Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Kila mtu ataondoka na matendo yake hapa duniani, hata aombe akazikiwe papua island haitosaidia chochote ikiwa haukutenda mema hapa duniani, ivyo matendo yako ndiyo itapelekea uingie paradise, na ukiwa muisilamu.
Sio kila mtu alizaliwa kutenda mema kila mtu na mission yake iwe nzuri au mbaya
 
How old are you?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Majuzi Tumeenda kuzika sehemu fulani, Kukawa na mjadala kwamba Marehemu alitoa maagizo akifa watu wasile chochote msibani.

Wanakamati ya mazishi wakalazimisha watu kushinda njaa kisa marehemu.

Nikawauliza hivi marehemu angesema akifa asizikwe mwili wake ubaki chumbani tu mngezika komalia kauli ya marehemu kama mnavyokomalia watu wasipewe chakula?
 
machozi kutoka ni jambo la kawaida kwa mwili wa marehemu

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hebu achana na ya pili nipe hiyo ya Kwanzaa ya kufungua macho popcorn[emoji897] zake ninazo mkuu
 
Hizo ni hekaya ukifa umekufa ni giza tuu
Haya mambo yapo wala usibishe ..mimi nakumbuka katika ukoo wetu tulizika mzee mmoja,wakakosea masharti katika mambo ya kimila..ilikuwa wanaume tunanyolewa nywele zinawekwa sehemu halafu kuna mzee anakwenda kuzizika shambani..basi walikosea kitu wakafa watu kama wanne mfululizo ikabidi wazee wakamwage mbege kuomba msamaha ndo ikawa pona oona yetu.
 
Mliambiwa na dr chanzo cha kifo ni nini

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Si mchezo!!! Watu mnajua Mambo ya asili.
 
Kuna Nchi mambele huko sikumbuki vizuri mamlaka ya Anga waliambia wachawi wapunguze kupaa na mifagio usawa zinapopita ndege. Tena wenzetu mambo hayo wanasomea kabisa Dunia ina mambo aisee
Kingine kichwa lazima kielekee anakokwenda sivyo hamfiki popote
[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…