Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Pole sana anastansia dodoma, hapa umenisema mimi kabisa. Huwa nasevu hivyo ili nisisahau
ROSE KIMARA
AGNESS MUFINDI
AMINA KONDOA
HELLEN USHETU 😂
 
Pole sana anastansia dodoma, hapa umenisema mimi kabisa. Huwa nasevu hivyo ili nisisahau
ROSE KIMARA
AGNESS MUFINDI
AMINA KONDOA
HELLEN USHETU 😂
Hiyo siyo vizuri mkuu… kama mtu mnakulana nae yapaswa usave majina yake halisi.. mimi nimeona nimesaviwa hivyo nimejisikia vibaya ni kama anao wengi anawakula hivyo anawasave hivyo ili awakumbuke kihurahisi…
Najua mtu kama hana umuhimu kwako ndio utamsave hivyo hata mimi ex wangu nilishawahi kumsave jina lake na kazi yake ili nimkumbuke ila mapenzi yaliponoga nilibadilisha namna nilivyomsave nikasave baba D jina la mwanae
 
Hiyo siyo vizuri mkuu… kama mtu mnakulana nae yapaswa usave majina yake halisi.. mimi nimeona nimesaviwa hivyo nimejisikia vibaya ni kama anao wengi anawakula hivyo anawasave hivyo ili awakumbuke kihurahisi…
Najua mtu kama hana umuhimu kwako ndio utamsave hivyo hata mimi ex wangu nilishawahi kumsave jina lake na kazi yake ili nimkumbuke ila mapenzi yaliponoga nilibadilisha namna nilivyomsave nikasave baba D jina la mwanae
Kwahyo mpaka yanoge?
 
Na kwenye Ibada je? Hapo pa moto
Hapo ndio pagumu mkuu… sijui mapepo yaliniingia nimekuwa mvivu kufanya ibada sikumbuki hata last time nilienda lini church
Ila this week nabadilika
 
Nimegundua hili
Asikudanganye eti usiwe mwema kuwa mwema nazuia maumivu na njia nzuri ni kitompa nafasi ya kuiona chupi Yako, hivyo akikuacha huna Cha kujutia sababu hajapata kitu na umejua alikuwa mpita njia, unaendelea na safar na watakuja watu, mamilioni hayapatwi hayamilikiwi siku Moja ni mchakato wa mda ndio utatengeneza njia zake endelea kutulia. Njia ni Moja tu, kufuli la chuma.
 
Asikudanganye eti usiwe mwema kuwa mwema nazuia maumivu na njia nzuri ni kitompa nafasi ya kuiona chupi Yako, hivyo akikuacha huna Cha kujutia sababu hajapata kitu na umejua alikuwa mpita njia, unaendelea na safar na watakuja watu, mamilioni hayapatwi hayamilikiwi siku Moja ni mchakato wa mda ndio utatengeneza njia zake endelea kutulia. Njia ni Moja tu, kufuli la chuma.
Haya sawa kabisa
 
Hapo ndio pagumu mkuu… sijui mapepo yaliniingia nimekuwa mvivu kufanya ibada sikumbuki hata last time nilienda lini church
Ila this week nabadilika
Na hata ukimpata wa church naye haonjeshwi vilevile hana ruhusa hiyo mpaka apate funguo na asivunje mlango, utakuja niambia
 
Na hata ukimpata wa church naye haonjeshwi vilevile hana ruhusa hiyo mpaka apate funguo na asivunje mlango, utakuja niambia
Hao ndio nawaogopa kuliko wanaume wa mtaani
 
Safar ya umalaya ndio ishachanganya hivyo.
Kuja kushtuka unakuta milage inasoma wanaume 50++
Soma huu ujumbe vzr utamini ninachokwambia, usione mda unaenda Bali kataa kuongezea idadi ya waliokupanda ukistuka wamefika mia vigezo na mashart Yako vibovu
 
Back
Top Bottom