Ahsante sana dada kwa ushauri wako mzuri umenitia nguvu sana leo siku yangu kazini imekuwa mbaya sana siitamani tena hii sikuVzr sana, Lia weee tena jifungie hata ulie kwa sauti ili uchungu uishe then mshukuru Mungu, wewe ni wathamani na UTAPATA kilicho bora zaidi.
Ktk mahusiano yatupasa tutambue kuwa mambo MAWILI yaweza kutokea, ndoa au kubaki na jambo la kujifunza ili uwe bora zaidi. Usijihukumu wala kujuta, mbele Kuna maisha bado yanahitaji kukamilishwa na amani ya moyo wako.
Stay happy bro.
Happiness is a choice.
Amna ndoa mipango ya ndoa ilikuwepo ila afadhali hatujafika mbali sijui ingekuwaje aisePole Sana bro ila tambua tu likuepukalo lina kheri, kwanza shukuru Mungu amekuepuaha na kukutoa katika utumwa wa dhambi ya zinaa,si unajua uzinzi ni dhambi bro!!
Pia 2year ni Mingi, ulitaka ugundue Nini kwa mfano na huku mnazini🤔🤔, hayo ni mahusiano sugu pengine ameona hakuna hata dalili yoyote ya ndoa🤣
Kabisa kaka ile time ananichana nilitamani niende chooni nikalie kilio cha mbwa mwizi we acheni tuUnapitia hali ninayopitia mimi for now. Leo nimepika wali bila mafuta na chumvi nione kama ntakula. Lakini wapi. Vumillia tu. Ambaye hajui anaweza cheka.
Majani yapi tena???🤣🤣🤣Namba yake nnayo namalizia kupalilia majani hapa nimpigie.....
Yaani upendo huu mpaka Shetani anakuogopa sasa. Au ndio mahaba ni upofu?Nipo tayari kudanganywa....
Matarajio huwa yanadhurumuWatu wanakubeza humu ila mimi nakuelewa. Pole, muda ni tiba.
Hakika. Ajipe muda atakua sawa.Matarajio huwa yanadhurumu
Na wanaume vivyohivyo... kumbuka uliowaacha kabla ya kumpata huyoHalafu mi sikuwa na mambo mengi nimejitahid kufanya kila kitu kwa ajili yake ila haya ndio malipo
Wanawake wabaya sana
Pole mkuu,move on...Na huu uzembe pia umechangia labda,
Huyu mimi ndio mwanamke wangu wa pili. Na nikiacha yule wa utoto basi huyu ndio wa kwanza
Nina 26 year
Huyu tumuache kwanza tukimshauri ndo tunamchanganya zaidi, unaweza mshauri afute namba akaifuta.....Wiki ijayo akafunga safari kuifata namba.Futa namba zake na kila kumbukumbu uliyobaki nayo kuhusu yeye iondoe,
Japo nimecheka na sio mazuri ila kuchezea future ya watu sio poaSiku kama ya 5 hivi mpenzi wangu simuelewi mawasiliano hafifu ubize mwingi si kawaida nikimuuliza ananiambia ni kazi za nyumbani maana ameenda kwao baada ya kufunga chuo so kazi za shambani ni nyingi muda mdogo.
Sasa tokea jana hatukuwa na maelewano mazuri mpka siku inaisha hakuwa sawa. Leo sasa kanitamkia Live kwamba karudi kwa jamaa yake kwa kuwa 'ametoka nae mbali' so ni ngumu kumuacha.
Nyie huyu msichna nina miaka nae miwili leo anakuja kuniacha ghafla hivi mumivu yake sikieni tu ni afadhali hata maumivu ya kutolewa roho😭😭.
Kuchwa kunauma sana hasa muda na pesa nilizowekeza kwake nikifikiria ningekuwa na mtu seriously pengine ningeshapata hata mtoto now.