Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

Habari wakuu,

Kiukweli kwenye haya maisha sio lazima ufundishwe kila kitu. Kuna wakati unafika unajaribu kupambana na kulifanya jambo fulani ndipo unakuja kujua mtu mwenye mafanikio ni wa kumheshimu sana. Ml 100 kwa kuzitamka zinaweza kuonekana ni pesa kidogo sana but in reality kuna baadhi ya wafanyakazi wanastaafu na hawajawahi fikisha kiwango hichi cha pesa.

Nimepambana kuinvest kwa upande wangu nimeamini kuwa na kiwango hicho cha pesa yataka moyo. Now mimi nimefikisha 56ml as cash na nimeinvest UTT.

Je, wenzangu mliofikisha kiwango hicho cha pesa mlifanyeje, na kwa muda gani? Tupeane uzoefu
Mafanikio huanzia rohoni.
Inategemea biashara zako,kazi,kilimo na mifugo.
Mimi kuna nyakati nilikuwa 0 lakini huyu Mungu ni FUNDI sasa namiliki meli kubwa za mizigo.
 
Hao mamilionea ni sawa na 0.0035% ya watanzania wote.
Kwa mwaka upi?
Inategemea unaishi wapi au pengine umezungukwa na masikini wengi.
Tanzania has 2,400 individuals with a net worth of over $1 million, with 1,300 of these residing in Dar es Salaam ¹ ² ³ ⁴. The country is also home to 80 individuals with a net worth of $10 million or more, 8 with a net worth of $100 million or more, and 1 individual with a net worth of $1 billion ¹ ² ³ ⁴.
Sasa geuza kwa madafu fanya pro rata distribution kwa watu mil 61 halafu tafuta asilimia.
 
Kwa mwaka upi?
Inategemea unaishi wapi au pengine umezungukwa na masikini wengi.
Tanzania has 2,400 individuals with a net worth of over $1 million, with 1,300 of these residing in Dar es Salaam ¹ ² ³ ⁴. The country is also home to 80 individuals with a net worth of $10 million or more, 8 with a net worth of $100 million or more, and 1 individual with a net worth of $1 billion ¹ ² ³ ⁴.
Sasa geuza kwa madafu fanya pro rata distribution kwa watu mil 61 halafu tafuta asilimia.
Duh hiyo sio cash ni assets worthy manaake wengi ni wahindi na waarabu wenye mashirika viwanda mashamba makubwa, huwezi kumpata mmakonde au msukuma na hizo mali $1m ambao ni sawa sawa na 25bn Tz shilling.
 
20240520_150300.jpg
 
Inategemea upo mkoa. Gani hapa Tanzania , kama upo mkoani jaribu biasharavya Nafaka msimu huu Mahindi yameanza na Bei rafiki sana Gunia la KG 110 ni 38000/ Hadi. 40,000/.
Nunua Mahindi Gunia 500 Kwa Thamani ya Tshs 20milioni ,
Then nunua mpunga Gunia 200 za debe kumi kumi Kwa Thamani ya Tshs 10Millioni ,
Alizeti Gunia 300 KG 70 Kwa Thamani ya Tshs 15Milioni.
Hifadhi Kwa muda wa miezi Sita , hapo ni January 2025 Bei zotakuwa. Juu sana Kwani Mazao yanakuwa hamna mashambani.
Mahindi unaweza uza Hadi Tshs 80,000/ mara 500 Gunia = 40milioni.
Mpunga Gunia 200 Mara 140,000/ = 28milioni.
Alizeti Gunia 90000/ mara Gunia 300 = 27milioni
Jumla ya kipato Kwa kuwekeza 45milioni Kwa miezi Sita ni 95milioni.
Option ya pili kama upo Dar es salaam nenda maeneo ya pembeni yanauokuwa Kwa Kasi Nunua ekari tatu za ardhi katika maeneo matatu tofauti then unapima. Viwanja baada ya mwaka Moja Hadi miaka miwili. Ekari Moja inatoa wastani wa Viwanja 10 vya kuanzia 400sq Kila Kiwanja utauza zaidi ya Tshs 4Milioni, hapo mchawi ni kwenye kupoint maeneo Gani yarayokuwa Kwa Kasi.
PDF imenyooka ila imekosa kutaja risks.
 
Kati ya watanzania 100 mwenye ana account bank yeye kiasi zaidi ya 2.5 millioni ni 3 au 2
Mmh wewe hujui kwamba watu wako vibaya kuna watumishi hajawahi kuona kiasi cha pesa chenye six figures mda wake wote wa utumishi.........watu wana 100k kwenye account kama pesa ya dhalura mpaka auze nyumba au kiwanja ndo achungulie million kwenye account na haiwezi kukaa zaidi ya siku 30 bila kuitoa, na hawezi kuuza kiwanja kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baada ya miaka 10, 2034 utakuwa tayari na 100M. Ukiziacha huko huko UTT

Kwa sasa hivi endelea na harakati nyingine. Hiyo 56M, achana nayo wala hutakiwi kuifikiria.
Kuweka Milioni 56 kwa miaka 10 ndo upate milioni 100 ni uwoga wa maisha nakukosa ushauri wa kijasiriamali. Hizo hela akiiwekeza kwenye kilimo cha Zabibu au Miti ya Mitiki (kule Nyasa na kilombero) au Pines au cyprus kule Njoimbe na Ludewa baada ya hiyo miaka 10 anafikiria kushika Bilioni 1.
 
Inategemea upo mkoa. Gani hapa Tanzania , kama upo mkoani jaribu biasharavya Nafaka msimu huu Mahindi yameanza na Bei rafiki sana Gunia la KG 110 ni 38000/ Hadi. 40,000/.
Nunua Mahindi Gunia 500 Kwa Thamani ya Tshs 20milioni ,
Then nunua mpunga Gunia 200 za debe kumi kumi Kwa Thamani ya Tshs 10Millioni ,
Alizeti Gunia 300 KG 70 Kwa Thamani ya Tshs 15Milioni.
Hifadhi Kwa muda wa miezi Sita , hapo ni January 2025 Bei zotakuwa. Juu sana Kwani Mazao yanakuwa hamna mashambani.
Mahindi unaweza uza Hadi Tshs 80,000/ mara 500 Gunia = 40milioni.
Mpunga Gunia 200 Mara 140,000/ = 28milioni.
Alizeti Gunia 90000/ mara Gunia 300 = 27milioni
Jumla ya kipato Kwa kuwekeza 45milioni Kwa miezi Sita ni 95milioni.
Option ya pili kama upo Dar es salaam nenda maeneo ya pembeni yanauokuwa Kwa Kasi Nunua ekari tatu za ardhi katika maeneo matatu tofauti then unapima. Viwanja baada ya mwaka Moja Hadi miaka miwili. Ekari Moja inatoa wastani wa Viwanja 10 vya kuanzia 400sq Kila Kiwanja utauza zaidi ya Tshs 4Milioni, hapo mchawi ni kwenye kupoint maeneo Gani yarayokuwa Kwa Kasi.
Na mimi nitachukua ushauri huu.
 
Kwa mwaka upi?
Inategemea unaishi wapi au pengine umezungukwa na masikini wengi.
Tanzania has 2,400 individuals with a net worth of over $1 million, with 1,300 of these residing in Dar es Salaam ¹ ² ³ ⁴. The country is also home to 80 individuals with a net worth of $10 million or more, 8 with a net worth of $100 million or more, and 1 individual with a net worth of $1 billion ¹ ² ³ ⁴.
Sasa geuza kwa madafu fanya pro rata distribution kwa watu mil 61 halafu tafuta asilimia.
Hujaelewa point yangu ukakimbilia kujibu pumba kwa kiingereza cha kisukuma.
 
Back
Top Bottom