Nimeacha pombe na sigara lakini napata taabu sana, sipati usingizi hadi usiku wa manane

Nimeacha pombe na sigara lakini napata taabu sana, sipati usingizi hadi usiku wa manane

habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.

mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.

NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa.

Lakini mwaka jana 2024 baada ya x mass niliamua kuacha kunywa pombe na kuvuta sigara nimefanikiwa sasa nina mwezi sijagusa pombe wala sigara.

Lakini napata tabu sana mchana najaribu ku keep busy na ikifika jion naenda mazoezi uwanjan napiga ball na aerobics nyingine ili kupunguza ashk ya kuludi nilipotoka.

Lakin hivi karibuni nimekuwa nakosa au napata usingizi kwa tabu na kwa kuchelewa sana huku nikiwa na hamu ya kuvuta. Hapo awali hadi mikono ilikua iktetemeka kama sijavuta. Lkn nilishinda hiyo hali sahivi nakosa usingizi.

Watu wa karibu ikiwemo jamaa na rafiki ndugu hawajui wala sijawai vuta mbele yao pombe at list walikua wananiona mara moja moja nikiwa nimechangamka


naomba ushauli ndugu wataalam wa afya na wengine ambao mlichukua maamuzi kama yangu kuacha hivi vitu ili nisiludi nilipotoka. Mtanisamehe kwa uandishi mmbovu
Umefanya uamuzi sahihi
 
tafuta mbegu za maboga hata kilo moja mix na aidha mtama au mahindi yani tengeneza kama lishe halafu saga, uwe unapika uji unakunywa kwa siku asubuhi na jioni fanya hivyo kwa mwezi mmoja utaona usingizi unavyoanza kukuvagaa, vitu vyengine kwasasa usiku usipende kukaa na mwanga wakati wakulala yani kama ukiwa unaenda kulala vitu vya mwanga zima, pia penda kuchosha akili aidha kwa kutafakari ama kusoma makala zakufikirisha ama hadithi zakufikirisha hii huufanya ubongo uanze kujilazimisha kupumzika!, so utakuwa unashangaa tu gari limezima!.
 
tafuta mbegu za maboga hata kilo moja mix na aidha mtama au mahindi yani tengeneza kama lishe halafu saga, uwe unapika uji unakunywa kwa siku asubuhi na jioni fanya hivyo kwa mwezi mmoja utaona usingizi unavyoanza kukuvagaa, vitu vyengine kwasasa usiku usipende kukaa na mwanga wakati wakulala yani kama ukiwa unaenda kulala vitu vya mwanga zima, pia penda kuchosha akili aidha kwa kutafakari ama kusoma makala zakufikirisha ama hadithi zakufikirisha hii huufanya ubongo uanze kujilazimisha kupumzika!, so utakuwa unashangaa tu gari limezima!.
Asante mkuu ntazidi kupambana kila njia mpaka nishinde
 
Kila jambo lina ugumu wake binafsi nilijotaidi kuacha mishangazi ulipita mwaka ivi mwanzo ilikuwa ngumu. Lkn mwishoe nilizoea kabisa ila isivyo bahati nimerudia tena mwaka huu.ko ushauri wangu kwa sasa pumzika tu kwa mda mkuu.
 
Kwanza nakupongeza sana kwa kuachanana na unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara,
Endelea kufanya mazoezi pia kama unavyofanya lakini pia kabla haujalala piga push up hata 50 kila siku usiku out of kucheza mpira tu
Lakini pia make sue unapata sex mara tatu kwa week ndugu yangu usingizi
Sawa mkuu japo sijaoa ntajitahid kuwakanda hivo hivo
 
Daah hii mada yako imenigusa sana nimeachana na madem zangu kadhaa kisa sigara nilianza nikiwa chuo japo sio mraibu wa pombe ila fegi ilikuwa hunambii kitu japo nina muda wa miaka 3 hv tangu navuta. Lkn no one noticed zaidi ya wale watu wangu wa karibu sana Nashukuru hata wazazi wangu hawajawahi kujua kama navuta
Lakini tangu tarehe 1 mwezi wa kwanza niliamua rasmi kuacha sigara kwa hiyo niko sober mwezi 1 sasa,Japo haijawa rahisi kuna muda misuli inakaza sana au napata maumivu ya kichwa kwa sababu damu inahitahi nicotine
Kuna kazi naifanya ya kuzunguka mikoani na shirika moja la Dini inanifanya niwe busy sana....kingine jitahidi sana kunywa maziwa fresh na matunda aina ya matango na tikiti vinasaidia sana pia kunywa maji mengi sana
Jitahidi usiishie njiani wataalamu wanasema ukijitahidi miezi 3 tuu tyr umeshaacha...
Nimejitahidi sana japo kuna siku uvumilivu ulinishinda nikaenda pembeni nikasmoke zangu wee 🤣🤣
Tuoambane man fegi sio issue kabisa 🚮🚮💔
 
Ni kawaida sana ndo symptoms of Nicotine withdrawal !
Endelea na utaratibu wako wa kufanya mazoezi !
Pia zingatia ratiba yako ya kulala iwe ile ile kila siku utakua sawa ni suala la muda tu !
Pia tengeneza mazingira ya chumba chako yawe na ushawishi wa kulala !

Zuia matumizi ya Caffein mida ya jion na kulala mfano kahawa na hizo energy drink
Kula vyakula vya protein itakusaidia sana.
Hongera sio kazi ndogo kuukimbia uraibu.
Anavyokosa usingizi maana yake hajaacha pombe..bado anashawishika kugida.

Labda tuambie ulikuwa unapiga bia au vikali
 
habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.

mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.

NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa.

Lakini mwaka jana 2024 baada ya x mass niliamua kuacha kunywa pombe na kuvuta sigara nimefanikiwa sasa nina mwezi sijagusa pombe wala sigara.

Lakini napata tabu sana mchana najaribu ku keep busy na ikifika jion naenda mazoezi uwanjan napiga ball na aerobics nyingine ili kupunguza ashk ya kuludi nilipotoka.

Lakin hivi karibuni nimekuwa nakosa au napata usingizi kwa tabu na kwa kuchelewa sana huku nikiwa na hamu ya kuvuta. Hapo awali hadi mikono ilikua iktetemeka kama sijavuta. Lkn nilishinda hiyo hali sahivi nakosa usingizi.

Watu wa karibu ikiwemo jamaa na rafiki ndugu hawajui wala sijawai vuta mbele yao pombe at list walikua wananiona mara moja moja nikiwa nimechangamka


naomba ushauli ndugu wataalam wa afya na wengine ambao mlichukua maamuzi kama yangu kuacha hivi vitu ili nisiludi nilipotoka. Mtanisamehe kwa uandishi mmbovu

Pole sana na hongera kwa kuchukua hatua ya kuacha pombe na sigara.

Kwa sababu mwili ulishazoea vitu hivyo (pombe na sigara) kwa muda mrefu ukiacha kutumia kuna dalili utaziona (withdrawal symptoms) kama hiyo kukosa usingizi nk.

Hizo dalili (withdrawal symptoms) ndizo husababisha wale wanaojaribu kuepuka matumizi ya pombe na sigara nk kurudi tena kuvitumia.

Kwa hiyo ni muhimu ukaonana na daktari ili akusaidie katika namna ya kukabiliana na hizo dalili (withdrawal symptoms).

Kuna vituo/hospital wanatoa hiyo huduma kuacha pombe (detoxification...) hivyo watafute kwa msaada zaidi.

Utashinda.

Kila la kheri.
 
Kila jambo lina ugumu wake binafsi nilijotaidi kuacha mishangazi ulipita mwaka ivi mwanzo ilikuwa ngumu. Lkn mwishoe nilizoea kabisa ila isivyo bahati nimerudia tena mwaka huu.ko ushauri wangu kwa sasa pumzika tu kwa mda mkuu.
Ukiamua acha mkuu pigaba na hela yote mm imebaki usingizi ndio changamoto mwili kutetemeka uliacha
 
Back
Top Bottom