Niliwahi kumwambia Hayati Magufuli, leo narudia kwa Rais Samia ili asipoteze muda wake

Niliwahi kumwambia Hayati Magufuli, leo narudia kwa Rais Samia ili asipoteze muda wake

NILIWAHI KUMWAMBIA HAYATTI MAGUFULI, LEO NARUDIA KWA RAIS SAMIA, ILI ASIJEPOTEZA MUDA WAKE.

Na, Robert Heriel

Niliwahi kuandika hapa miaka mitatu iliyopita, niliipa makala ile kichwa kisemacho "Rais Magufuli unapoteza muda wako tuu" katika makala ile watu wengi walinitukana, wengine walinitishia, sikuwalaumu kwani niliwaelewa lakini wao hawakuwahi kunielewa.

Leo hii narudia baadhi ya maneno yaleyale niliyoyasema siku zile.

Niliandika Magufuli anapoteza muda wake nikiwa na hoja zifuatazo;

1. Magufuli nilimuona anapoteza muda kwa sababu alikuwa na mtazamo kuwa, nchi ni tajiri na itapata maendeleo kwa sababu ina Rasilimali nyingi akizitaja kama madini, mbuga, ardhi kubwa yenye Rutuba, maziwa na mito yenye viumbe maji kama samaki, vivutio vya utaliii, bahari, kuzungukwa na mataifa mengi yasiyo na bahari, n.k.
Niliona anapoteza muda kwa sababu, nchi haiendelei kwa wingi wa Rasilimali isipokuwa inaendelea kwa ya kuwa na WATU WENYE AKILI. Watu wenye akili ndio wanaleta maendeleo nchini sio uwepo wa Rasilimali nyingi.

2. Magufuli aliamini, nchi itajengwa kwa kuwanyonya wananchi wake pekee, ndio maana alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote aliyotawala, pia akashindwa kutoa ajira mpya.
Kama hiyo haitoshi, sio ajabu aliongeza vikodi vya hapa na pale ili kuendesha serikali yake, lakini bado mambo yalimuwia magumu hali iliyomfanya ajiingize katika hatari ya kugombana na wafanyabiashara, wengi wao aliwaita wahujumu uchumi, wapo walioisoma.

Mimi nilimwambia nchi yoyote iliyoendelea haijawahi kuendelea kwa kutegemea unyonyaji kwa watu wake pekee, bali ni lazima ivamie mataifa mengine. Nilitoa mifano kwa baadhi ya mataifa yaliyoendelea yaliyojipatia utajiri kwa kunyonya watu wake na mataifa mengine.. Biashara ya utumwa, Ukoloni, na ukoloni mamboleo vyoote vinaangukia hapa.

Taifa kama la Korea ya kusini loo, liliamua kualika mataifa mengine hasa Mataifa ya Magharibi kuja kuwekeza Korea kusini. Kwa sasa Korea ni moja ya nchi zilizopo ulimwengu wa pili.

3. Magufuli aliamini kuongoza nchi kibabe ndio suluhu ya maendeleo, wakati mbinu hiyo ilishapitwa na wakati, na kwa vyovyote lazima ingelala upande wake na angeshindwa, licha ya kujitutumua kuchelewesha muda wa anguko lake.

Mimi nilimwambia kuwa kizazi cha sasa kinaongozwa kwa akili, ujanja, maarifa na mambo yote yahusuyo akili. Ubabe ungeweza kutumika machungani kwenye mbuzi, ng'ombe, na kondoo ambao hawana utashi kama binadamu.

Hakuna uhusiano wa karibu baina ya Ubabe na biashara, hivyo kivyovyote vile anguko la kiuchumi lilikuwa ni uhakika. Kwani hakuna mfanyabiashara ambaye angependa aishi kwa hovyo wakati pesa ni zake mwenyewe.

4. Magufuli aliamini kuwakaripia wengine mbele ya halaiki na wengine kuwatukana ndio namna ya kuleta nidhamu ndani ya serikali yake.
Wakati nidhamu ndani ya serikali hutokana na jinsi sheria zinavyofuatwa na kutelekezwa. Kama mtu ni mwizi basi sheria ingechukua mkondo wake,

Masikini wengi na watu walioshindwa walifurahishwa na magufuli kwa sababu ni kawaida ya masikini kuona mwenye nacho akianguka.

5. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye matamko kuliko kuweka mfumo imara ili hata yeye akiondoka mambo yatajiendesha vyema.
Niliwahi mwambia kuwa One manshow ni kama mbio za sakafuni ambazo lazima ziishie ukingoni. Nilimwambia anapoteza muda wake.

Maendeleo ni mfumo kama mnyororo unaounganisha seti nyingi ya vitu.
Maendeleo ya nchi za Afrika niya kubahatisha kwa sababu hakuna mfumo unaoeleweka.

6. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye kujipa promo kwenye vyombo vya habari na kujisifu, na kuwazima wengine ili kuchota akili za watu wenye upeo mdogo na kuzuia wale waliokuwa wanampa challenge kwa mitazamo yao.
Hii pekee ingetosha kuonyesha kuwa anapoteza Muda wake.
Hakuwa mtu kama Anthony Mtaka ambaye hafanyi manipulation lakini matendo yake yanaonekana.

7. Magufuli alifanikiwa zaidi katika kutekeleza na kusimamia maendeleo ya miundombinu, kwa hili nampa heko, lakini nilimuambia kuwa taifa masikini linawekeza kwenye watu na sio vitu,
Hii watu walinipinga lakini huo ndio ukweli mchungu, masikini kuwekeza kwenye vitu zaidi ya watu ni kupoteza muda na kuwatesa watoto.

8. Magufuli alijitahidi kujifanya hawapendi Wazungu na kila mara alitoa maneno ya kupata ushawishi kwa watu ili wawachukie wazungu. Ndio maana hata Mambo ya Corona aliyaona kama mchezo wa kuigiza na njama za wazungu kutuangamiza.

Jambo ambalo hata mtoto mdogo akifikiri anaona ni uongo wa mchana.
Nilimuunga mkono kwenye suala la kutokuweka Lockdown, lakini masuala mengine nilimpinga.

Magufuli angepoteza muda kwa vyovyote kwa kupinga mambo ya wazungu ambayo hata huo Urais aliokuwa nao ni mfumo wa kizungu, masuala ya jeshi ni mifumo ya kizungu, jina lake lakizungu, dini yake yakizungu na hata alipokufa alizikwa kizungu, hata elimu yake ni yakizungu, hata magari na vifaa vyote alivyokuwa akivitumia ni vyawazungu, achilia mbali madawa na miwani aliyokuwa akivaa. Sijazungumzia silaha na wana usalama waliokuwa wanamlinda ambao ili wawe wa kimataifa inapaswa wapewe mafunzo ya kizungu.

Kama wazungu wangetaka kutuua wangetuua tangu miaka ya 1900 huko walipokuja kututawala. na hata wakiamua kutuua uwezo huo wanao, na hatuna uwezo wa kufurukuta.

Sasa mambo hayo hayo, nayasema kwa Rais Samia, kuwa aangalie asije akapoteza muda wake kwa kushindwa kuendana na wakati.

Maendeleo ya nchi ya USA sio lazima yawe maendeleo kwa Tanzania. Hiyo ni muhimu kuzingatiwa.

Hata hivyo Rais Samia lazima azingatie haya ili naye asijikute katika kucheza Nage na kupoteza muda wake.

1. Maendeleo ni kuwekeza kwenye watu
2. Kuwekeza kwenye watu ni kuwapa Uhuru
3. Uhuru wa watu ni pamoja na kuwapa nafasi ya kuyafurahia maisha yao kwa kutumia rasilimali za nchi yao au kuvamia mataifa mengine. Passport zitolewe watu wakahangaike huku na huko.
4. Serikali isifikiri kunyonya wananchi wake pekee(kodi na ushuru) bali pia ifikiri namna ya wananchi wake kuenda nchi zingine kunyonya mali na utajiri wa nchi zingine.

5. SHeria na utawala bora zisiachwe
6. Ubabe wa kipumbavu uachwe maana palipo na ubabe au udikteta lazima kuwa na uasi/usaliti na palipo na usaliti lazima pawe na mapinduzi.

7. Serikali isijikite kwenye matamko ya kipuuzi puuzi. Kwani kwa kufanya hivyo itaathiri vijana wengi ambao wao kila kitu watataka tamko la serikali.

Sishangai kwa nini watu wanamlaumu Mama kuwa kwa nini ni mpole, ni kutokana na kuathiriwa na matamko yasiyo na kichwa wala miguu.

Sio kila kitu kitolewe tamko kwa kutafuta sifa za kijinga kwenye Kamera ili ionekane kazi inafanyika wakati hakuna kitu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa, Dar es salaam
Big up mkuu, appreciation for you. Nuru imepenya gizani
 
Mkuu k

Kuna kitu ambacho hukijui kuhusu Marekani. Chochote kinachofanywa na Marekani au Rais wa Marekani ni kwa maslahi ya kiulinzi na kiuchumi kwa ajili ya Marekani.Hakuna Rais wa marekani anafanya jambo kwa ajili ya legacy yake km kiongozi bali ni maslahi ya marekani na Taifa linataka Nini.

Marekani akipigana Vita leo siyo mpango wa mwaka mmoja au mawazo ya kimaamuzi ya Rais yeye km yeye Bali Ni mpango wa muda mrefu wa vyombo vya kiintelijensia kukusanya taarifa.

Marekani kila kitu kipo ktk misingi ya kikatiba.Hebu angalia tarehe yao ya KUPIGA KURA ktk uchaguzi mkuu ipo ktk katiba.

Marekani Rais hawezi kuibuka leo anapeleka miswada bungeni kipuuzi puuzi tu kwa maslahi yake .

Mfano Rais yyte wa marekani anayeingia madarakani kwa Sasa anaikuta mezani Kwamba threat ya kiuchumi kwa marekani kwa Sasa ni nchi ya China.Na inaenda hivyo.

Hawabahatishi, consistency yao ni Kwamba Hakuna mtu anaweza kugusa misingi ya taifa sembuse katiba yenyewe.Sera yao ya kiuchumi,kijeshi nk Ni ya kitaifa siyo utashi wa Rais.Wanatembea kwenye mstari japo pengine wew unaweza usione.
Kwahiyo mnataka nchi ya miaka 60 ya uhuru ifanye vile nchi yenye miaka 300 inafanya!!
 
Unesahau ile kauli "... matajiri wataishi kama mashetani ilivyowafurahisha maskini?" Umesahau waliokuwa wafanyakazi wa QG walivyoshangilia anguko la tajiri yao? Leo wengi wanalia na kusaga meno maana Bwana yule alifunga biashara zake na wao wakapoteza ajira... wengi wao wanapanga bidhaa barabarani siku hizi ili wajikimu...
Na sasa wakawa wanaitwa wanyonge, wakaambiwa wapnge vitu mpaka njia za miguu
 
Nawaza nao wazungu wangesema msipelekee misaada wale nyani wa africa maana wao ni mabeberu jpm aliwaita na wao wangemuita nyani daaa
Kiluitwa beberu kwani ni tusi. Ukiitwa beberu si ndo inaashiria ww ni mtawala. Kwa hiyo kuwaita mabeberu naona kama ni sifa unawapa
 
Kumbe ukiambiwa wazungu akili yako inakwambia ni wazungu waliopo nchini!!!??

Ni biashara ngapi za wazungu hapa nchini ww, ule ujinga alikuwa anawaambia jiwe na nyie mkawa mnatembelea humohumo.
 
NILIWAHI KUMWAMBIA HAYATTI MAGUFULI, LEO NARUDIA KWA RAIS SAMIA, ILI ASIJEPOTEZA MUDA WAKE.

Na, Robert Heriel

Niliwahi kuandika hapa miaka mitatu iliyopita, niliipa makala ile kichwa kisemacho "Rais Magufuli unapoteza muda wako tuu" katika makala ile watu wengi walinitukana, wengine walinitishia, sikuwalaumu kwani niliwaelewa lakini wao hawakuwahi kunielewa.

Leo hii narudia baadhi ya maneno yaleyale niliyoyasema siku zile.

Niliandika Magufuli anapoteza muda wake nikiwa na hoja zifuatazo;

1. Magufuli nilimuona anapoteza muda kwa sababu alikuwa na mtazamo kuwa, nchi ni tajiri na itapata maendeleo kwa sababu ina Rasilimali nyingi akizitaja kama madini, mbuga, ardhi kubwa yenye Rutuba, maziwa na mito yenye viumbe maji kama samaki, vivutio vya utaliii, bahari, kuzungukwa na mataifa mengi yasiyo na bahari, n.k.
Niliona anapoteza muda kwa sababu, nchi haiendelei kwa wingi wa Rasilimali isipokuwa inaendelea kwa ya kuwa na WATU WENYE AKILI. Watu wenye akili ndio wanaleta maendeleo nchini sio uwepo wa Rasilimali nyingi.

2. Magufuli aliamini, nchi itajengwa kwa kuwanyonya wananchi wake pekee, ndio maana alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote aliyotawala, pia akashindwa kutoa ajira mpya.
Kama hiyo haitoshi, sio ajabu aliongeza vikodi vya hapa na pale ili kuendesha serikali yake, lakini bado mambo yalimuwia magumu hali iliyomfanya ajiingize katika hatari ya kugombana na wafanyabiashara, wengi wao aliwaita wahujumu uchumi, wapo walioisoma.

Mimi nilimwambia nchi yoyote iliyoendelea haijawahi kuendelea kwa kutegemea unyonyaji kwa watu wake pekee, bali ni lazima ivamie mataifa mengine. Nilitoa mifano kwa baadhi ya mataifa yaliyoendelea yaliyojipatia utajiri kwa kunyonya watu wake na mataifa mengine.. Biashara ya utumwa, Ukoloni, na ukoloni mamboleo vyoote vinaangukia hapa.

Taifa kama la Korea ya kusini loo, liliamua kualika mataifa mengine hasa Mataifa ya Magharibi kuja kuwekeza Korea kusini. Kwa sasa Korea ni moja ya nchi zilizopo ulimwengu wa pili.

3. Magufuli aliamini kuongoza nchi kibabe ndio suluhu ya maendeleo, wakati mbinu hiyo ilishapitwa na wakati, na kwa vyovyote lazima ingelala upande wake na angeshindwa, licha ya kujitutumua kuchelewesha muda wa anguko lake.

Mimi nilimwambia kuwa kizazi cha sasa kinaongozwa kwa akili, ujanja, maarifa na mambo yote yahusuyo akili. Ubabe ungeweza kutumika machungani kwenye mbuzi, ng'ombe, na kondoo ambao hawana utashi kama binadamu.

Hakuna uhusiano wa karibu baina ya Ubabe na biashara, hivyo kivyovyote vile anguko la kiuchumi lilikuwa ni uhakika. Kwani hakuna mfanyabiashara ambaye angependa aishi kwa hovyo wakati pesa ni zake mwenyewe.

4. Magufuli aliamini kuwakaripia wengine mbele ya halaiki na wengine kuwatukana ndio namna ya kuleta nidhamu ndani ya serikali yake.
Wakati nidhamu ndani ya serikali hutokana na jinsi sheria zinavyofuatwa na kutelekezwa. Kama mtu ni mwizi basi sheria ingechukua mkondo wake,

Masikini wengi na watu walioshindwa walifurahishwa na magufuli kwa sababu ni kawaida ya masikini kuona mwenye nacho akianguka.

5. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye matamko kuliko kuweka mfumo imara ili hata yeye akiondoka mambo yatajiendesha vyema.
Niliwahi mwambia kuwa One manshow ni kama mbio za sakafuni ambazo lazima ziishie ukingoni. Nilimwambia anapoteza muda wake.

Maendeleo ni mfumo kama mnyororo unaounganisha seti nyingi ya vitu.
Maendeleo ya nchi za Afrika niya kubahatisha kwa sababu hakuna mfumo unaoeleweka.

6. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye kujipa promo kwenye vyombo vya habari na kujisifu, na kuwazima wengine ili kuchota akili za watu wenye upeo mdogo na kuzuia wale waliokuwa wanampa challenge kwa mitazamo yao.
Hii pekee ingetosha kuonyesha kuwa anapoteza Muda wake.
Hakuwa mtu kama Anthony Mtaka ambaye hafanyi manipulation lakini matendo yake yanaonekana.

7. Magufuli alifanikiwa zaidi katika kutekeleza na kusimamia maendeleo ya miundombinu, kwa hili nampa heko, lakini nilimuambia kuwa taifa masikini linawekeza kwenye watu na sio vitu,
Hii watu walinipinga lakini huo ndio ukweli mchungu, masikini kuwekeza kwenye vitu zaidi ya watu ni kupoteza muda na kuwatesa watoto.

8. Magufuli alijitahidi kujifanya hawapendi Wazungu na kila mara alitoa maneno ya kupata ushawishi kwa watu ili wawachukie wazungu. Ndio maana hata Mambo ya Corona aliyaona kama mchezo wa kuigiza na njama za wazungu kutuangamiza.

Jambo ambalo hata mtoto mdogo akifikiri anaona ni uongo wa mchana.
Nilimuunga mkono kwenye suala la kutokuweka Lockdown, lakini masuala mengine nilimpinga.

Magufuli angepoteza muda kwa vyovyote kwa kupinga mambo ya wazungu ambayo hata huo Urais aliokuwa nao ni mfumo wa kizungu, masuala ya jeshi ni mifumo ya kizungu, jina lake lakizungu, dini yake yakizungu na hata alipokufa alizikwa kizungu, hata elimu yake ni yakizungu, hata magari na vifaa vyote alivyokuwa akivitumia ni vyawazungu, achilia mbali madawa na miwani aliyokuwa akivaa. Sijazungumzia silaha na wana usalama waliokuwa wanamlinda ambao ili wawe wa kimataifa inapaswa wapewe mafunzo ya kizungu.

Kama wazungu wangetaka kutuua wangetuua tangu miaka ya 1900 huko walipokuja kututawala. na hata wakiamua kutuua uwezo huo wanao, na hatuna uwezo wa kufurukuta.

Sasa mambo hayo hayo, nayasema kwa Rais Samia, kuwa aangalie asije akapoteza muda wake kwa kushindwa kuendana na wakati.

Maendeleo ya nchi ya USA sio lazima yawe maendeleo kwa Tanzania. Hiyo ni muhimu kuzingatiwa.

Hata hivyo Rais Samia lazima azingatie haya ili naye asijikute katika kucheza Nage na kupoteza muda wake.

1. Maendeleo ni kuwekeza kwenye watu
2. Kuwekeza kwenye watu ni kuwapa Uhuru
3. Uhuru wa watu ni pamoja na kuwapa nafasi ya kuyafurahia maisha yao kwa kutumia rasilimali za nchi yao au kuvamia mataifa mengine. Passport zitolewe watu wakahangaike huku na huko.
4. Serikali isifikiri kunyonya wananchi wake pekee(kodi na ushuru) bali pia ifikiri namna ya wananchi wake kuenda nchi zingine kunyonya mali na utajiri wa nchi zingine.

5. SHeria na utawala bora zisiachwe
6. Ubabe wa kipumbavu uachwe maana palipo na ubabe au udikteta lazima kuwa na uasi/usaliti na palipo na usaliti lazima pawe na mapinduzi.

7. Serikali isijikite kwenye matamko ya kipuuzi puuzi. Kwani kwa kufanya hivyo itaathiri vijana wengi ambao wao kila kitu watataka tamko la serikali.

Sishangai kwa nini watu wanamlaumu Mama kuwa kwa nini ni mpole, ni kutokana na kuathiriwa na matamko yasiyo na kichwa wala miguu.

Sio kila kitu kitolewe tamko kwa kutafuta sifa za kijinga kwenye Kamera ili ionekane kazi inafanyika wakati hakuna kitu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa, Dar es salaam
Upo sahihi 💯. Nashangaa Congo Ipo hapo na ni marafiki zetu. Kwanini hatujiongezi tukajifanye tunaenda kuimarisha ulinzi mashariki ya Congo tuchukue ule utajiri. Kanchi kadogo kama Rwanda kamejiongeza kanavuna tu, sisi tupo tu tunashangaa,na tuna jeshi bora kabisa
 
NILIWAHI KUMWAMBIA HAYATTI MAGUFULI, LEO NARUDIA KWA RAIS SAMIA, ILI ASIJEPOTEZA MUDA WAKE.

Na, Robert Heriel

Niliwahi kuandika hapa miaka mitatu iliyopita, niliipa makala ile kichwa kisemacho "Rais Magufuli unapoteza muda wako tuu" katika makala ile watu wengi walinitukana, wengine walinitishia, sikuwalaumu kwani niliwaelewa lakini wao hawakuwahi kunielewa.

Leo hii narudia baadhi ya maneno yaleyale niliyoyasema siku zile.

Niliandika Magufuli anapoteza muda wake nikiwa na hoja zifuatazo;

1. Magufuli nilimuona anapoteza muda kwa sababu alikuwa na mtazamo kuwa, nchi ni tajiri na itapata maendeleo kwa sababu ina Rasilimali nyingi akizitaja kama madini, mbuga, ardhi kubwa yenye Rutuba, maziwa na mito yenye viumbe maji kama samaki, vivutio vya utaliii, bahari, kuzungukwa na mataifa mengi yasiyo na bahari, n.k.
Niliona anapoteza muda kwa sababu, nchi haiendelei kwa wingi wa Rasilimali isipokuwa inaendelea kwa ya kuwa na WATU WENYE AKILI. Watu wenye akili ndio wanaleta maendeleo nchini sio uwepo wa Rasilimali nyingi.

2. Magufuli aliamini, nchi itajengwa kwa kuwanyonya wananchi wake pekee, ndio maana alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote aliyotawala, pia akashindwa kutoa ajira mpya.
Kama hiyo haitoshi, sio ajabu aliongeza vikodi vya hapa na pale ili kuendesha serikali yake, lakini bado mambo yalimuwia magumu hali iliyomfanya ajiingize katika hatari ya kugombana na wafanyabiashara, wengi wao aliwaita wahujumu uchumi, wapo walioisoma.

Mimi nilimwambia nchi yoyote iliyoendelea haijawahi kuendelea kwa kutegemea unyonyaji kwa watu wake pekee, bali ni lazima ivamie mataifa mengine. Nilitoa mifano kwa baadhi ya mataifa yaliyoendelea yaliyojipatia utajiri kwa kunyonya watu wake na mataifa mengine.. Biashara ya utumwa, Ukoloni, na ukoloni mamboleo vyoote vinaangukia hapa.

Taifa kama la Korea ya kusini loo, liliamua kualika mataifa mengine hasa Mataifa ya Magharibi kuja kuwekeza Korea kusini. Kwa sasa Korea ni moja ya nchi zilizopo ulimwengu wa pili.

3. Magufuli aliamini kuongoza nchi kibabe ndio suluhu ya maendeleo, wakati mbinu hiyo ilishapitwa na wakati, na kwa vyovyote lazima ingelala upande wake na angeshindwa, licha ya kujitutumua kuchelewesha muda wa anguko lake.

Mimi nilimwambia kuwa kizazi cha sasa kinaongozwa kwa akili, ujanja, maarifa na mambo yote yahusuyo akili. Ubabe ungeweza kutumika machungani kwenye mbuzi, ng'ombe, na kondoo ambao hawana utashi kama binadamu.

Hakuna uhusiano wa karibu baina ya Ubabe na biashara, hivyo kivyovyote vile anguko la kiuchumi lilikuwa ni uhakika. Kwani hakuna mfanyabiashara ambaye angependa aishi kwa hovyo wakati pesa ni zake mwenyewe.

4. Magufuli aliamini kuwakaripia wengine mbele ya halaiki na wengine kuwatukana ndio namna ya kuleta nidhamu ndani ya serikali yake.
Wakati nidhamu ndani ya serikali hutokana na jinsi sheria zinavyofuatwa na kutelekezwa. Kama mtu ni mwizi basi sheria ingechukua mkondo wake,

Masikini wengi na watu walioshindwa walifurahishwa na magufuli kwa sababu ni kawaida ya masikini kuona mwenye nacho akianguka.

5. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye matamko kuliko kuweka mfumo imara ili hata yeye akiondoka mambo yatajiendesha vyema.
Niliwahi mwambia kuwa One manshow ni kama mbio za sakafuni ambazo lazima ziishie ukingoni. Nilimwambia anapoteza muda wake.

Maendeleo ni mfumo kama mnyororo unaounganisha seti nyingi ya vitu.
Maendeleo ya nchi za Afrika niya kubahatisha kwa sababu hakuna mfumo unaoeleweka.

6. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye kujipa promo kwenye vyombo vya habari na kujisifu, na kuwazima wengine ili kuchota akili za watu wenye upeo mdogo na kuzuia wale waliokuwa wanampa challenge kwa mitazamo yao.
Hii pekee ingetosha kuonyesha kuwa anapoteza Muda wake.
Hakuwa mtu kama Anthony Mtaka ambaye hafanyi manipulation lakini matendo yake yanaonekana.

7. Magufuli alifanikiwa zaidi katika kutekeleza na kusimamia maendeleo ya miundombinu, kwa hili nampa heko, lakini nilimuambia kuwa taifa masikini linawekeza kwenye watu na sio vitu,
Hii watu walinipinga lakini huo ndio ukweli mchungu, masikini kuwekeza kwenye vitu zaidi ya watu ni kupoteza muda na kuwatesa watoto.

8. Magufuli alijitahidi kujifanya hawapendi Wazungu na kila mara alitoa maneno ya kupata ushawishi kwa watu ili wawachukie wazungu. Ndio maana hata Mambo ya Corona aliyaona kama mchezo wa kuigiza na njama za wazungu kutuangamiza.

Jambo ambalo hata mtoto mdogo akifikiri anaona ni uongo wa mchana.
Nilimuunga mkono kwenye suala la kutokuweka Lockdown, lakini masuala mengine nilimpinga.

Magufuli angepoteza muda kwa vyovyote kwa kupinga mambo ya wazungu ambayo hata huo Urais aliokuwa nao ni mfumo wa kizungu, masuala ya jeshi ni mifumo ya kizungu, jina lake lakizungu, dini yake yakizungu na hata alipokufa alizikwa kizungu, hata elimu yake ni yakizungu, hata magari na vifaa vyote alivyokuwa akivitumia ni vyawazungu, achilia mbali madawa na miwani aliyokuwa akivaa. Sijazungumzia silaha na wana usalama waliokuwa wanamlinda ambao ili wawe wa kimataifa inapaswa wapewe mafunzo ya kizungu.

Kama wazungu wangetaka kutuua wangetuua tangu miaka ya 1900 huko walipokuja kututawala. na hata wakiamua kutuua uwezo huo wanao, na hatuna uwezo wa kufurukuta.

Sasa mambo hayo hayo, nayasema kwa Rais Samia, kuwa aangalie asije akapoteza muda wake kwa kushindwa kuendana na wakati.

Maendeleo ya nchi ya USA sio lazima yawe maendeleo kwa Tanzania. Hiyo ni muhimu kuzingatiwa.

Hata hivyo Rais Samia lazima azingatie haya ili naye asijikute katika kucheza Nage na kupoteza muda wake.

1. Maendeleo ni kuwekeza kwenye watu
2. Kuwekeza kwenye watu ni kuwapa Uhuru
3. Uhuru wa watu ni pamoja na kuwapa nafasi ya kuyafurahia maisha yao kwa kutumia rasilimali za nchi yao au kuvamia mataifa mengine. Passport zitolewe watu wakahangaike huku na huko.
4. Serikali isifikiri kunyonya wananchi wake pekee(kodi na ushuru) bali pia ifikiri namna ya wananchi wake kuenda nchi zingine kunyonya mali na utajiri wa nchi zingine.

5. SHeria na utawala bora zisiachwe
6. Ubabe wa kipumbavu uachwe maana palipo na ubabe au udikteta lazima kuwa na uasi/usaliti na palipo na usaliti lazima pawe na mapinduzi.

7. Serikali isijikite kwenye matamko ya kipuuzi puuzi. Kwani kwa kufanya hivyo itaathiri vijana wengi ambao wao kila kitu watataka tamko la serikali.

Sishangai kwa nini watu wanamlaumu Mama kuwa kwa nini ni mpole, ni kutokana na kuathiriwa na matamko yasiyo na kichwa wala miguu.

Sio kila kitu kitolewe tamko kwa kutafuta sifa za kijinga kwenye Kamera ili ionekane kazi inafanyika wakati hakuna kitu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa, Dar es salaam
AMEN
 
Umejikita sana kwenye kukosoa na Bahati mbaya unazani umepatia kwenye mapendekezo.

Nikwambie tu kwamba umekosea mno.

Maendeleo ni Mchakato.
 
Jpm at the end of the day ametoa positive output na ameleta positive impact na amewaachia watu spirit.
Ndugu yangu watia huruma.
Eti watu hata wakiuawa, kubomolewa nyumba zao, kufungiwa account zao, kubambikiwa kesi, kutukanwa hovyo kwako ni sawa tu mradi inaleta positive impact?
Unaelewa maana yake kweli?
Huo ndio udikteta, udhalimu, ukandamizaji na dhambi kubwa kwa viwango vyovyote.
Au kwa vile hakuna mzazi wako/nduguyo aliyedhurika ndio wajitoa fahamu?
 
Magufuli was a hero. Itachukua muda sana kulifahamu hili. He was ahed of time.
 
NILIWAHI KUMWAMBIA HAYATTI MAGUFULI, LEO NARUDIA KWA RAIS SAMIA, ILI ASIJEPOTEZA MUDA WAKE.

Na, Robert Heriel

Niliwahi kuandika hapa miaka mitatu iliyopita, niliipa makala ile kichwa kisemacho "Rais Magufuli unapoteza muda wako tuu" katika makala ile watu wengi walinitukana, wengine walinitishia, sikuwalaumu kwani niliwaelewa lakini wao hawakuwahi kunielewa.

Leo hii narudia baadhi ya maneno yaleyale niliyoyasema siku zile.

Niliandika Magufuli anapoteza muda wake nikiwa na hoja zifuatazo;

1. Magufuli nilimuona anapoteza muda kwa sababu alikuwa na mtazamo kuwa, nchi ni tajiri na itapata maendeleo kwa sababu ina Rasilimali nyingi akizitaja kama madini, mbuga, ardhi kubwa yenye Rutuba, maziwa na mito yenye viumbe maji kama samaki, vivutio vya utaliii, bahari, kuzungukwa na mataifa mengi yasiyo na bahari, n.k.
Niliona anapoteza muda kwa sababu, nchi haiendelei kwa wingi wa Rasilimali isipokuwa inaendelea kwa ya kuwa na WATU WENYE AKILI. Watu wenye akili ndio wanaleta maendeleo nchini sio uwepo wa Rasilimali nyingi.

2. Magufuli aliamini, nchi itajengwa kwa kuwanyonya wananchi wake pekee, ndio maana alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote aliyotawala, pia akashindwa kutoa ajira mpya.
Kama hiyo haitoshi, sio ajabu aliongeza vikodi vya hapa na pale ili kuendesha serikali yake, lakini bado mambo yalimuwia magumu hali iliyomfanya ajiingize katika hatari ya kugombana na wafanyabiashara, wengi wao aliwaita wahujumu uchumi, wapo walioisoma.

Mimi nilimwambia nchi yoyote iliyoendelea haijawahi kuendelea kwa kutegemea unyonyaji kwa watu wake pekee, bali ni lazima ivamie mataifa mengine. Nilitoa mifano kwa baadhi ya mataifa yaliyoendelea yaliyojipatia utajiri kwa kunyonya watu wake na mataifa mengine.. Biashara ya utumwa, Ukoloni, na ukoloni mamboleo vyoote vinaangukia hapa.

Taifa kama la Korea ya kusini loo, liliamua kualika mataifa mengine hasa Mataifa ya Magharibi kuja kuwekeza Korea kusini. Kwa sasa Korea ni moja ya nchi zilizopo ulimwengu wa pili.

3. Magufuli aliamini kuongoza nchi kibabe ndio suluhu ya maendeleo, wakati mbinu hiyo ilishapitwa na wakati, na kwa vyovyote lazima ingelala upande wake na angeshindwa, licha ya kujitutumua kuchelewesha muda wa anguko lake.

Mimi nilimwambia kuwa kizazi cha sasa kinaongozwa kwa akili, ujanja, maarifa na mambo yote yahusuyo akili. Ubabe ungeweza kutumika machungani kwenye mbuzi, ng'ombe, na kondoo ambao hawana utashi kama binadamu.

Hakuna uhusiano wa karibu baina ya Ubabe na biashara, hivyo kivyovyote vile anguko la kiuchumi lilikuwa ni uhakika. Kwani hakuna mfanyabiashara ambaye angependa aishi kwa hovyo wakati pesa ni zake mwenyewe.

4. Magufuli aliamini kuwakaripia wengine mbele ya halaiki na wengine kuwatukana ndio namna ya kuleta nidhamu ndani ya serikali yake.
Wakati nidhamu ndani ya serikali hutokana na jinsi sheria zinavyofuatwa na kutelekezwa. Kama mtu ni mwizi basi sheria ingechukua mkondo wake,

Masikini wengi na watu walioshindwa walifurahishwa na magufuli kwa sababu ni kawaida ya masikini kuona mwenye nacho akianguka.

5. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye matamko kuliko kuweka mfumo imara ili hata yeye akiondoka mambo yatajiendesha vyema.
Niliwahi mwambia kuwa One manshow ni kama mbio za sakafuni ambazo lazima ziishie ukingoni. Nilimwambia anapoteza muda wake.

Maendeleo ni mfumo kama mnyororo unaounganisha seti nyingi ya vitu.
Maendeleo ya nchi za Afrika niya kubahatisha kwa sababu hakuna mfumo unaoeleweka.

6. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye kujipa promo kwenye vyombo vya habari na kujisifu, na kuwazima wengine ili kuchota akili za watu wenye upeo mdogo na kuzuia wale waliokuwa wanampa challenge kwa mitazamo yao.
Hii pekee ingetosha kuonyesha kuwa anapoteza Muda wake.
Hakuwa mtu kama Anthony Mtaka ambaye hafanyi manipulation lakini matendo yake yanaonekana.

7. Magufuli alifanikiwa zaidi katika kutekeleza na kusimamia maendeleo ya miundombinu, kwa hili nampa heko, lakini nilimuambia kuwa taifa masikini linawekeza kwenye watu na sio vitu,
Hii watu walinipinga lakini huo ndio ukweli mchungu, masikini kuwekeza kwenye vitu zaidi ya watu ni kupoteza muda na kuwatesa watoto.

8. Magufuli alijitahidi kujifanya hawapendi Wazungu na kila mara alitoa maneno ya kupata ushawishi kwa watu ili wawachukie wazungu. Ndio maana hata Mambo ya Corona aliyaona kama mchezo wa kuigiza na njama za wazungu kutuangamiza.

Jambo ambalo hata mtoto mdogo akifikiri anaona ni uongo wa mchana.
Nilimuunga mkono kwenye suala la kutokuweka Lockdown, lakini masuala mengine nilimpinga.

Magufuli angepoteza muda kwa vyovyote kwa kupinga mambo ya wazungu ambayo hata huo Urais aliokuwa nao ni mfumo wa kizungu, masuala ya jeshi ni mifumo ya kizungu, jina lake lakizungu, dini yake yakizungu na hata alipokufa alizikwa kizungu, hata elimu yake ni yakizungu, hata magari na vifaa vyote alivyokuwa akivitumia ni vyawazungu, achilia mbali madawa na miwani aliyokuwa akivaa. Sijazungumzia silaha na wana usalama waliokuwa wanamlinda ambao ili wawe wa kimataifa inapaswa wapewe mafunzo ya kizungu.

Kama wazungu wangetaka kutuua wangetuua tangu miaka ya 1900 huko walipokuja kututawala. na hata wakiamua kutuua uwezo huo wanao, na hatuna uwezo wa kufurukuta.

Sasa mambo hayo hayo, nayasema kwa Rais Samia, kuwa aangalie asije akapoteza muda wake kwa kushindwa kuendana na wakati.

Maendeleo ya nchi ya USA sio lazima yawe maendeleo kwa Tanzania. Hiyo ni muhimu kuzingatiwa.

Hata hivyo Rais Samia lazima azingatie haya ili naye asijikute katika kucheza Nage na kupoteza muda wake.

1. Maendeleo ni kuwekeza kwenye watu
2. Kuwekeza kwenye watu ni kuwapa Uhuru
3. Uhuru wa watu ni pamoja na kuwapa nafasi ya kuyafurahia maisha yao kwa kutumia rasilimali za nchi yao au kuvamia mataifa mengine. Passport zitolewe watu wakahangaike huku na huko.
4. Serikali isifikiri kunyonya wananchi wake pekee(kodi na ushuru) bali pia ifikiri namna ya wananchi wake kuenda nchi zingine kunyonya mali na utajiri wa nchi zingine.

5. SHeria na utawala bora zisiachwe
6. Ubabe wa kipumbavu uachwe maana palipo na ubabe au udikteta lazima kuwa na uasi/usaliti na palipo na usaliti lazima pawe na mapinduzi.

7. Serikali isijikite kwenye matamko ya kipuuzi puuzi. Kwani kwa kufanya hivyo itaathiri vijana wengi ambao wao kila kitu watataka tamko la serikali.

Sishangai kwa nini watu wanamlaumu Mama kuwa kwa nini ni mpole, ni kutokana na kuathiriwa na matamko yasiyo na kichwa wala miguu.

Sio kila kitu kitolewe tamko kwa kutafuta sifa za kijinga kwenye Kamera ili ionekane kazi inafanyika wakati hakuna kitu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa, Dar es salaam
Mwenda zake Kesha kwenda tuliobaki ni sisi AMA ZETU, AMA ZETU. Yapo yanayofikirisha ijapokua si kila mwenye akili anaweza kufikiria wengine hukariri.

Mkuu sifahamu umri wako, ila kwa uzoefu wa kutumia umri wangu, ukiwachekea watanzania utashika adabu yako.

Mwalimu Nyerere alisema, hakuna nchi inayoendeshwa bila Miko, akatupa AZIMIO LA ARUSHA.

Alhaj Mwinyi aliwahi sema nilipofungua milango wengine waliamua kupitia madirishani.

Mzee Mkapa akasema, MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE watu wakajibinafsisha serikali wakayaishi maisha, wakahomola.

Mzee wa Msoga yeye kaamua kucheka nasi tukamchekesha akacheka akagonga wakajua kalegea wakapiga wakagawana kwenye mifuko ya sandarusi.

Mwendazake akapitia historia akatumia uzoefu wake kitalani akaachana na mfumo akaunda Taski force akainyoosha nchi wazawa na wenyeji tukanyooka. Aliteleza kama mwanaadamu na alipatia pakubwa nchi ikajulikana kwamba mwamba akisema huwezi kujitikisa, tukalalamika tukaandika, tukafyonza lakini yeye alisema hajali anachotaka ni nchi isonge mbele na ikasonga.

THE END JUSTIFY THE MEANS

R.I.P Jiwe ulitoonyesha njia...
 
Back
Top Bottom