Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamumuoni mwenzenu lakini?,. Kila akiandika hamjiongezi mnanipa mashaka🤒
Mpaji Mungu kasema wallet sahv hazisomi ndo maana tunatumbua macho tuHamumuoni mwenzenu lakini?,. Kila akiandika hamjiongezi mnanipa mashaka🤒
😀😀😀 tatizo ukisave jina halisi ni rahisi kusahau maana kwenye pilikapilika za maisha tunakutana na watu wapya kila siku. mfano kuna dada anaitwa monica anauza matunda huwa ananileteaga hapa home sasa namba yake nikisave monica hata nikiona call yake notashindwa kuelewa monica yupi kwaiyo kwa ajiri ya kukumbuka kirahisi inabidi nimsave monica matunda.Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Hali ni teteMpaji Mungu kasema wallet sahv hazisomi ndo maana tunatumbua macho tu
Sawa.. kwaiyo ushaurii wako ni upi mkuu😀😀😀 tatizo ukisave jina halisi ni rahisi kusahau maana kwenye pilikapilika za maisha tunakutana na watu wapya kila siku. mfano kuna dada anaitwa monica anauza matunda huwa ananileteaga hapa home sasa namba yake nikisave monica hata nikiona call yake notashindwa kuelewa monica yupi kwaiyo kwa ajiri ya kukumbuka kirahisi inabidi nimsave monica matunda.
Tukija kwenye hoja yako ya msingi. Datong pool ni jungle hakuna atakaekuonea huruma. Kadiri unavyozidi kuwa naive na tricks za kwenye dating pool ndivyo wenzako wanapata nafasi zaidi ya kutumia iyo advantage. Ndio damaged women ni rahisi kupata mume mwema kuliko decent woman kwa sababu huyu wa kwanza ana uzoefu wa saikolojia na characters za wanaume wengi na anajua cheating codes za mchezo
Vilevile ni rahisi badboy kupata mke mwema kuliko ilivyo kwa nice guy kwa sababu kama ilivyp kwa damaged woman, badboy nae anaujua mchezo n ambinu zake zote humo kwenye dating pool
Asante sanaMim nimejitolea hasa kwako lakin umesema hutaki wa humu JF
Kwangu mimi nadhani sisi ndio tunakufa zaidi mana tunajua past yako.....
Tukikukubali ndio tumekubali na yale yote uliopitia
Lakin kwa vile ushanikataa, basi nami sinabudi kukutakia kila la kheri huko uendako
SawaHapo ndiyo utachakaa kwasababu mapenzi hayahitaji hasira. Utajikuta umempoteza mtu mwenye true love na kuangukia kwenye watu wenye mikono mibaya.
Ushauri wangu.
Fanya mazoezi, jipende na tulia. Tumia akili kwenye mapenzi na siyo hisia. Mtu mwenye mapenzi ya dhati atakuja tu ukitulia.
Kwani kuna shido mkuu nikitumia kiungo changu au unapata wivu si na wewe una chako kitumieSasa dada angu kama wanakupanda panda tu, tena mpaka waume za watu kama ulivyoandika, we huoni kama huo ni umalaya?
Sijakushirikisha mkuu nimeshirikisha jfBasi usitushirikishe kama hutaki tukushauri.
Siwezi naachana nae tu Naona najipotezea muda tuMwambie asave sasa.
Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Ni kutumiana sms tu umekula umelala unafanyajeSasa mahusiano ni nini kama sio kusex
SawaIkiwa huwezi mheshimu na kumuabudu Muumba wako unatakaje watu uliowajua ukubwani watakuthamini?
SawaWewe ni desperate, na utateseka sana usipotengeneza furaha yako!
SauwaaHakuna palipo na watu salama Bali vigezo na mashart ndo yatakupa usalama, wa church usiwaogope hao wasogelee ila vigezo ni vilevile na ndo vya mungu shida we huwezi mambo ya mungu hapo ndo tatz linaanzia
KumbePlease never ignore someone you never met,
You might ignore ELON MUSK without your knowledge.
Kabisani kweli
Musoma mkuupoa poa upo pande zipi