamua jpm ndio awe Raisi nadhani ni maamuzi ya hovyo sana na yameitia unajisi deep state yetu!kwa kuwa haitoaminika tena!!hivi unawezaje kumpa jpm nchi ukijua ni mgonjwa wa nafsi,mwili na roho???huwa nafikiria hadi machozi yananitoka!!"Deep state ifanyiwe reshuffle aiseeh!!!
TBC wafananishe na labda Korea ya fat boy hao wengine hawafanani kabisaNchi zote duniani zinamiliki vyombo vya habari vya taifa kama vile TBC, BBC na VOA kwa lengo la kujifanyia propaganda safi.
Nimemwelewa ndugu Heriel ameelezea vuzuri ili nchi iendelee ni lazima nchi iwekeze kwa watu maana yake ni kuwa na utawala wa sheria na haki za kibinadamu, demokrasia/kuwarudishia wananchi nguvu ya kuchagua viongozi wanaowataka na kuwawajibisha (Katiba mpya itahusika). La maana kuliko vyote ni kujenga institutions zenye nguvu na kuziachiwa nguvu za kijiamulia bila kuingiliwa mradi wafuate sheria, Mkapa ndie Rais bora kuliko wote baada ya Nyerere alieunda institutions nyingi zenye nguvu na kuvurugwa na viongozi waliomfuata mfano NSSF, PSSF, Bima za afya, na mambo mengi kama agencies nyingi za serikali nk. zillingiliwa na kufilisiwa na serikali zilizofuata baada ya Mkapa ndio matokeo ya sasa. Unakuwa na utawala unapita huoni walichokifanya ila walichokiharibu, kuingilia mahakama, Bunge na Serikali ya kibabe na kutesa watu.
Mkuu inaonyesha hujamuelewa vizuri mtoa mada. Ujue maendeleo ya watu ndiyo maendeleo ya vitu na kamwe maendeleo ya vitu hayawezi kuwa maendeleo ya watuKabla ya daraja la sasa hivi, kuna ndugu yangu mmoja aliwahi kupoteza mtoto katika foleni ya ubungo wakati akiwa anampeleka hospitali.
Jamaa ana pesa nzuri tu (maendeleo ya watu) lakini miundombinu mibovu (maendeleo ya vitu) ilifanya apoteze mtoto.
Tusijifananishe Marekani, wao walipotoka sisi ndio tunaanza,Mkuu k
Kuna kitu ambacho hukijui kuhusu Marekani. Chochote kinachofanywa na Marekani au Rais wa Marekani ni kwa maslahi ya kiulinzi na kiuchumi kwa ajili ya Marekani.Hakuna Rais wa marekani anafanya jambo kwa ajili ya legacy yake km kiongozi bali ni maslahi ya marekani na Taifa linataka Nini.
Marekani akipigana Vita leo siyo mpango wa mwaka mmoja au mawazo ya kimaamuzi ya Rais yeye km yeye Bali Ni mpango wa muda mrefu wa vyombo vya kiintelijensia kukusanya taarifa.
Marekani kila kitu kipo ktk misingi ya kikatiba.Hebu angalia tarehe yao ya KUPIGA KURA ktk uchaguzi mkuu ipo ktk katiba.
Marekani Rais hawezi kuibuka leo anapeleka miswada bungeni kipuuzi puuzi tu kwa maslahi yake .
Mfano Rais yyte wa marekani anayeingia madarakani kwa Sasa anaikuta mezani Kwamba threat ya kiuchumi kwa marekani kwa Sasa ni nchi ya China.Na inaenda hivyo.
Hawabahatishi, consistency yao ni Kwamba Hakuna mtu anaweza kugusa misingi ya taifa sembuse katiba yenyewe.Sera yao ya kiuchumi,kijeshi nk Ni ya kitaifa siyo utashi wa Rais.Wanatembea kwenye mstari japo pengine wew unaweza usione.