Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Mkuu mbona kama unamtwtea mgoni zaidi? Au ni wewe?

Yaani umkule mtu wangu nikuache salama?

SIona kosa kubwa la huyu bwana
Kupanga ni kuchagua , mkeo mmekutana mkiwa watu wazima , chances zipo kuwa x wake bado anadukua mzigo , na wewe kwa wakati huo u aonekana kama ndo uliingilia mahusiano yao.
Haijalishi commitment yako ya ndoa na mazagazaga ambayo unayabeba kama baba , wanawake wengi wanazichukulia hizo kama moja ya faida ya kumiliki papuchi.
Ndoa haikupi hatimiliki ya papuchi, wanaume tujatibu kujifunza hilo , la zivyo tutaozea jela ,
 
Nikikukuta na mke wangu nakufanya zaid ya hivyo vya bwana cherehani

Nitakupasua kwa wembe nitoe kokwa moja moja za pumbu

Halafu nakuja kumkata kata huyo mdudu vipande 7
 
Yote kwa yote jamaa alipewa stahiki zake, mtu anaitwa cherehani tena muuza mihogo ilibidi amuingize mhogo then ashone, hakuna watu wabishi kama wanaotembea na wake za watu atakwambia lazima nimle tu
 
Watu wametoka kwenye hoja yamebaki malumbano.

Hapa lazima tuangalie kosa ni wapi

1:Sheria zinasemaje mtu akifumaniwa

2:Sheria zinasemaje kwa mwenye mke

3:Sheria zinasemaje juu ya kuhukumu mwenyewe(mwenye mke)
 
Mkimaliza hakikisheni pia ni wapi Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani alivizika au alivitupa Viongo vya Mgoni wake alivyovikata Sikio na Kidole ambavyo vyote baada ya Kunikata aliviweka katika Kitambaa ( Handkerchief ) na akawa anatamba navyo Soko la Kawe kwa Marafiki zake na Wafanyabiashara wenzake akiwaonyesha huku akifurahia na kusema kuwa amemkomesha Mgoni wake
MmmmmHHH!! Hapo kwenye red panafikirisha sana!! KUMBE NI YEYE MLETA UZI.
 
Sasa kama hujui Neno Mental ni nini unaweza kweli Kushindana nami Kiakili na hata Kujenga Hoja?

Mental ni Offensive term likimaanisha Psychiatric Disorder na ungekuwa ni Tajiri wa Maarifa na Wordsmith wala usingejiaibisha Kuuliza / Kuniuliza hili Swali.

Pumbavu.
Huna unachojua mbuzi weye!😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom