Niliyoyaona kwenye nyumba kongwe wakati wa repair, mimi ni fundi umeme natamani kuacha kazi

Niliyoyaona kwenye nyumba kongwe wakati wa repair, mimi ni fundi umeme natamani kuacha kazi

Mafundi tunapitia mengi mkuu...
Mi kipindi flani nachimba shimo la choo tulikuta skeleton za watu kabisa kama saba hivi...

Nikawaambia waache kwanza nikaenda kuongea na mwenyewe tukafanya mpango wa kuamisha tuu ila ilikua ni hatari..

Yapo mengi tunapitia kwa wahindi kule ndo usiseme mkuu
Balaa sana kama movie vile hilo tukio lingetokea katika nchi zilizoendelea na likaripotiwa katika mamlaka wangekuja na repoti inayoeleweka ya hao Marehemu.

Inanikumbusha Series ya Hawaii Five O.
 
astuce-noeud-de-chaise2.gif

Kamba
 
Mafundi tunapitia mengi mkuu...
Mi kipindi flani nachimba shimo la choo tulikuta skeleton za watu kabisa kama saba hivi...

Nikawaambia waache kwanza nikaenda kuongea na mwenyewe tukafanya mpango wa kuamisha tuu ila ilikua ni hatari..

Yapo mengi tunapitia kwa wahindi kule ndo usiseme mkuu
Daaah hiyo changamoto
 
Back
Top Bottom