Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Nchi haiwezi kukabidhiwa kwa wahuni, Kama wameiba ni kwa manufaa ya taifa...hongera ziifikie serikali ya awamu ya tano.
Sasa ulikuwa unakataa nini kwamba hamkuiba kura? Kumbe nchi ilikuwa inaenda kwa 'wahuni' mwaka huu ndio maana mkaamua kuiba kura? Sasa nimekuelewa mkuu👏🤝. Unadhani huo wizi wenu utaleta manufaa kwa taifa zaidi ya kuchochea chuki na hatimaye kuiingiza nchi kwenye mauaji ya kimbari? Kumbuka hata Rwanda ilianza taratibu kama hivi na hatimaye ikaingia kwenye matatizo makubwa ya kihistoria.
 
Hakuna chuki yoyote, maisha yataendelea..hasira zikiisha mtatulia. Don't worry...time heals.
 
Acha ujinga wewe kuja na unfounded claims kama Trump. Madai yasiyo na ushahidi, si kila mtu hapa JF atakuja na madai ya kusimamia uchaguzi na kuona.
 
Mimi nimeshuhudia Mbeya mjini
 
Acha Soga, thibitisha unachokizungumza. Weka ushahidi hapa tuone sio unaongea ushambenga na kutaka kuleta taharuki nchini kwetu.
 
Siku hizi ushindi wa rais unahojiwa mahakamani Mkuu? Au unazungumzia nchi nyingine?
 
Sawa siku nikikuhitaji tafadhali usituangushe.
We tulia, haukufi!!

Na hii ni kwa wale wote wanaodhani wanaweza kuthibitisha, tafadhali muwe tayari.
Binafsi siogopi chochote,
Nilikuwa wakala ktk kituo Jimbo la kawe kwa tiketi ya chama Cha NLD,
Ktk kituo CHANGU Halima Mdee alipata kula 104 dhidi ya 25 za Gwajiboy, na Mhe LISSU alipata Kura 110 zidi ya 59 za bwana director lkn wakati tunafunga hesabu zikaletwa karatasi Kama 500 za Kura mpya tulizolazimishwa kujaza upyaa[emoji24][emoji24]
 
Huu ndio uhuni ambao Jiwe aliagiza ufanyike nchi nzima lakini ipo siku Mungu atampiga kipigo cha mbwa mwizi. Malipo ni hapahapa duniani. Jitu jizi la kura halafu kila siku linamtaja Mungu kinafiki. Labda mungu wa kishetani lakini sio huyu Mungu Baba tunayemjua siku zote.
 
Kwa nilivyousoma mchezo walioengineer mchezo mzima from the grassroots ni ARO kata (Afisa utumishi kata) na Mtendaji wa Kata walitakiwa kutoa ahadi kwa mkurugenzi wa halmashauri kuwa watakipa ushindi chama kwa asilimia kadhaa.

So hapo ni yeye sasa achague kutumia polisi, mabalozi, makada wabebe kura za wizi au wasimamizi au vyote kwa pamoja. Anyway kwa njaa niliyokuwa nayo 355,000 jumla ya malipo imenisaidia ila roho inauma.
 
Niseme ukweli,vijana wengi waliosimamia uchaguzi wametoa habari hizi,wala sio mmoja ni wote,without exception.Surely they can't all be liars.
 
Watu wanaposhindwa uchaguzi hukimbilia madai ya kuibiwa; siyo watanzania tu, hata wamerkani wana tabia hiyo. Dawa ni kupuuza tu, na kuwadhibiti wasilete fujo

 
haukuwa uchaguzi, but vindication of foolishness and lust for power
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…