Nimeacha pombe na sigara lakini napata taabu sana, sipati usingizi hadi usiku wa manane

Nimeacha pombe na sigara lakini napata taabu sana, sipati usingizi hadi usiku wa manane

Nilijitahidi kuacha pombe lkn nashindwa.

Nilianza kuacha kunywea bar. Nimeshinda sasa nanywea home.

Home nilijitahidi kuacha kwa kuanz kunywa bia chache hadi moja, bado ninehamia kula sprit. Yaani kwa sasa nakuwa kama popo.

Ushauri wa kwenda kwa daktari nikafanyiwe detoxification napata ubaridi maana niknikama kwend kufanyiwa ile kusFisha figo
Pole mkuu unaweza kuamua sasa uache hata mara moja inasaidia tofauti na hapo ni porojo
 
Zidisha kumuomba Mungu yeye pekee ndo atakuepusha na hizo vitu
habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.

mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.

NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa.

Lakini mwaka jana 2024 baada ya x mass niliamua kuacha kunywa pombe na kuvuta sigara nimefanikiwa sasa nina mwezi sijagusa pombe wala sigara.

Lakini napata tabu sana mchana najaribu ku keep busy na ikifika jion naenda mazoezi uwanjan napiga ball na aerobics nyingine ili kupunguza ashk ya kuludi nilipotoka.

Lakin hivi karibuni nimekuwa nakosa au napata usingizi kwa tabu na kwa kuchelewa sana huku nikiwa na hamu ya kuvuta. Hapo awali hadi mikono ilikua iktetemeka kama sijavuta. Lkn nilishinda hiyo hali sahivi nakosa usingizi.

Watu wa karibu ikiwemo jamaa na rafiki ndugu hawajui wala sijawai vuta mbele yao pombe at list walikua wananiona mara moja moja nikiwa nimechangamka


naomba ushauli ndugu wataalam wa afya na wengine ambao mlichukua maamuzi kama yangu kuacha hivi vitu ili nisiludi nilipotoka. Mtanisamehe kwa uandishi mmbovu
 
Hongeraaaa sanaaaa,,, sas fanya mambo yafuatyo yanaweza kukusaidia
Tengeneza juice ya vitunguu maji kisha Tia asali mbichi vijiko 2 piga glasi moja jioni kila siku kabla ya kulala.
Jitahid kila siku asubuh unapiga maziwa frshi yenye karafuu,, Zoez hili fanya pia kila unapohisi kuhitaji sigala basi piga maziwa fresh yenye karafuu,, asubuh maziwa yenye karafuu,, jion piga juice ya vitunguu maji yenye asali piga wiki moja uje hapa
 
Wewe huna tatiZo kabisa😀😀😀
Mwanangu kwa siku anamaliza pakt ya embassy mikono inanukia sigara tu😀😀
 
habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.

mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.

NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa.

Lakini mwaka jana 2024 baada ya x mass niliamua kuacha kunywa pombe na kuvuta sigara nimefanikiwa sasa nina mwezi sijagusa pombe wala sigara.

Lakini napata tabu sana mchana najaribu ku keep busy na ikifika jion naenda mazoezi uwanjan napiga ball na aerobics nyingine ili kupunguza ashk ya kuludi nilipotoka.

Lakin hivi karibuni nimekuwa nakosa au napata usingizi kwa tabu na kwa kuchelewa sana huku nikiwa na hamu ya kuvuta. Hapo awali hadi mikono ilikua iktetemeka kama sijavuta. Lkn nilishinda hiyo hali sahivi nakosa usingizi.

Watu wa karibu ikiwemo jamaa na rafiki ndugu hawajui wala sijawai vuta mbele yao pombe at list walikua wananiona mara moja moja nikiwa nimechangamka


naomba ushauli ndugu wataalam wa afya na wengine ambao mlichukua maamuzi kama yangu kuacha hivi vitu ili nisiludi nilipotoka. Mtanisamehe kwa uandishi mmbovu
Usilale kabisa mpaka asubuhi nenda mishe zako kama kawaida usiku utaupata usingizi
 
Back
Top Bottom