- Thread starter
- #141
Kweli eeeAchana na mapenzi,fanya mambo mengine hata utafaiti wa sisimizi tuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eeeAchana na mapenzi,fanya mambo mengine hata utafaiti wa sisimizi tuu,
Mimi humu hapana labda nije na ID mpyaWatu wamekutana humu na wanandoa kabisa,. Sema chamsingi useme na moyo wako mahusiano yanaanzia popote pale
Jaribu mwayaKweli eee
Daah naogopa kufanya hayo maamuzi yasije kunigharimu baadae.. maana nachanganyikiwa sijui nikubali yupi anioe wote ni vijana wazuri na wanaonesha niaKipenzi olewa na anayekupenda tena yule ambaye analilia akuoe utaenjoy sanaaa,. Ukitaka ambaye wewe unampenda ndio changamoto na kuteseka kunaanziaga hapo kwasabu huna uhakika kama na yeye anakupenda the same
SAwa bwana mkubwaSawa ongeza jicho la 4 mkuu
Sawa bibie,,. Subiri kwanza moyo wako na akili vitulie ndio ufanye maamuziDaah naogopa kufanya hayo maamuzi yasije kunigharimu baadae.. maana nachanganyikiwa sijui nikubali yupi anioe wote ni vijana wazuri na wanaonesha nia
Ila Wanawake bwana Sasa kukusevu hivo ndo hakupendi kwa mtindo huo utachakaa SanaaBasi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Karibu kwenye kisima changu cha mahaba utawale upendo na himaya ya moyo wangu utawale hisia zangu wew kwangu ni malkia kadogo dogo..Nikiwa natongozwa kwa mara ya kwanza niliambiwaga hivyo mkuu… maneno ya ku download google
Let's talk about this inbox pls,Maneno sio Mageni hayo mkuu… tena siyasadiki mkuu…
Sasa hivi nachoamini ni ile waambie home wajiandae nakuja tarehe 5 kuleta mahari
Dogo anamaanisha hii mboga ipo sokoni tuileKwamba hapo ameandika Valyrian au ?
Asante mkuu kwa offer ila nimeikataaLet's talk about this inbox pls,
There are more to discuss,
Don't share our privacy here .
🤣Dogo anamaanisha hii mboga ipo sokoni tuile
Hizo ngonjera labda ujaribu kwa la 4 B mkuuKaribu kwenye kisima changu cha mahaba utawale upendo na himaya ya moyo wangu utawale hisia zangu wew kwangu ni malkia kadogo dogo..
Pokea hisa za upendo wangu wekeza utukufu wako kwangu na ufaidi gawio la huba kutoka kwenye himaya ya penzi langu
Wew kwangu ni asali sito kuchovya nikakumaliza nitakutunza kwangu wew ni dawa uniponye kidonda changu sito kuwa kama sungura mbivu zako kwangu zikawa mbichi... read more
Mengine nilishayaongea post za nyuma mkuuIla Wanawake bwana Sasa kukusevu hivo ndo hakupendi kwa mtindo huo utachakaa Sanaa
Anyway me napita 🏃🏻➡️🏃🏻➡️🚶🏼➡️
Kuna comment Leejay49 kaitoa,nazan ndo ulikuwa unamaanisha hvyoWewe umeelewaje
Wallet hazina mood yeyoteWanaume wa jf sijui wanakwama wapi.