Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Hakika mkuu huyu popoma huwa analetaga ujinga sana humu jamviniBado watoto hawajielewi na hawajui mke ni nani.Ni viumbe nao.Tuwe nao ila kuna siku wataanzisha nyuzi za kujuta.
Ni kambea tu hako.Hakana picha ya kidole wala sikio.Tuwekee picha yake
π€£πNi kambea tu hako.Hakana picha ya kidole wala sikio.
Hivi saa hizi katakuwa kamechanua hadi miguu kanafurahia Cherehani kukamatwa.π€£π
Ni kambea tu hako.Hakana picha ya kidole wala sikio.
Hii nayo ni ID mpya ya King of IDs in townMalaya anamtetea malaya aliyekatwa masikio.Acheni kuchukua wake wa watu.Mtaolewa muanze kujilizaliza.
Tatizo liko kwa mwanamke. Umeolewa, huo mpwechelo wako unaugawa ili iweje?Cherehani hana hatia hata robo kilo.Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu.Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra,ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe?Huo ni ujinga uliopitiliza.Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
mleta mada ndo mgoni mwenyewe anaulizia kidole na sikio lake baada ya kukatwa vipo wapi?Mkimaliza hakikisheni pia ni wapi Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani alivizika au alivitupa Viongo vya Mgoni wake alivyovikata Sikio na Kidole ambavyo vyote baada ya Kunikataa aliviweka katika Kitambaa ( Handkerchief ) na akawa anatamba navyo Soko la Kawe kwa Marafiki zake na Wafanyabiashara wenzake akiwaonyesha huku akifurahia na kusema kuwa amemkomesha Mgoni wake
Nani kakuambia na kakudanganya kuwa Kusalitiana tu kwa Wanaume kupo Sokoni Mkuu?Nilicho kiona hapo ni hao wafanyabiashara wa soko wana tabia za kuibiana wake, sasa huo ni uprimitive wa hali ya juu mnoo kama. Cherehani alifumaniwa na mke wa mtu basi ni dhahiri itakuwa mwenye mke wake hakuridhika pengi e na yy akaona aandae malipizi ya kula tunda lake cherehan
Nipe namba za mkeo nimle alaf unikate skio uone unapoenda kuishia mwanzo mwamba alikua na haki ila ukishavunja sheria huna tena haki lazima ushughulikiweMkuu mbona kama unamtwtea mgoni zaidi? Au ni wewe?
Yaani umkule mtu wangu nikuache salama?
SIona kosa kubwa la huyu bwana
Nilichokifanya tokea niibue hili Sakata nimeshawasaidia tena kwa 99% na ndiyo maana walipoanza tu Kufuatilia na Kumsaka Police Tanzania wametumia Maelezo yangu yote niliyoyatoa hapa na wamefanikiwa nayo 100%.Mtoa mada unawataka polisi wawatafute wadogo zake Cherehani. Kwanini usiende kuwasaidia polisi na hata kuwa shahidi wa kesi?
Cherehani anayo hatia tena anapaswa kuozea gerezaniCherehani hana hatia hata robo kilo. Mimi nisingeweza kumtetea mtu mwenye dharau hadi kutembea na mke wa mtu. Yani yeye ndiye anajua sana kuchakata mke wa mwenzie?
Hata kama jamaa hakumkuta mke ni bikra, ndiyo ujidai mwamba kutongoza na kumchukua mkewe? Huo ni ujinga uliopitiliza. Kwanza kumkata masikio alimuumiza sana.
Angetumia kajirisasi kadogo tu kumlenga kichwani ili apumzike kwa amani.
Kama hakujichukulia sheria mkononi kumuadhibu mtuhumiwa basi hana kosa.Sijaona kosa la cherehani
Yupo ndani ili atulize wenge tu.Cherehani is innocent.πππCherehani anayo hatia tena anapaswa kuozea gerezani
LABDA KILICHOMPONZA TU NI HII SIRI YA UCHI YENYE CODE NYINGI SANASijaona kosa la cherehani