- Thread starter
- #181
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaIzo zimewekwa kwa ajili ya wanandoa tu 😃 km hujaoa ama kuolewa hupaswi kuzilalamikia ivo
Sawa.. mahusiano yajayo ni kuomba hela tuDuniani watu wenye mapenzi ya dhati wapo. Ni suala la muda
Kumbuka mwili ni wako na humkomoi mtu. Ukitembeza sana K, kunywa pombe n.k utajikuta umepata ukimwi. Huo ukimwi ni wako.
Jitunze, tumia akili na fanya uchunguzi kwanza kabla ya kuingia kwenye mapenzi na mtu.
Kweli na Mimi naliwaza Hilo mkuuTafuta mnyonge umzabe na wewe
Wawafanyie dada zako kwanzaTatizo lako singo maza...
Wanaume kataeni ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini...
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule
Huyo mmoja si ndio huyu nilimpata nae mambo mengiTafuta mwanaume mmoja tulia nae
Hiyo si mpya, ndyo tulivyozaliwa, tabia hii inasomeka kwenye vinasaba vyetuBasi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
SawaHiyo si mpya, ndyo tulivyozaliwa, tabia hii inasomeka kwenye vinasaba vyetu
Sawa mkuuUmri wako tafadhali
Maana inaonekana bado una mapenzi ya utoto
Kiufupi inaonekana una utoto mwingi
Sijasema aniite majina mazuri maana hata mimi simwiti si angalau angenisave majina yangu halisi kama yake nilivyoyasevuPicha yako tafadhali,tuone kama itaendana na majina mazuri unayoyahitaji
Napenda helaKama hupendi hela, njoo hapa turahisishe mambo
Sikiliza sister usibadili tabia nzur na uwe mbaya hapana, kosa lako liko hapa, wewe unajifanya mwema kwa mwanadamu lkn wewe si mwema kwa Allah Muumba wetu, now kuwa mwema kwa Allah Kisha kwa watu na hautojuta, Kwanza Muabudu Muumba wako, pili usifunue mapaja Yako matamu kwa mtu yeyote mpaka uhakiki Nia yake, na wewe kumhakiki Nia yake ni kasi yake ya kutamani kukuoa na hataki kukukosa, usijidanganye ukimnyima atakukimbia, wanawake jueni mwanaume anyekupenda anatamani kukumiliki jumla uwe wake na si vinginevyo, ishi kama huwashwi hata kama unawashwa jizuie, ukifaulu hapo kazi yako itakuwa ni kuchuja anayekuja anataka nini, na sera yake ni ipi, usikubali kuchunguzana kwani mnapochunguzana ndipo unatumika kireja reja mwisho unaachwa, tulia watakuja watu wazur japo itachukua mda, hakuna kitu kizur kisicho na gharama na miongoni mwa gharama ni kuvuta Subira, mambo Yako mengi ya kukueleza lkn zingatia Ibada, kigezo kikubwa kabisa usitoe penzi bila ndoa, na hapo utakuwa mwema kwa Allah, Kisha aliye mwema atakuja hapo, mambo ni mengi naishia hapo Zingatia kuwa mwema kwa Muumba Wako usitoe utamu bila kibali wanawake wengi mnafeli hapo.Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Sawa dadaSijasema aniite majina mazuri maana hata mimi simwiti si angalau angenisave majina yangu halisi kama yake nilivyoyasevu
Ni kweli mkuu… sasa hivi nianze kuwa na moyo mguu maana nakuwa mrahisi kumpenda mtukadogo2 anateswa na mapenzi 🙌🙌
Mkuu umri wako tafadhaliSawa mkuu
Sawa mkuu…kwenye kutotoa utamu hapo nitajitahidiSikiliza sister usibadili tabia nzur na uwe mbaya hapana, kosa lako liko hapa, wewe unajifanya mwema kwa mwanadamu lkn wewe si mwema kwa Allah Muumba wetu, now kuwa mwema kwa Allah Kisha kwa watu na hautojuta, Kwanza Muabudu Muumba wako, pili usifunue mapaja Yako matamu kwa mtu yeyote mpaka uhakiki Nia yake, na wewe kumhakiki Nia yake ni kasi yake ya kutamani kukuoa na hataki kukukosa, usijidanganye ukimnyima atakukimbia, wanawake jueni mwanaume anyekupenda anatamani kukumiliki jumla uwe wake na si vinginevyo, ishi kama huwashwi hata kama unawashwa jizuie, ukifaulu hapo kazi yako itakuwa ni kuchuja anayekuja anataka nini, na sera yake ni ipi, usikubali kuchunguzana kwani mnapochunguzana ndipo unatumika kireja reja mwisho unaachwa, tulia watakuja watu wazur japo itachukua mda, hakuna kitu kizur kisicho na gharama na miongoni mwa gharama ni kuvuta Subira, mambo Yako mengi ya kukueleza lkn zingatia Ibada, kigezo kikubwa kabisa usitoe penzi bila ndoa, na hapo utakuwa mwema kwa Allah, Kisha aliye mwema atakuja hapo, mambo ni mengi naishia hapo Zingatia kuwa mwema kwa Muumba Wako usitoe utamu bila kibali wanawake wengi mnafeli hapo.