Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

Hilo jitu unalivuta nje unalipiga mangumi kadhaa . Watu kama hao wanaibiwa wake zao
Huyu ni hatari sasa hivi nasikia huko ana cheo kwasbabu ni chawa wa Mkurugenzi wa halmashauri.
 
😂😂😂 Kwamba lijinga
 
Nawe sikunnyingine wacha ulimbukeni wa kitoto.
Ukipiga fweza kaa kinya kama sio wewe ama ukitaka mshirikisha mtu hakikisha na yyeye anapata mgao kwenye hiyo dili.

Sio wewe upige peke yako halafu mi kazi yangu kukutunzia siri tu baada ya kunitambia kwamba umepiga.

Wacha huyo rafiki yako akutumbue maana na wewe ulikuwa na ulofa fulani.

Piga kaa kimyaaa vinginevyo toa gawiwo.
 
Huo ndio ukweli, mimi mwenyewe nimewahi kukaa na wazazi nimefanya mambo kibao lakin ilikuwa kama natwanga maji kwenye kinu.
Ndg zangu walikuwa mkoa mwingine wakifanya kadogo sifa kibao.
Bro kama nakuona vile nikijitazama. Ni hivi majuzi tu ila sikuoata kufahamu kama uadui na vita kubwa napigwa kutoka kwa familia waliyonilea tangu utoto.
Yakuelezea ni mengi ila nimeamini Mungu hulipa hapahapa duniani na mwisho wa ubaya ni aibuuu.
 
Nimekuelewa sana jombaa, situation iliyokuwepo ndio ilifanya nikamwambia tena mshikaji hiyo kipindi alionekana kufurahia na tulivyokuwa alipaswa kuni support pia (kifedha).

Na kabla ya hapo kuna mambo niliyokuwa nimefanya kwa ajili yake. Hata ningesema nimpe mgao ingekuwa ni aibu kama angeipokea.

Hivi ulishakuwa na mshikaji akapata tatizo ambalo ulipaswa kumsuport but akalisolve mwenyewe kwa njia zake, na wewe ukapata relief?

Kusingekuwa na ile shida singemwambia chochote.
 
Hao ndio wananzengo kasahau yote kisa kununua pale..alijua nilipopata shida ya kiafya sitofanya maendeleo sitopata tena watoto nitaishia mmoja tu..wanapenda kuona tunateseka..
Pole sana..mimi ndugu zangu watoto wa mama mkubwa walinifichia vyeti vyangu ,mbaya zaidi baada ya siku kadhaa wakavitupa chooni na hii nilikuja kuifahamu baada ya mwaka kupita.

Sababu kubwa nishindwe kupata kazi niliyokuwa naifatilia...ila sijawahi kuwaa mbia na nishasamehe mara 70'.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah maisha haya aisee acha tujifunze na kuona mengi
 
JK anakwambia mtu akikuchukia hata mkiwa mnaogelea ziwani atakwambia unamtimulia vumbi.
 
Aisee 🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…