Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

Hamna kesi hapo. Akidhaminiwa imeisha hiyo. Kesi yenyewe shambulio? Labda ingekua mauaji hapo sawa. Jamaa yako alokatwa masikio atarudi hapahapa kulalamika
 
Hata kama ni wewe unakatwa tu
Ngoja sasa akanyee debe mtampelekea chakula.

Hakuna Kesi ya ugoni ambaye Mwenye Mke au mwenye Mume alishawahi kuishinda. Au nyie hata habari hamfatilii?

Yaani wewe ukimshika mume wako na mwanamke mwingine usidhani ukienda mahakamani huyo mke mwenzio utamshinda kwa lolote.hii ni kutokana kuwa unaingilia mapenzi na uhuru wa watu wengine kwa kisingizio kwamna ni mume wako/ mke wako kwa kuwa hawa ni watu wazima wenye akili.
 
Tetea ujinga ukatwe.Utakatwa shauri yako.
 
Atatoka. Lakini jamaa yako ndio hana masikio
 
Pole kwa kukatwa masikio. Hata akionesha yalipo hayaungiki tena. Umeshakua huna masikio hadi kaburini. Lakini mwenzio kesi yake ndogo tu (shambulio) . Ndani ya siku chache utamuona uraiani na wewe utakuja kulialia tena hapa sengewewe
Jamaa anauguza masikio na kidole cha kati kilichokatwa.Kwa ufupi kakatwa.😂😂😂😂
 
Jamaa anauguza masikio na kidole cha kati kilichokatwa.Kwa ufupi kakatwa.😂😂😂😂
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
 
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
Una uhakika unajua kiswahili?Hebu soma ulichokiandika ututafsirie bwana "ras kachoka"!
 
Jambo ambalo linaweza kummaliza Cherehani ni pale atakapo sikia yule mtanga aliyekatwa sikio alikuwa akipelekewa chakula na mke wake kipindi chote cherehani akiwa mahabusu.
Sasa hata akipelekewa chakula inasaidia nini ikiwa kitendea kazi kimekatwa pamoja na masikio?
 
Ulivyo taahira unaamini taarifa za taahira mwenzako popoma kuwa kweli kakamatwa? Na hata kama kakamatwa hakai ndani huyo wajinga ninyi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mke ndio huyo sasa kaliwa na bado ataendelea kuliwa kama akili za cherehani ndio hizo.
Na huo ni mwanzo tu wa aliyefumaniwa.Atakuwa "mpakwa-mafuta" akiendelea na ujinga wake.Acheni kutembea na wake wa mafioso.Mtakatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…