Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Jeremiah Kasongo ni Code, maana kasongo yuko very rough.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shida kama mtu akiwaza mkuu kila mtu na vichocheo vyake vya mwili mkuuNa maanisha ni tendo la heshima...sio 24/7..unawaza ngono tu,ndo mmefika huko
Kwahyo kumbe point yako ni kustareheshwa..!??Mtazalianaje bila kustareheshana mkuu… sisi sio ng’ombe
Huyu nikumpiga threesome matata mpaka mtaro nao tufumue afurahiKazi za kina mzabzab hizo😆
Just code mkuuJeremiah Kasongo ni Code, maana kasongo yuko very rough.
Aah mimi mapenzi labda sikuandikiwa mtu anakufanya umpende halafu anakuzingua trnaNi kweli, hii ipo kwa pande zote yaani mwanamke na mwanaume
Ni friction name mkuuPole sana anastazia!!
Hao ndiyo balaa,Wanaume wa jf sijui wanakwama wapi.
Tatizo anaekupenda humpendi mkuu… yaani kuna mtu kaniomba hadi anioe hii ni mara ya 2 namzuga sijampa jibu kwa vile sijamuelewa tuKwani una miaka mingapi kadogo?
Hebu nipate mimi mtulivu utaishi kwa raha.
Kadogo2 Tabora mkuuEti umeseviwa kadogo2,ungemuuliza kwanza hako kadogo ni ka nini
Kwamba wanawake mliotulia m apata migume gume kama mzabzab 🤣🤣🤣🤣Ni kweli, hii ipo kwa pande zote yaani mwanamke na mwanaume