Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Huyo marehemu ni mpumbavu? Sasa kuna faida gani? Umekataa asije kukuzika lakini mali zako anatumbua na hawara yake? Halafu unakimbilia kufumbua macho ndani ya jeneza, hivi ana akili kweli huyo mume? Na ndiyo maana akapewa sumu. Alitakiwa na yeye kulipa kisasi kabisa, sio kujifumbulisha fumbulisha macho, shame on him!
 
My God, yaai anajivua gamba? Ulikuwa utajiri wa giza huo.
Hapana Ni UGONJWA ambao alitendwa na mhindi mmoja ambae alikuwa mmewake aliilazimisha waondoke kwenda India kuishi mamkubwa akakataa ndo akampa Hilo janga la ngozi kubanduka
 
andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe

ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.

[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Magufuli alikuwa ni takataka na taahira na ndio maana hata COVID ilipita naye. Hakuwa na akili halafu alikuwa katili
Yes, kiongozi bora ni lazima uwe katili. Ukiwa katili tu, yaani hata usipokuwa na akili, ukawa taahira au ukawa taka taka, yaani unabaki kuwa mwamba tu. Magufuli ni mwamba na ni machine, vyeti fake, watumbuliwa, wapigaji lazima haja kubwa zigonge chupi, jamaa hacheki na kima.
 

Sasa akili azipate wapi na amekufa..!![emoji2377]
 
Vyeti feki wengi wapo kazini wanadunda, hata ndugu zangu na marafiki zangu wapo wengi jeshini kwa vyeti feki wanadunda.

Kibwengo Magu alikuwa mwamba wa kuinea vidagaa huko, walimu wa UPE
 
Hapana Ni UGONJWA ambao alitendwa na mhindi mmoja ambae alikuwa mmewake aliilazimisha waondoke kwenda India kuishi mamkubwa akakataa ndo akampa Hilo janga la ngozi kubanduka
Na ndio maana nakuambia, sio ugonjwa wa kawaida hata kidogo! Alirogwa, pia naye alikuwa mshirikina. Haiwezekani mali zianze kuwasumbua watumiaji. Huyo ndugu yenu alijua kila kitu kuhusu ugonjwa na mali zake, aliwaficha.
 
Mshana uko wapi???.........naomba utupie neno hapa.............maana mie kuna mtu alishaniambia nisisogelee kaburi (maziko) yake, alimaanisha japo kwa sasa naona kama amejivua gamba kimya kimya.....
 
Hata mkalete udongo ndoo nzima nilisema nikifa nizikwe hapa hapa shambani.

Najua mtatamani kuuza hapa maana nimeshapaendeleza. Jaribuni na huo udongo wenu gari litaanguka tu.

Natamani Mshana Jr usikose uhakikishe padre yupo pia. Mmh tena sitaki niwekwe kwenye friji.

Niko serious namba zenu nitampa lulu.
 
Ufafanuzi mzuri, umeweka details nyingi ndogo ndogo kiasi kinachofanya niamini kuwa unayosema hujayabuni tu(sina maana ni ya kweli au si kweli)

Tatizo ambalo mimi linaniwia vigumu kuamini aina hizi za story, ni kwamba zina base kwenye correlation yaani Tukio B linatokea baada ya tukio A bila tukio A kuwa sababu ya tukio B

Na sio causation, yaani pale tukio B linapotokea baada ya kusababishwa na tukio A

Kwanini naamini haya matukio ni correlation?
Let say kuna case 1000 kila mwezi ambapo marehemu kwa sababu anazozijua yeye anatoa masharti fulani ambayo yanapaswa kutekelezwa baada ya kifo chake

Then case 50 tu kati ya hizo, ndio zikaonyesha hayo madhara ya kutotimiza hayo masharti

Je cases 950 kwanini hazionyesha madhara?

Pia kwenye maelezo yako... Umefafanua kiasi gani tunaweza epuka hayo madhara

Swali langu ni "how" hii njia inafanya kazi?
Mfano Daktari akinambia ninywe hizi dawa kutwa mara tatu, kuna reason za "how" hii dawa inafanya kazi na kwanini napaswa kunywa kutwa mara tatu

Sio kwa ubaya, unaweza nipa maarifa kidogo on behalf ya kina "Tomaso" wenzangu kivipi hii njia inafanya kazi?

Kivipi jiwe dogo juu ya jeneza linaweza kuzuia kauli ya marehemu isifanye kazi

Na hii kauli ya marehemu ni nini haswa?... Masharti ya mwisho ya marehemu au "natural force" nyingine tusiyo ifahamu
Na kivipi inafanya kazi?... Ina base kwenye inverse square law pia (like 1/d^2)
 
Unapiga ramli?
 
kwa chanjo hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…