Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Duniani watu wenye mapenzi ya dhati wapo. Ni suala la muda
Kumbuka mwili ni wako na humkomoi mtu. Ukitembeza sana K, kunywa pombe n.k utajikuta umepata ukimwi. Huo ukimwi ni wako.
Jitunze, tumia akili na fanya uchunguzi kwanza kabla ya kuingia kwenye mapenzi na mtu.
Sawa.. mahusiano yajayo ni kuomba hela tu
 
Tatizo lako singo maza...
Wanaume kataeni ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini...
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule
 
Tatizo lako singo maza...
Wanaume kataeni ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini...
Mwanamke ni chombo cha starehe zalisha tupa kule
Wawafanyie dada zako kwanza
 
Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo

Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe

Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri

Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.

Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo

Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Hiyo si mpya, ndyo tulivyozaliwa, tabia hii inasomeka kwenye vinasaba vyetu
 
Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo

Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe

Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri

Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo.

Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo

Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Sikiliza sister usibadili tabia nzur na uwe mbaya hapana, kosa lako liko hapa, wewe unajifanya mwema kwa mwanadamu lkn wewe si mwema kwa Allah Muumba wetu, now kuwa mwema kwa Allah Kisha kwa watu na hautojuta, Kwanza Muabudu Muumba wako, pili usifunue mapaja Yako matamu kwa mtu yeyote mpaka uhakiki Nia yake, na wewe kumhakiki Nia yake ni kasi yake ya kutamani kukuoa na hataki kukukosa, usijidanganye ukimnyima atakukimbia, wanawake jueni mwanaume anyekupenda anatamani kukumiliki jumla uwe wake na si vinginevyo, ishi kama huwashwi hata kama unawashwa jizuie, ukifaulu hapo kazi yako itakuwa ni kuchuja anayekuja anataka nini, na sera yake ni ipi, usikubali kuchunguzana kwani mnapochunguzana ndipo unatumika kireja reja mwisho unaachwa, tulia watakuja watu wazur japo itachukua mda, hakuna kitu kizur kisicho na gharama na miongoni mwa gharama ni kuvuta Subira, mambo Yako mengi ya kukueleza lkn zingatia Ibada, kigezo kikubwa kabisa usitoe penzi bila ndoa, na hapo utakuwa mwema kwa Allah, Kisha aliye mwema atakuja hapo, mambo ni mengi naishia hapo Zingatia kuwa mwema kwa Muumba Wako usitoe utamu bila kibali wanawake wengi mnafeli hapo.
 
kadogo2 anateswa na mapenzi 🙌🙌
Ni kweli mkuu… sasa hivi nianze kuwa na moyo mguu maana nakuwa mrahisi kumpenda mtu

Ila hapo kabla kama Mungu asingemchukua mchumba wangu basi nisingejua maumivu ya mapenzi… nilidhani kwa namna ambavyo nilimpenda huyo Kijana na yeye akanipenda basi ndio maisha huwa hivyo kwamba ukimpenda mtu nae anakupenda kumbe ni kinyume chake…. Mwanamke hapaswi kupenda kabisa ni kuigizaa tu
 
Sikiliza sister usibadili tabia nzur na uwe mbaya hapana, kosa lako liko hapa, wewe unajifanya mwema kwa mwanadamu lkn wewe si mwema kwa Allah Muumba wetu, now kuwa mwema kwa Allah Kisha kwa watu na hautojuta, Kwanza Muabudu Muumba wako, pili usifunue mapaja Yako matamu kwa mtu yeyote mpaka uhakiki Nia yake, na wewe kumhakiki Nia yake ni kasi yake ya kutamani kukuoa na hataki kukukosa, usijidanganye ukimnyima atakukimbia, wanawake jueni mwanaume anyekupenda anatamani kukumiliki jumla uwe wake na si vinginevyo, ishi kama huwashwi hata kama unawashwa jizuie, ukifaulu hapo kazi yako itakuwa ni kuchuja anayekuja anataka nini, na sera yake ni ipi, usikubali kuchunguzana kwani mnapochunguzana ndipo unatumika kireja reja mwisho unaachwa, tulia watakuja watu wazur japo itachukua mda, hakuna kitu kizur kisicho na gharama na miongoni mwa gharama ni kuvuta Subira, mambo Yako mengi ya kukueleza lkn zingatia Ibada, kigezo kikubwa kabisa usitoe penzi bila ndoa, na hapo utakuwa mwema kwa Allah, Kisha aliye mwema atakuja hapo, mambo ni mengi naishia hapo Zingatia kuwa mwema kwa Muumba Wako usitoe utamu bila kibali wanawake wengi mnafeli hapo.
Sawa mkuu…kwenye kutotoa utamu hapo nitajitahidi
 
Back
Top Bottom