Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
poa poa upo pande zipiNitajitahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa upo pande zipiNitajitahidi
ni kweliBasi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Kwa kuongea kwako sana jf wengi wanakuona ni mwingi tayar sijui kama unaelewa Hilo angalia post nyingi zimekuelewaje kama jamvi na huenda hauko hivyoHuoni unatuchosha. Alaf hutaki mwanaume wa JF
Please never ignore someone you never met,Asante mkuu kwa offer ila nimeikataa
Anapenda kweli na ana familia Wala sio tatizo ni vigezo na mashart tu, pili umeona mwenyewe unasema mwema kumbe nawe ulimchukilia ni wakupita kumbe uayaanzisha mwenyewe hukumzingatia na wengine hawakuzingatii wewe ngoma drool, we si mwema wewe ni chagua chagua ndo unapigwaAlikupenda kweli na ana mke na familia?
Hakuna palipo na watu salama Bali vigezo na mashart ndo yatakupa usalama, wa church usiwaogope hao wasogelee ila vigezo ni vilevile na ndo vya mungu shida we huwezi mambo ya mungu hapo ndo tatz linaanziaHao ndio nawaogopa kuliko wanaume wa mtaani
Bado hujaaamua kutulia endelea kuhangaika tu na maplay boys wanaendelea kukuchakaza. Halafu bora kupendwa kuliko kupenda. Mpe nafasi anayekupenda huenda na moyo wako utabadirika na wewe utampenda pia.Tatizo anaekupenda humpendi mkuu… yaani kuna mtu kaniomba hadi anioe hii ni mara ya 2 namzuga sijampa jibu kwa vile sijamuelewa tu
Zingatia hiyo post ya juu, inaonekana unataka maisha ya kufikirika na ndo yanakusumbua, Kaa ufikir vizurBado hujaaamua kutulia endelea kuhangaika tu na maplay boys wanaendelea kukuchakaza. Halafu bora kupendwa kuliko kupenda. Mpe nafasi anayekupenda huenda na moyo wako utabadirika na wewe utampenda pia.
Ikiwa huwezi mheshimu na kumuabudu Muumba wako unatakaje watu uliowajua ukubwani watakuthamini?Hapo ndio pagumu mkuu… sijui mapepo yaliniingia nimekuwa mvivu kufanya ibada sikumbuki hata last time nilienda lini church
Ila this week nabadilika
Sasa mahusiano ni nini kama sio kusexUnafikiri kila mahusiano ni kusex tu
Kusex ni sawa ila Kwa vigezo na mashartiSasa mahusiano ni nini kama sio kusex
Masharti tena kwenye kugegedana😲Kusex ni sawa ila Kwa vigezo na masharti
Mwambie asave sasa.Sawa sijakata ndio tulipoonana mbona mimi nimemsave jina lake halisi si na yeye angesave jina langu aongeze na la ukoo wangu
Sio kwenye kugegedana mashart Ili muanze kugegedana yaani ni nani unagegedana naye? Ndo nimempa msimamo usikupe mgegedo mpaka Umuoe. Nd mashart yenyewe amvulie chupi mumewe tuMasharti tena kwenye kugegedana😲
Hiyo sasa sio starehe tena
Basi usitushirikishe kama hutaki tukushauri.Ni yangu bro kwani umeikatia Bima mpk uionee huruma
Sasa dada angu kama wanakupanda panda tu, tena mpaka waume za watu kama ulivyoandika, we huoni kama huo ni umalaya?Malaya wa baba ake fanton mahal
Hapo ndiyo utachakaa kwasababu mapenzi hayahitaji hasira. Utajikuta umempoteza mtu mwenye true love na kuangukia kwenye watu wenye mikono mibaya.Sawa.. mahusiano yajayo ni kuomba hela tu
Mim nimejitolea hasa kwako lakin umesema hutaki wa humu JFHuyo mmoja si ndio huyu nilimpata nae mambo mengi