ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Pm umefunga tunakutana wapi?Hao ndiyo balaa,
Afu wewe nina kesi nawe🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm umefunga tunakutana wapi?Hao ndiyo balaa,
Afu wewe nina kesi nawe🙄
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Wee olewa utampendea humo humo ndani ya ndoa.Tatizo anaekupenda humpendi mkuu… yaani kuna mtu kaniomba hadi anioe hii ni mara ya 2 namzuga sijampa jibu kwa vile sijamuelewa tu
Ukacheka thread yangu wakapita nayo🥴Pm umefunga tunakutana wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo kwangu mimi nitakusave majina ya kikorea sito ku save anna minyege
Wanaume wa kuoa nao hawapo, mateso ni endelevu, tutakomaaa.Jamani Oeni huyu mtu tupumzishwe
Hakuna pa kukimbilia mkuu,kitakulamba tu 🤒Yan hichi kimama kikilala kikiamka kinawaza delibolo tuuu,
Ndo unakuja kuoa screpa ya hv ishatendwa sanaa, ptuuu kikombe kipite mbalii
Hata mimi nilishangaa wao kufutaUkacheka thread yangu wakapita nayo🥴
🤣🤣🤣 Kuna mod hakupenda nilivyonenepeanaðŸ¤Hata mimi nilishangaa wao kufuta
Moyo unakataa mkuuWee olewa utampendea humo humo ndani ya ndoa.
Sasa yeye inamuhusu nini au anataka kukuoa🤤🤣🤣🤣 Kuna mod hakupenda nilivyonenepeanaðŸ¤
Onho,huko nilishafunga mlango kitambo...asiwaze kabisa yaan🚮Sasa yeye inamuhusu nini au anataka kukuoa🤤
Mbona tutapata tabu😬😂Wanaume wa kuoa nao hawapo, mateso ni endelevu, tutakomaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe we ni mwanaume,acha kujifanya binti basiBasi mimi nimeamua nibadilike tu hii Roho ya kuwa mwema kwa kila mahusiano niachane nayo
Unaingia kwa mahusiano unampenda mtu kumbe yeye ana kutamani wala hana upendo na wewe
Imagine unakuta kwenye simu ya mpenzi wako amekusave Annastazia Dodoma
Na wewe umemsave majina mazuri
Mimi huwa sina kawaidaa ya kumsave mtu jina la mahaba hata ukishika simu yangu huwezi kukuta majina yameseviwa ki romantic kama ni mpenzi wangu nitakusave majina ya wazazi wako na kama una mtoto nitasave jina la mwanao mfano Baba D au Jeremiah Kasongo
Hata huyu mpnz wangu Nime save jina lake halisi.. sasa kuangalia kwenye simu yake yeye kanisave Kadogo2 Tabora 😨 nimeumia sana bora angenisave jina la baba angu kuliko hivyo.. hata kama tulikutana Dodoma ndio anisave hivyo
Nimeamua kuachana nae Rasmi maana nimehakikisha huyu mtu hanipendi.. miezi 4 ni mingi sna kuwa na mtu halafu anakudanganya 🥵
Ndoa utaikumbuka ukizeeka, watoto washaondoka nyumbani umebaki mwenyewe na baridi la Uyole.Onho,huko nilishafunga mlango kitambo...asiwaze kabisa yaan🚮
🤣🤣Na tuvijana tunavyopenda vibibi, hakika nitapata kamoja ka kunitesa na kunimalizia uhai😔Ndoa utaikumbuka ukizeeka, watoto washaondoka nyumbani umebaki mwenyewe na baridi la Uyole.
Unafikiri kila mahusiano ni kusex tuYan hichi kimama kikilala kikiamka kinawaza delibolo tuuu,
Ndo unakuja kuoa screpa ya hv ishatendwa sanaa, ptuuu kikombe kipite mbalii