Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Muulize arsis hivi hii CCM itatoka madalakani Kwa anavyo ona yeye au tuendelee kuwatumikia wabakaji???#
Arsis, ukimuu;iza siasa hakujibu moja kwa moja kwa siasa za sasa duniani, anakupeleka kwenye historia za kale sana ulinganishe mwenyewe. Kuna siku nilimuuliza kwani i anasema hivy? Akanambia soma visa vya mitume utazielewa tawala za kidunia na utaelewa ni nani ndio mtawala wa kweli.

Umenikumbusha kitu. Nikimaliza kisa anachonipa Yusuf alivyokutana na mzee wangu, niytaanza pots nitazoziita vionjo vya Arsis, hivyo vitajumuisha magunzo yake na maswali na majibu yake anvy0jibu anapoulizwa na watu wengine. Arsis huwa anajibu maswali mengi ya watu. Ukiwa na swali la kumuuliza uliza tu, tutaliweka jibu kwenye "vionjo vya Arsis" Kama alishawahi kujibu swali linalofanana na lako nitaweka wazi.
Simba.
 
maeneo yote ya kweli.wimpy hapo nimekula sana ice cream.we jamaa mwarabu mwarabu nin? usagara huko kote napajua. leo nimesjindwa kula mjini.kila mtu namuona yupo uchi. tena mama mmoja mtu mzima kaniangalia sana nikawa namkazia macho
Mimi ni shombe wa Kiarabu na kidigo tokea babu yangu wa kabla ya babu yangu ndio nadhani hawajachanganya damu.
Simba.
 
Nimekuelewa sana, lakini nashauri tuendelee kusoma hiki kisa cha yasioonekana kwa macho na kusikika kwa masikio yetu, tuna mengi sana ya kujifunza.
 
Kikapu kikajaa kamba............

Hii stori kamba wametajwa kuliko kitu kingine chochote
Inawezekana kwa kua nimekua nao na ndio chanzo kikuu cha uchumi tulichoachiwa na babu yetu. Kamba ni mali sana kwa sasa, haunipiti msimu wa kamba, hata nikiwa wapi, naacha kila kitu nawahi kamba.

Hapo kwetu, soko letu kubwa sana ni Kenya, zinakuja boti za friji kununua kila msimu. tunauza kamba kwa hesabu ya dollar kwa siku hizi, hakuna TRA wla forodha wala sijui mwenyekiti wa serikali ya mtaa, manispaa au upuuzi wowote wa kutozana kodi pale kwetu, wao wapo bize kukamata magendo ya kutokea Kenya hapo Duga maforoni,. Shambani kwa mzee Mabruki wanapaogopa kama ukoma, wanachezea fimbo na wanaowachapa hawawaoni. Hapo hata waiba nazi na embe wanapaogopa, Nyani wanapatazama kwa pembeni itakua binadam?
 
Dah yani toka nimeanza kusoma huu uzi, naona kabisa maswali yangu mengi yanajibiwa humu ndani...... Kwanza huu uzi umefanya sahv nipate amani ya moyo!!!

Maana nilikuwaga najiona kama mtu wa hovyo sana kuwa na connection na majin
(Sahv nimegundua Kumbe sio mtu wa hovyo ila n mtu wa maana😄😄😄😄😋😋)
 
Arsis ni mtaalamu wa lugha za duniani, usishangae ukakuta neno la Kijerumani au mithali ya Kijapani, unapoendelea kuusoma huu uzi. Arsis ni kiumbe wa ajabu sana. Amini.
 
Nimekuelewa sana. Tumuombe Mungu atufanyie wepesi.
 
Hapo kwenye kijerumani hapo...... Wajeruman kwenye maficho yao ya mali huwa wameweka majini ambao n very powerful 😄😄😄

Mzee wangu alitafuta mali za wajeruman sana bila mafanikio... Alikutana na visa vingi maana wale jamaa n wachawi balaah

Pia ili utoe mali zao lazima utumie code zao, ukienda na uchawi wa kiafrica utaona cha moto
Arsis ni mtaalamu wa lugha za duniani, usishangae ukakuta neno la Kijerumani au mithali ya Kijapani, unapoendelea kuusoma huu uzi. Arsis ni kiumbe wa ajabu sana. Amini
 
Kisa cha huyo mtu wa Nabii Musa kipo mbeleni huko, Arsis anakileta kivyake. Pia anakileta kisa cha Nabii Suleiman na mtu alieitwa Asfi bin Barkhia alieleta enzi ya Malkia mbele ya Mtume Suleiman. Jina kamili la huyo mtu alinipa Aisi ni Asfi bin Barkhiya bin Milahlah au kwa jina lingine Mihalah bin Yazou au Mihalhal,

Hayo majina nilikua siyajui kabla ya kupewa kisa na Arsis, Arsis anasema huyo ndio alieileta enzi ya Malkia mbele ya Mtume Suleman.

Arsis amenipa mengi niliokua siyajui kabisa wala sijawahi kuyasoma sehemu au kuyafikiria.

Tuendelee na huu mkasa wangu wa kufunguliwa macho, tutayaona mengi.
 
Ila njia bora always huwa n hard way....
Na njia yenyewe n kufanya ibada sana mpk ufikie level hzo🤝
Ila ukitaka shortcut utakuwa na mwisho mbaya sana
Kwa mtazamo wangu ibada ndio nyepesi kuliko zote. kwani ibada sio kitu cha kukitfuta au kulazimishwa, ni maisha yetu. Waislam tunaamini tunaishi ili tuabudu.

Arsis alinipa maana sana ya neno :kuabudu", itakuja mbele huko katika "vionjo vya Arsis".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…