Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa angalau nusu lita ya maziwa kila siku.Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa
Atanenepa kwa jina la Yesu 😂😂😂!!! Nina mwanang mmoja yeye analalamikaga tu hata aleje hanenepi! Namwambia unene unakujaga tu mda ambao hutarajii!Acha kumdanganya mwenzio wengine hata wale nn hawanenepi!
Wafanye vyote hivyo akiwa amerelax, otherwise ataishia kuharisha tu bila hata kuongeza hata robo kilo ya ungaKula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Kwa stress tu anazopewa hatonenepa!Atanenepa kwa jina la Yesu 😂😂😂!!! Nina mwanang mmoja yeye analalamikaga tu hata aleje hanenepi! Namwambia unene unakujaga tu mda ambao hutarajii!
Kumbe stress hukondesha eehKwa stress tu anazopewa hatonenepa!
Kabisa!Kumbe stress hukondesha eeh
Ila wewe sidhan kama una stress akiKabisa!
Mimi nakula kuku Kwa mrija!Ila wewe sidhan kama una stress aki
Hongera sana bana hio ndio inatakiwaMimi nakula kuku Kwa mrija!
Duuh ajiandae na maradhi akishanenepa afu ataachwa😁Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Kweli ndo maana mwembamba😋Mishikaki ya nundu ndo mishikaki ya namna gani
Ataachwa na kisukari na presha 😂😂😂 atakufa baada ya mwezi mmoja tu wa stressDuuh ajiandae na maradhi akishanenepa afu ataachwa😁