Nimeachwa, najikuta natamani kila mwanaume

Katika hali hiyo, jaribu kupenda kama kwenda beach. Pia, usikibari kuwa peke ako
 
Sio hivyo mamii,unajua sisi wengine tuna ngekewa yaani ni kugusa tu mambo gedegede lainiiiiiiiiii au vipi,nakaribia kula nyama ya njiwa wa kubanika,maana nataka nimliwaze nimpe ile kitu roho inataka kuliko aje aangukie kwa mabazazi maana ana ugwadu.
Mtihani wa kiswahili darasa la saba ulipata alama gani, maana unamaneno sana ka mrisho mpoto loh
 
Ngoja nikufuate pm maana namie nna tatizo kama lako
 
Mtihani wa kiswahili darasa la saba ulipata alama gani, maana unamaneno sana ka mrisho mpoto loh
Yaani ni shauri ya kukaa coast sana na mainland kwa kiasi,kingine niliwahi kuwa muigizaji nikiwa secondary yaani nilikuwa mahiri kwenye drama ukiunganisha na kukaa vijiweni mamii,anyway shemeji yangu hajambo? na anakutuliza roho yako ikidunda kama danadana?na maana akupe pozo l roho,kama hafanyi hivyo nafasi yake iko mashakani.
 
Ooh kumbe ulikua kifungoni! Hope amekusamehe sasa nawe usirudie tena
 
Nitafute PM nina dawa mardaaadi kabisa dada.
 
Ata enjoy vipi kuwa single alone wakati hapati mgegedo au unataka mwenzio ajichue na maji?
Life is not all about sex, i agree that it's an important part of life and is truly enjoyable when it's with that right someone and not with every Tom, Dick and Harry.
 
Ooh kumbe ulikua kifungoni! Hope amekusamehe sasa nawe usirudie tena
Sirudii mamii,yaani nimekoma,maana Skyeclat ni mrembo anaejiheshimu sana hajawahi kuandika kitu kibaya au ujinga hata mara moja,basi na mimi siku hiyo nakazidisha Larger huku nikidhani watu wote ni kama Valentina yaani nawe unisamehe mamii,mara nyingi nilikukosea,hata hivyo humu ndani watu hatujuani na pia hatuonani ila sio vizuri nilivyofanya mamii.Anyway kwa sababu nimetubu na nimekuwa mtoto mzuri sasa,naomba usinchomolee tena,yaani unipe zawadi ya pipi mrembo japo cyber love au vipi?
 
Mm pia yamenikuta kama yakwako njoo tuongee niko siriaz
 
subiri pm yako inafurika vijana wa jf teh teh teh
 
Hivi Karanja unakulaga vitu gani ? Wewe jamaa ni bonge moja la entertainer ,kila napoona Comments zako lazima nicheke ,halafu watu wa aina yako mnakuaga ma genius

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…