Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

Brother utapoteze fedha na muda hapo hakuna kitu
Kunenepa rahisi lakini kupungua ni mziki hatari, wengi duniani wanapambana tena kwa kupoteza ela kupungua
Bora angesema unenepeshe mali, fedha, akili, lakini sio mwili. Mwishowe utaambiwa ulete mkojo wa samaki
Kifupi hapo hutakiwi na hupendwi, usipoteze muda, nguvu na fedha zako for the stupid girl, run away, nasema get away, hivi unasikia na kuelewa?
 
Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!

Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!

Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!

Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Duuh
 
Siku akimwambia ufe kidogo utakufa?
 
Mwambie yeye ndiye mwenye uwezo wa kukufanya unenepe as unampenda, akikubali uta relax then utanenepa.

Ila huyo binti atakuwa anaringa sana mkuu.
 
Mkuu, hata ahangaike nayo haya yote uliyo mshauri na akapata majibu chanya, ndoa haipo.
Na kama huyo jamaa ana mwili kama wa Polepole wa ccm hata alale na hivyo vyakula kitandani hanenepi ng'o.
Awaachie tu waoaji wamuoe huyo kisukunuku
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16]kisukunuku
 
Ila mwanamke akiwa hakupendi atakupa visababu vingiiii

Mkuu huyo mwanamke hakupendi tunajijua tukiwa hatumpendi mtu
Shunie kausha muache amnyonye damu mpaka za uti wa mgongo[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Nimekumbuka kitu nimecheka sana.

Mimi sio mtaalam ila kwa uzoefu hapo OP ale vyakula vyenye sukari nyingi kama sodas, cakes kila siku. Ndani ya wiki 2 tu anapata mchumba wake.

View attachment 1767206
Huyo demu anataka aringishie mashost zake kuwa bwana ake ana kitambi ujinga ujinga yaani

Na kiukweli huyo demu hampendi hata kiduchu kama hii stori sio chai[emoji57][emoji57]
 
AMKA!!!

Mwanamke anayekupenda Kwa dhati hawezi kukupa sharti la kijinga kama hilo na kama je hujajaaliwa kunenepa?akili nyingine za kipunguwani kabisa!Mtu hapendewi mwili kwani mwili unabadilika kutokana na umri na maisha hujui kesho yako(mungu aepushie mbali) labda unaweza kupata ajali ukawa kilema si atakwambia angekupenda ungelikuwa na miguu?

Utakapopata atakayekupenda kwa dhati hakutokuwa na vipingamizi.Wakati mwengine sisi binaadamu wabishi,hapo Mungu anakuepushia kitu lakini we bado umengangana tu.Kuwa na subira Mungu atakuletea mtu atakayekupenda kwa jinsi ulivyo na mapungufu yako!
 
Na ukinenepa halafu akakukubali kwa hayo mahusiano lazima ukonde, na ukikonda anakukataa😂😂😂
 
Zaidi ya mbususu tamu mwanamke ana kipi cha ziada cha kumoffer mwanaume?[emoji1787][emoji16][emoji16]....hizi ni kauli za wanaume
 
Ukiona Ivo huna hela mdau
Hana hata mia mbovu [emoji848]

Huu ndo ukweli

Mwanaume una vijisenti unamtoa out, unamvisha huo mda wa kukwambia unenepe kwanza hata nguvu anazipata wapi huyo mwanamke za kukwambia huo utopoloo?
 
Haya maneno yako utakuja kuyakumbuka siku moja na utajiona fala sana, haya maneno kama yako basi unapotesea sana ndugu, mwanaume mwenye akili sawa sawa hawezi kuongea utumbo kama huu.
 
Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!

Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!

Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!

Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Acha kumdanganya mwenzio wengine hata wale nn hawanenepi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…