Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nipe namba za mkeo nimle alaf unikate skio uone unapoenda kuishia mwanzo mwamba alikua na haki ila ukishavunja sheria huna tena haki lazima ushughulikiwe
Safi sana Mkuu kwa Maelezo yako kwani hata Mimi niliwaeleza hivyo hivyo ila tatizo hivi sasa humu Mitandaoni tuna Wapumbavu na Wahemukaji wengi kuliko Watu Critical and Rational Thinkers na ndiyo ninaopata nao taabu mpaka unaona sometimes tunajibizana / najibizana nao Vikali.

Kabla ya Tukio kwa 100% Haki ilikuwa kwa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ila kutokana na Upumbavu wake, kupenda Sifa za Kijinga, Kujivunia Ushirikina wake huku akisapotiwa na Marafiki / Chawa wake akaamua Kuchukua Sheria mkononi na Kumjeruhi Kikatili hivyo huyo Mgoni wake kupelekea sasa Kukamatwa na huenda akaishia pabaya kuliko alivyotegemea na Kuipoteza kabisa hiyo Haki yake Kisheria.
 
Mgoni angeliwa marinda je mngetangaza au mngemaliza kiume, ila nao ni ukatili🤣, kwaiyo bana ilo suala atapewa onyo na kulipa faini,
 
Siwezi kwenda polisi kushitaki mke wangu kaliwa, never, ntajua jinsi ya kudeal na hilo tukio
Huyo kapigwa tukio la kufumaniwa akaenda polisi na kujiliza huku JF.Kakatwa masikio na kidole.Kwa ufupi kakatwa.😂😂😂😂
 
Mkuu mbona kama unamtwtea mgoni zaidi? Au ni wewe?
Yaani umkule mtu wangu nikuache salama?
SIona kosa kubwa la huyu bwana
Kwahiyo utamfanya nn? Ukioa mwanamke malaya hayo yote utarajie pia.Mwanamke habakwi anatongozwa au kutongoza ndo wanakulana.Shida ni wanaume kuwa na wake wanapenda kutongozwa kwa Mara ya Pili.Akafungwe tu sokwe huyo
 
Kwahiyo utamfanya nn? Ukioa mwanamke malaya hayo yote utarajie pia.Mwanamke habakwi anatongozwa au kutongoza ndo wanakulana.Shida ni wanaume kuwa na wake wanapenda kutongozwa kwa Mara ya Pili.Akafungwe tu sokwe huyo
Huyo mgoni alizidisha dharau anawezaje kwenda kumkamua mke wa mtu nyumbani kwa mumewe? Bora kapewa kilema cha maisha
 
Inatafakarisha Sana ....

Kila mchangiaji aliyemrengo tofauti na mleta Uzi anatukanwa..

Huu utamaduni wa mzee wa Multiple ID$ 900 wa kishamba Sana....
 
juzi jamaa alipigwa nyundo ya miaka 30 kwa kumlawiti mgoni wake,sasa huyu ukatili alomfanyia sijui yatakayo mkuta.
Kwangu mimi naona masuala ya usaliti ni bora udili na muhusika mwenyewe alafu kuchepuka ni uamuzi hamna anayelazimishwa
 
Cherehani hana hatia hata robo kilo. Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu. Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?

Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra, ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe? Huo ni ujinga uliopitiliza. Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.

Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
Yeye mwenyewe cherehani ametembea na wake za watu
 
Cherehani hana hatia hata robo kilo. Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu. Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?

Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra, ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe? Huo ni ujinga uliopitiliza. Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.

Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
Kumkata sikio na vidole nayo ni adhabu nzuri maana jamaa kila akigusa sikio na kidole kilichokatwa atakuwa anamkumbuka mgoni wake, imagine ataishi na hiyo feeling mpaka atakapokufa, [emoji23] [emoji23]
 
Huyo mgini alipaswa kuuawa kabisa, hivi inakuaje vijana wanapenda kutembea na wake za watu ilhali kitaa kuna madem kibao? Ni kukimbia vizinga au? Stupid
 
Huyo mgini alipaswa kuuawa kabisa, hivi inakuaje vijana wanapenda kutembea na wake za watu ilhali kitaa kuna madem kibao? Ni kukimbia vizinga au? Stupid
Alikuja na uzi wake fulani hivi wa kutembea na wake za watu kwa sababu ya kushindwa marejesho ya vicoba!!

Sasa kwa bahati mbaya ameangukia kwa muuza mihogo. Ashukuru jamaa aliahirisha dhamira yake ya mwanzo, na badala yake akaishia tu kumkata sikio na kidole.
 
Back
Top Bottom