Hongeraaaa sanaaaa,,, sas fanya mambo yafuatyo yanaweza kukusaidia
Tengeneza juice ya vitunguu maji kisha Tia asali mbichi vijiko 2 piga glasi moja jioni kila siku kabla ya kulala.
Jitahid kila siku asubuh unapiga maziwa frshi yenye karafuu,, Zoez hili fanya pia kila unapohisi kuhitaji sigala basi piga maziwa fresh yenye karafuu,, asubuh maziwa yenye karafuu,, jion piga juice ya vitunguu maji yenye asali piga wiki moja uje hapa