inategemea na aliyeacha maelekezo kama ana pesa za kumfikisha huko anakotaka kwenda kuzikwa au ana ndugu wenye uwezo wa kumsafirisha,,we huna pesa unaanzaje kuchagua sehemu ya kuzikwa...Lakini shida yote hii ya nini? Yaani ni ubahili tuu wa kumtoa Dar labda mpaka Morogoro, Dodoma au Arusha wakati mwenyewe kaacha maelekezo? Labda itokee hakuna mwenye uwezo kabisa wa kuchangishana na kukodi gari.
Ninayoikumbuka kuna mzee alisema sitaki siku ya kunizika mfanye mbwembwe kama sherehe kutokana na uwezo wa kifedha wa ile familia. Alisema anataka azikwe simple sio mambo ya vyakula, pombe n.k.
Sasa alipifariki watoto ni kama walifanya sherehe.. kitaa watu walihamia pale ni kula na kunywa. Siku ya maziko vivyo hivyo wakazika fresh.
Baada ya siku moja wakaja polisi wana kibali kwamba mtu aliyezikwa sio huyo. Kaburi likafukuliwa kuangalia kweli marehem sio wa familia husika. Ikabid waende tena mortuary kuchukua maiti yao na kuja kuzika kimya kimya bila mbwembwe.
Afi hii tabia ya Marehemu kabla ya umauti kutaja akazikwe kijijini bila yeye kuacha bajeti naona imekuwa trend sana. Mama Samia aliangalie hili😎
Hapa wanaoongelewa ni 'wafu' au 'wafiwa'?Hizo ni hekaya ukifa umekufa ni giza tuu
Asikudanganye Mtu popote pale ulipo kuwa kauli za Watu waliokufa namaanisha Marehemu wakizisema huwa hazitimii. Ni kwamba huwa hawatanii kabisa na wayasemayo hutokea na hutimia.
Mwaka jana nilihudhuria Msiba Mmoja ambapo kumbe Marehemu wakati anakata Roho alisema akifa azikwe Dar es Salaam na Ndugu wakampuuza wakamsafirisha wanafika tu Segera wakapata Ajali na wale wale waliolazimisha asafirishwe Wakafa na Msafara ukageuka na kuja Kuzikwa Dar kama ambavyo Marehemu aliagiza.
Mwaka huu Mwezi February kuna Marehemu alisema akifa tu asizikwe Dar es Salaam na akazikwe Kijiini Kwao na Ndugu walipolazimisha Kumzikia Dar es Salaam kwa Kigezo cha Kuokoa Gharama Jeneza lake liligoma Kubebeka ila baada ya muda tu Ndugu walipokubaliana asafirishwe kama alivyoagiza Jeneza lilikuwa jepesi mno Kubebeka na akasafirishwa Kijiini Kwake kwa Maziko.
Leo hii kwa wale Wakazi wa Chang'ombe Temeke nadhani Ajali mbaya iliyotokea Mataa na kusababisha Vifo na Majeruhi mmeisikia.
Ni kwamba Marehemu ambaye ndiyo alikuwa anasafirishwa kwenda Kuzikwa kabla ya kufa kwa Hasira alisema kuna Watu Wawili katika Familia yake akifa hataki waende Kumzika kwani wakati anaumwa na Kalazwa Hospitali walishindwa kwenda Kumuona huku uwezo huo wakiwa nao isipokuwa Dharau na Kupuuza kuliwatawala.
Na katika Ajali hi ya leo ambayo ilikuwa na Msafara wa Gari kadhaa Gari ambayo imegongwa na Kuharibika vibaya ni ya Watu wale wale Walengwa Wawili ambapo wote Wamefariki huku Mmoja Viganja vyake vikikatika.
Hivyo basi baada ya Msiba huu kutokea Msafara wa kumsafirisha Marehemu umeendelea na wale Watu aliowakataa wasimzike nao Wamefariki hivyo Maiti zao zipo Mochwari kwa sasa ukisubiri Msafara ulio Safarini ukirejea ndiyo waanze Kuhangaika nao na Wawazike.
Hata hivyo kuna Mbinu moja nilipewa na Wabobezi wa Kusafirisha Maiti / Marehemu wenye Masharti magumu hasa ya Kusafirishwa kuwa mkianza tu Safari tafuta Jiwe Kubwa / Jiwe Dogo liweke juu ya Jeneza na Marehemu / Mwili hautowasumbueni hadi mnafika. Bado sijaiamini ila kama hapa JamiiForums kuna wenye kuijua zaidi watufafanulie tafadhali.
Jamani tujitahidi mno na sana Kuziheshimu Kauli za mwisho mwisho za Marehemu kwani nimeamini kuwa kwa 85% huwa zinatimia japo kwa 15% zinaweza zisitimie vile vile kama ilivyo kwa Chanjo ya UVIKO-19 ambapo kwa 15% inaweza isikusaidie na ikakuathiri ila kwa 85% huwa inasaidia Kukukinga.
Ni mawazo yako, wacha tuyaheshimu.Magufuli alikuwa ni takataka na taahira na ndio maana hata COVID ilipita naye. Hakuwa na akili halafu alikuwa katili
kuna vitu hata kuviandika si tu usiwe na aibu bali hata kufikiri huna. mf mtu kusema maiti inabebwa inakataa kubebeka au kunyanyulika! ndo nakubali watu weng wanasoma sawa lakin hawaelimiki kabsa. chumvi nyingi
kaka we shika nilivyokuambia, kichwa kiangalie mnakotoka na miguu mnakokwenda. Nina mambo mengi tu kwa mfano ukitaka namna ya kumkamata mwanga ama mchawi akiingia nyumbani kwako sema tu nikumwagie hapa, dawa za kumvuta mwanamke ama mwanaume akufuate popote ulipo hata kama ni usiku ninazo pia, ila haifanyi kazi kwa mke / mme wa mtu - sina uchoyo na hii elimu maana na mimi nilipewa bure.Kuna Mwenzako kasema vice versa ya hiki ulichosema hapa sasa tumuamini nani labda?
Embu lete iyo ya kumvuta mwanamke Kuna pisi apa imekula pesa zangu sanaakaka we shika nilivyokuambia, kichwa kiangalie mnakotoka na miguu mnakokwenda. Nina mambo mengi tu kwa mfano ukitaka namna ya kumkamata mwanga ama mchawi akiingia nyumbani kwako sema tu nikumwagie hapa, dawa za kumvuta mwanamke ama mwanaume akufuate popote ulipo hata kama ni usiku ninazo pia, ila haifanyi kazi kwa mke / mme wa mtu - sina uchoyo na hii elimu maana na mimi nilipewa bure.
Masuala ya kazini pia yako - vyeo, mshahara nk
Nmecheka sana , kwamba wakazika kimyakmyaNinayoikumbuka kuna mzee alisema sitaki siku ya kunizika mfanye mbwembwe kama sherehe kutokana na uwezo wa kifedha wa ile familia. Alisema anataka azikwe simple sio mambo ya vyakula, pombe n.k.
Sasa alipifariki watoto ni kama walifanya sherehe.. kitaa watu walihamia pale ni kula na kunywa. Siku ya maziko vivyo hivyo wakazika fresh.
Baada ya siku moja wakaja polisi wana kibali kwamba mtu aliyezikwa sio huyo. Kaburi likafukuliwa kuangalia kweli marehem sio wa familia husika. Ikabid waende tena mortuary kuchukua maiti yao na kuja kuzika kimya kimya bila mbwembwe.
andaa mshumaaEmbu lete iyo ya kumvuta mwanamke Kuna pisi apa imekula pesa zangu sanaa
Kuna movie inaitwa T.H.R.E.E itafute hata U tube uone wazungu walivyo hatari.Haya ndiyo mambo pekee waafrica tunayaweza
My God, yaai anajivua gamba? Ulikuwa utajiri wa giza huo.Kifupi kauli zao hutimia.
Nakumbuka nikiwa mdogo mama yangu mkubwa alikuwa na pesa na Mali zisizo hamishika lakini kea kuwa alikuwa na UGONJWA wa ajabu wa kujivua Gamba (Kama mdudu) baadhi ya ndugu walimnyanyapaa. Sasa hivyo hivyo alisema endapo at ONDOKA duniani wasimsafirishe na watu fulani wasipewe chochote kutoka ktk Mali yake.
Kilicho tokea Alipofariki walilazimisha kusafirisha walipo Anza safari TU sanduku likatoka kwenye gari, mwili ukatoka kwenye sanduku ukaangukia mbalii! Naam toka SAA 3 asubuhi Hadi saa11:30 jioni hawawezi unyanyua hata kuusogeza Hadi pale walipo badili uamuzi wasimsafirishe ndo ukabebeka.
2. Wale waliokuwa wakimnyanyapaa kila aliye pewa Mali toka katika Mali zake alisepa hakuitumia hiyo Mali aliyopewa!
HahahahahahahMnapotoa haya masharti uchwara muwe mnahakikisha mmeacha pesa pia, sio usafirishwe tu kwa kuchangisha wengine.
andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe
ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.
wakuu sasa chagueni moja kwanza - tukimaliza tunaingia nyingine.Leta hio ya kazi na vyeo