Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Mmh huo ni urafiki tu, hamuwezi kuwa wapenzi bila kuvunja jungu! Ungekua dar tungetesti mitambo uwe mpenzi wangu na miamala nikutumie alafu usitoe mzigo.Mengi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh huo ni urafiki tu, hamuwezi kuwa wapenzi bila kuvunja jungu! Ungekua dar tungetesti mitambo uwe mpenzi wangu na miamala nikutumie alafu usitoe mzigo.Mengi tu
Kama mahusiano yanachosha hivi hizo ndoa si balaaKama saizi ungekuwa ushachoshwa na cha asubuhi uko unahangaikia supu,. Nguvu ya kuandika andika inatoka wapi😝😃
Ilaaaa🤔🤔Kama mahusiano yanachosha hivi hizo ndoa si balaa
Mimi Huwa sijaribu mahusiano mkuuMmh huo ni urafiki tu, hamuwezi kuwa wapenzi bila kuvunja jungu! Ungekua dar tungetesti mitambo uwe mpenzi wangu na miamala nikutumie alafu usitoe mzigo.
Wakuoa wapo ila moyo unagomaaIlaaaa🤔🤔
Mie nitakusave Kadogo2 Ubungo..🙂🙂Basi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Najua ila ni afadhari mkawa hamjafahamiana humu.. inaleta insecurity sana kuwa na mahusiano na mtu mmekutana jfWeeee, wa walisemaga hawa ndio haohao wa mtaani lakin😬
Ukiwa na maana gani hunipendiMie nitakusave Kadogo2 Ubungo..🙂🙂
Ukija kupata ufahamu jua litakuwa lisha zama ndipo utagundua kumbe umelogwaWakuoa wapo ila moyo unagomaa
AsantePole
Unanikosha roho ulivyo kembamba kadogo dogo... moyo wangu mwili akili na maini vyote vimezama kwako hauwezi amini sili silali kwa ajili yako.. nikinywa maji nakuona kwenye Glass umenifanya kipofu sioni yoyote wakukufikia uzuri wako.... read moreSawa mkuu
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi mkuu… kama kitu kinakataa moyoni mwako at first achana nachoUkija kupata ufahamu jua litakuwa lisha zama ndipo utagundua kumbe umelogwa
He might said that but he never meant that.Hayo maneno siyo mageni hata yeye alinambia hivyo mwanzo
Kipenzi olewa na anayekupenda tena yule ambaye analilia akuoe utaenjoy sanaaa,. Ukitaka ambaye wewe unampenda ndio changamoto na kuteseka kunaanziaga hapo kwasabu huna uhakika kama na yeye anakupenda the sameWakuoa wapo ila moyo unagomaa
Nikiwa natongozwa kwa mara ya kwanza niliambiwaga hivyo mkuu… maneno ya ku download googleUnanikosha roho ulivyo kembamba kadogo dogo... moyo wangu mwili akili na maini vyote vimezama kwako hauwezi amini sili silali kwa ajili yako.. nikinywa maji nakuona kwenye Glass umenifanya kipofu sioni yoyote wakukufikia uzuri wako.... read more
Sawa ndo tungefanya kweli sasa, tatizo siwaelewagi wafupi wembamba coz me giant, yan kamtu kadogodogo ntakaonea, na wanasema wafupi mna gubuuMimi Huwa sijaribu mahusiano mkuu
Watu wamekutana humu na wanandoa kabisa,. Sema chamsingi useme na moyo wako mahusiano yanaanzia popote paleNajua ila ni afadhari mkawa hamjafahamiana humu.. inaleta insecurity sana kuwa na mahusiano na mtu mmekutana jf
Maneno sio Mageni hayo mkuu… tena siyasadiki mkuu…He might said that but he never meant that.
I will make you my queen,,and I will your king ever.
Plz come to my inbox,,