Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nchi hii wanaume ni wachache sana wengi ni wavaa suruali tu.

Wasichojua ni kuwa wanawachukulia wanawake kama viumbe dhaifu kinyume kabisa. Cherehani alifanya unyama huo alijiona mwanaume kumbe ni ujinga tu.

Yeye kama anapendwa na wanamke iweje mke akatombwe nje? Madhaifu yako unataka kuonesha uko strong kwa kudhuru watu? Sasa tuone kama atatoboa.
Hamna kesi hapo. Akidhaminiwa imeisha hiyo. Kesi yenyewe shambulio? Labda ingekua mauaji hapo sawa. Jamaa yako alokatwa masikio atarudi hapahapa kulalamika
 
Hata kama ni wewe unakatwa tu
Ngoja sasa akanyee debe mtampelekea chakula.

Hakuna Kesi ya ugoni ambaye Mwenye Mke au mwenye Mume alishawahi kuishinda. Au nyie hata habari hamfatilii?

Yaani wewe ukimshika mume wako na mwanamke mwingine usidhani ukienda mahakamani huyo mke mwenzio utamshinda kwa lolote.hii ni kutokana kuwa unaingilia mapenzi na uhuru wa watu wengine kwa kisingizio kwamna ni mume wako/ mke wako kwa kuwa hawa ni watu wazima wenye akili.
 
Ngoja sasa akanyee debe mtampelekea chakula.

Hakuna Kesi ya ugoni ambaye Mwenye Mke au mwenye Mume alishawahi kuishinda. Au nyie hata habari hamfatilii?

Yaani wewe ukimshika mume wako na mwanamke mwingine usidhani ukienda mahakamani huyo mke mwenzio utamshinda kwa lolote.hii ni kutokana kuwa unaingilia mapenzi na uhuru wa watu wengine kwa kisingizio kwamna ni mume wako/ mke wako kwa kuwa hawa ni watu wazima wenye akili.
Tetea ujinga ukatwe.Utakatwa shauri yako.
 
Ngoja sasa akanyee debe mtampelekea chakula.

Hakuna Kesi ya ugoni ambaye Mwenye Mke au mwenye Mume alishawahi kuishinda. Au nyie hata habari hamfatilii?

Yaani wewe ukimshika mume wako na mwanamke mwingine usidhani ukienda mahakamani huyo mke mwenzio utamshinda kwa lolote.hii ni kutokana kuwa unaingilia mapenzi na uhuru wa watu wengine kwa kisingizio kwamna ni mume wako/ mke wako kwa kuwa hawa ni watu wazima wenye akili.
Atatoka. Lakini jamaa yako ndio hana masikio
 
Pole kwa kukatwa masikio. Hata akionesha yalipo hayaungiki tena. Umeshakua huna masikio hadi kaburini. Lakini mwenzio kesi yake ndogo tu (shambulio) . Ndani ya siku chache utamuona uraiani na wewe utakuja kulialia tena hapa sengewewe
Jamaa anauguza masikio na kidole cha kati kilichokatwa.Kwa ufupi kakatwa.😂😂😂😂
 
Jamaa anauguza masikio na kidole cha kati kilichokatwa.Kwa ufupi kakatwa.😂😂😂😂
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
 
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
Una uhakika unajua kiswahili?Hebu soma ulichokiandika ututafsirie bwana "ras kachoka"!
 
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
Sasa hata akipelekewa chakula inasaidia nini ikiwa kitendea kazi kimekatwa pamoja na masikio?
 
Nchi hii wanaume ni wachache sana wengi ni wavaa suruali tu.

Wasichojua ni kuwa wanawachukulia wanawake kama viumbe dhaifu kinyume kabisa. Cherehani alifanya unyama huo alijiona mwanaume kumbe ni ujinga tu.

Yeye kama anapendwa na wanamke iweje mke akatombwe nje? Madhaifu yako unataka kuonesha uko strong kwa kudhuru watu? Sasa tuone kama atatoboa.
Ulivyo taahira unaamini taarifa za taahira mwenzako popoma kuwa kweli kakamatwa? Na hata kama kakamatwa hakai ndani huyo wajinga ninyi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mke ndio huyo sasa kaliwa na bado ataendelea kuliwa kama akili za cherehani ndio hizo.
Na huo ni mwanzo tu wa aliyefumaniwa.Atakuwa "mpakwa-mafuta" akiendelea na ujinga wake.Acheni kutembea na wake wa mafioso.Mtakatwa.
 
Back
Top Bottom