Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
Hunamda gan toka umeacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen mkuu sitak artificial medication mkuu watanipa methadon hao🤣🤣 sema ntatoboaPole sana na hongera kwa kuchukua hatua ya kuacha pombe na sigara.
Kwa sababu mwili ulishazoea vitu hivyo (pombe na sigara) kwa muda mrefu ukiacha kutumia kuna dalili utaziona (withdrawal symptoms) kama hiyo kukosa usingizi nk.
Hizo dalili (withdrawal symptoms) ndizo husababisha wale wanaojaribu kuepuka matumizi ya pombe na sigara nk kurudi tena kuvitumia.
Kwa hiyo ni muhimu ukaonana na daktari ili akusaidie katika namna ya kukabiliana na hizo dalili (withdrawal symptoms).
Kuna vituo/hospital wanatoa hiyo huduma kuacha pombe (detoxification...) hivyo watafute kwa msaada zaidi.
Utashinda.
Kila la kheri.
Mkuu mimi vibinti vinanishinda an siwezi kuwa romantic mda wote.Ukiamua acha mkuu pigaba na hela yote mm imebaki usingizi ndio changamoto mwili kutetemeka uliacha
hii ni njia nzuri sana kama kuna mazingira yana mruhusu ajikite na gardenFanyakaz ngumu mwili uchoke utapata usingiz mkuu
Hakuna cha yeye akutiae nguvu , ni kuacha tu na kabla ya kulala piga tizi la kutosha oga dakika tano nyingi unasinzia.Amen mkuu nitashinda yote kupitia yeye atutiaye nguvu
Sema utaacha tu kwa sababu ushaweka Nia. Kikubwa kua serious na jitahidi kuyapitia Mara kwa Mara madhara yanayosababishwa na sigara pamoja na pombe hiyo pia itakupa msukumo wa kuacha.Hapana mkuu nilishindwa kuacha taratibu nilikua nikivuta muda tu unaenda huku nikijiapiza kuacha na kulaumu nikilud tena
Right ✅️ mkuuhii ni njia nzuri sana kama kuna mazingira yana mruhusu ajikite na garden
Haji keep busyhii ni njia nzuri sana kama kuna mazingira yana mruhusu ajikite na garden
dar ipi unaizungumzia sema kama umepanga chumba na hakina nafasi ya uwani kufanya hivyo..garden sio lazima majaruba ya tuta nduguHamna hayo mazingira mkuu nipo dsm kwa sasa
Amina mkuu miez 3 itaisha tu na hakika na kuendelea ntafanya yote uliyo niambiaDaah hii mada yako imenigusa sana nimeachana na madem zangu kadhaa kisa sigara nilianza nikiwa chuo japo sio mraibu wa pombe ila fegi ilikuwa hunambii kitu japo nina muda wa miaka 3 hv tangu navuta. Lkn no one noticed zaidi ya wale watu wangu wa karibu sana Nashukuru hata wazazi wangu hawajawahi kujua kama navuta
Lakini tangu tarehe 1 mwezi wa kwanza niliamua rasmi kuacha sigara kwa hiyo niko sober mwezi 1 sasa,Japo haijawa rahisi kuna muda misuli inakaza sana au napata maumivu ya kichwa kwa sababu damu inahitahi nicotine
Kuna kazi naifanya ya kuzunguka mikoani na shirika moja la Dini inanifanya niwe busy sana....kingine jitahidi sana kunywa maziwa fresh na matunda aina ya matango na tikiti vinasaidia sana pia kunywa maji mengi sana
Jitahidi usiishie njiani wataalamu wanasema ukijitahidi miezi 3 tuu tyr umeshaacha...
Nimejitahidi sana japo kuna siku uvumilivu ulinishinda nikaenda pembeni nikasmoke zangu wee 🤣🤣
Tuoambane man fegi sio issue kabisa 🚮🚮💔