Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

kumbe ishu ya kusev nikusev n muhimu kwenye mahusiano,,sasa mimi ambaye nambake sijasev😆😆
 
Sio wametulia ni watu flani hivi wajinga wasiojua mambo hata ya maisha ya msingi na ndio huo wnaita utulivu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…