lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Sasa si ujieleze kidogo kaburi inakuwaje juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taken it easy fanya just hutadhurikaWakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
Taken it easy fanya just hutadhurikaWakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
Tuma hapa bwanaaNinayo mimi,njoo PM
Watu wana mafile milembe humu ndani sio bureNaona leo wanaopitaga kimyakimya wameamua kucomment hii chai jaba
Anyway Labella Poor Brain Kalpana Django doer Lightysh sijawaona bado....
😀😀😀😀Mkuu samahani umesema kaburi au kabundi? (Bundi mwenye afya mgogoro?)
Unajua maana ya Kaburi MzeeWakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
We Jama acha uongo...kaburi kwenye Cealing?Wakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.
Inawezekana kabisa, maana si kwa maruerue hayo aliyoandikaItakuwa umeenda kufanya kazi ahera.
Ngoja niisome na mimi 😀😀Naona leo wanaopitaga kimyakimya wameamua kucomment hii chai jaba
Anyway Labella Poor Brain Kalpana Django doer Lightysh sijawaona bado....
😂😂😂😂💉Naona leo wanaopitaga kimyakimya wameamua kucomment hii chai jaba
Anyway Labella Poor Brain Kalpana Django doer Lightysh sijawaona bado....
kaburi na mchanga au?Wakuu
Nimefanya kazi za domestic wiring repair kwa zaidi ya miaka kumi, nimeona mengi lakini ya leo ni kubwa kuliko.
Leo nimekuta kaburi na msalaba kabisa kwenye cealing board.
Natamani kuacha lakini life ngumu.