Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Mukiwa kwenye ndoa ndoana akikuambia Sasa hataki mwanaume mnene utasemaje?
Je, ukiugua na kukonda atakwenda kumpa nyapu kidume mnene ili moyo wake ufurahi?
Umri wa huyo binti na namba yake ya WhatsApp naitaka.
 
Njoo PM nikuelekeze na nauza virutubisho vya kugain haraka sana,2 weeks na ni salama sabbu anatumia mpk mtoto kuanzia miaka 4.
 
Njoo PM nikuelekeze na nauza virutubisho vya kugain haraka sana,2 weeks na ni salama sabbu anatumia mpk mtoto kuanzia miaka 4.
Mkuu nitumie namba yako PM. Au kama una namba ya ofisi fanya hvyo naona watu wananivuruga tu
 
Mukiwa kwenye ndoa ndoana akikuambia Sasa hataki mwanaume mnene utasemaje?
Je, ukiugua na kukonda atakwenda kumpa nyapu kidume mnene ili moyo wake ufurahi?
Umri wa huyo binti na namba yake ya WhatsApp naitaka.
Mkuu ntakuroga kuwa makini
 
Tumia balanced diet

Pata muda wa kupumzika,

Tumia Viongeza hamu ya kula km zile product za kuchanganya kwenye chakula ama multi vitamin(vitamin B complex)

Tumia smoothies za kutengeneza mwenyewe(mf maziwa+embe+ndizi)

Ila la mwisho napenda nikuambie utakuja kulia na kusaga meno kwa huyo dada.
 
Hahahha kwaiyo akitokea mnenen zaidi yako wewe utakavyonenepa atampa papuchi sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mistari yako miwili ya mwisho naona kama hainuhusu saana wala si ya kuzingatia. Hata hivyo ahsante kwa mistari yako tangulizi
 
Unapokuja kuomba ushauri maan yake umekubali kupata mawazo mbadala ya yale uliyonayo, kama uko tayari kufa ama uko tayari akuue kwa mapenzi hakuna haja ya kuongeza uzito.
 

Kuna sindano za kuongeza hipsi na makalio mkuu na kitambi kitakuja chenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…