- Thread starter
- #81
Today am seriouslyKadogo2 kwakuchangamsha genge hujambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Today am seriouslyKadogo2 kwakuchangamsha genge hujambo.
Mwezi wa 12 alikuletea ile ishu?🤣🤣Na tuvijana tunavyopenda vibibi, hakika nitapata kamoja ka kunitesa na kunimalizia uhai😔
Kwamba wengine unakua nao bila sex? uliona wap hyo?Unafikiri kila mahusiano ni kusex tu
Huo ni mfano mkuu sina maana kuwa nipo dodomaUtanivunja mbavu mdogo wangu 🤣🤣🤣
Ona hiyo kwangu mkuu.. unafikiri kuvua nguo kwa kila me ni rahisi hivyoKwamba wengine unakua nao bila sex? uliona wap hyo?
Hapana cute,ila nimepambana na ingine alinijazia bantu...nikatoboa.Mwezi wa 12 alikuletea ile ishu?
Nshamwambia mi niko tayariJamani Oeni huyu mtu tupumzishwe
Ajue wote sisi tunapelekeshwa putaa wote tumo bus moja sasa ndo nn kila sikuu moyooo moyooo, TUSHAKUSIKIA tunajua unatendwa kila kukicha alaa mbona yetu walume ndago tumekauka tuuHakuna pa kumkimbilia mkuu,kitakulamba tu 🤒
Pole yakoBasi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Ushawahi kua na mahusiano mangap bila kugawa uroda??Ona hiyo kwangu mkuu.. unafikiri kuvua nguo kwa kila me ni rahisi hivyo
Nshamwambia miJamani Oeni huyu mtu tupumzishwe
Na akiingizwa ndani bado ajiandae kukimbia naAjue wote sisi tunapelekeshwa putaa wote tumo bus moja sasa ndo nn kila sikuu moyooo moyooo, TUSHAKUSIKIA tunajua unatendwa kila kukicha alaa mbona yetu walume ndago tumekauka tuu
ClassmateKila mahusiano sio lazima yafikie ndoa mazeee......
Na ndoa hua hailazimishwi, pia ukimpa mwanaume uchi wako haimaanishia kwamba anakupenda.
Ni kweli watu wanawaza ngono tu tuutafute kwanza ufalme wa mbingu na mengine yote tutayapata kwa ziadaMasikini mnawaza ngono tu 24/7....Fanya mema,duniani tunapita
Hatariiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tutapata tabu[emoji51][emoji23]
Pole sana anaAnnastazia Dodoma
Mkuu huo ni uongo mimi nimetulia 💯Mungu anakupa wa kufanana na wewe. Kama hujatulia huwezi pata aliyetulia Never