Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Yeye alisha adhibiwa hana lawama, bali huyu aliye hukumu wakati yeye siyo mwana sheria aadhibiwe. Halafu ukizingatia na yeye aliwahi kumtafuna ambaye siyo wake na ndiyo kamchezo kake afungwe tu jamaa pole sana, ila ukome watakuuwa wengine hawana huruma tena ukome angekuwa mkulya je.
 
Cherehani hana hatia hata robo kilo.Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu.Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra,ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe?Huo ni ujinga uliopitiliza.Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
Tatizo liko kwa mwanamke. Umeolewa, huo mpwechelo wako unaugawa ili iweje?
 
Nilicho kiona hapo ni hao wafanyabiashara wa soko wana tabia za kuibiana wake, sasa huo ni uprimitive wa hali ya juu mnoo kama. Cherehani alifumaniwa na mke wa mtu basi ni dhahiri itakuwa mwenye mke wake hakuridhika pengi e na yy akaona aandae malipizi ya kula tunda lake cherehan
 
Mkimaliza hakikisheni pia ni wapi Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani alivizika au alivitupa Viongo vya Mgoni wake alivyovikata Sikio na Kidole ambavyo vyote baada ya Kunikataa aliviweka katika Kitambaa ( Handkerchief ) na akawa anatamba navyo Soko la Kawe kwa Marafiki zake na Wafanyabiashara wenzake akiwaonyesha huku akifurahia na kusema kuwa amemkomesha Mgoni wake
mleta mada ndo mgoni mwenyewe anaulizia kidole na sikio lake baada ya kukatwa vipo wapi?
 
Nilicho kiona hapo ni hao wafanyabiashara wa soko wana tabia za kuibiana wake, sasa huo ni uprimitive wa hali ya juu mnoo kama. Cherehani alifumaniwa na mke wa mtu basi ni dhahiri itakuwa mwenye mke wake hakuridhika pengi e na yy akaona aandae malipizi ya kula tunda lake cherehan
Nani kakuambia na kakudanganya kuwa Kusalitiana tu kwa Wanaume kupo Sokoni Mkuu?

Leo nakusaidia na nakupa Assignment ifanyie Kazi hakuna sehemu ambayo Wanaume Wanasalitiana kama Jeshini, Police na Gerezani.

Tena huko kuna Vifo vinaendelea kimya kimya vya Kusalitiana na Wengi wao hadi wamefikia hatua ya kupoteza Kazi / Ajira zao.

Ukiona tu Kamanda Mdogo anapewa sana Lindo ( namaamisha ) la Siku nyingi / mfululizo halafu mbali kidogo na ilipo Kambi nakuomba fuatilia kwa Ukaribu na Umakini uhusiano kati ya Mkewe na huyo Kamanda Mkubwa ( Boss wa Mumewe ) aliyempangia hiyo Ratiba ya Lindo / Zamu.
 
Hafungwi kamwe kikubwa mtu kashaondolewa sikio
Wote tuseme amina
 
Mtoa mada unawataka polisi wawatafute wadogo zake Cherehani. Kwanini usiende kuwasaidia polisi na hata kuwa shahidi wa kesi?
 
Mkuu mbona kama unamtwtea mgoni zaidi? Au ni wewe?
Yaani umkule mtu wangu nikuache salama?
SIona kosa kubwa la huyu bwana
Nipe namba za mkeo nimle alaf unikate skio uone unapoenda kuishia mwanzo mwamba alikua na haki ila ukishavunja sheria huna tena haki lazima ushughulikiwe
 
Ishu kubwa hapo sio kuliwa mke ishu ni ukatili hata jambazi anaweza akauwa ila akikamatwa anahukumiwa ndivyo sheria inavyosema hizo zingine ni hisia kali ambazo kila binadamu anazo hata mimi ningekasirika na kufanya jambo la ajabu ila ndio ashabugi yupi kwenye mikono ya sheria akifungwa mgoni anaendelea kujipooza na bibie mpka mwamba akitoka hana chake
 
Mtoa mada unawataka polisi wawatafute wadogo zake Cherehani. Kwanini usiende kuwasaidia polisi na hata kuwa shahidi wa kesi?
Nilichokifanya tokea niibue hili Sakata nimeshawasaidia tena kwa 99% na ndiyo maana walipoanza tu Kufuatilia na Kumsaka Police Tanzania wametumia Maelezo yangu yote niliyoyatoa hapa na wamefanikiwa nayo 100%.

Kuhusu kuwa Shahidi wa hii Kesi laiti ungekuwa na Aklli sawasawa Kichwani mwako usingesema hivi kwani kwa 85% Maelezo yangu yote hapa ni Ushahidi tosha Kwao tena wa Kimaandishi na siyo Maneno ya Mdomoni.
 
Cherehani hana hatia hata robo kilo. Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu. Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?

Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra, ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe? Huo ni ujinga uliopitiliza. Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.

Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
Cherehani anayo hatia tena anapaswa kuozea gerezani
 
Back
Top Bottom