Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Sana tu πWe
Wenye vitambi wanakosa vingi sana
kumutwe kukariri kawaida ujue,,ila hata wewe uone mwenzio hajakusev kisha akwambie nmekusev kichwani utaelewa kwel,,ila mapenz πUkute umeikarir kumutwe
Mbona Mimi na kitambi Cha kuvalia suti na kuchomekea.We
Wenye vitambi wanakosa vingi sana
Hivi unajua kuna umri ukifika uwa kuna vitu fulani mtu huvizingatii sana na ilo la kuseviwa ye asev lolote tukumutwe kukariri kawaida ujue,,ila hata wewe uone mwenzio hajakusev kisha akwambie nmekusev kichwani utaelewa kwel,,ila mapenz π
ishu hata sio umri,ni hulka ya mtu tu,unakuta wewe saved john nyandu,siku unakuta mwenzio saved my sweet........khgfjjhfcjkvfcvjkggcvhhhgfchkjvHivi unajua kuna umri ukifika uwa kuna vitu fulani mtu huvizingatii sana na ilo la kuseviwa ye asev lolote tu
Ubarikiwe.Sijawai kabisaaa.
ππππ kawaida tu na sijali ata nini ila kama ni mke ndo kasave ivyo hapo ni kivumbiishu hata sio umri,ni hulka ya mtu tu,unakuta wewe saved john nyandu,siku unakuta mwenzio saved my sweet........khgfjjhfcjkvfcvjkggcvhhhgfchkjv
Kitambi noma mzeeeSana tu π
Umeona sasaπ€£π€£ kwaio hii kitu ya save bwan haina ubabeππππ kawaida tu na sijali ata nini ila kama ni mke ndo kasave ivyo hapo ni kivumbi
Mwanaume anae kupenda, atakujali, atakusikiliza na kukuheshimu. Hiyo ndio tafasiri halisi ya upendo wa mwanaume kwa mwanamke.Sahihi mkuu
ila sisi tukiambiwa tunapendwa masikio yanasimama kuamini
Mapenz
Sawa cheupeUmeona sasaπ€£π€£ kwaio hii kitu ya save bwan haina ubabe
Ila kina cheupe huwa sio watamu buana π€£Sawa cheupe
π Black mamba hereSawa cheupe
Aiseee hawana mvu2oWanaume wa jf sijui wanakwama wapi.
Black mamba π±π± acha utani basiπ Black mamba here
utani tenaBlack mamba π±π± acha utani basi
Najua unatania cheupeutani tena
Half american mwambie ukwel huyu wa kuniita mim black mamba wako cheupeNajua unatania cheupe
Nakuona mtoto cheupeHalf american mwambie ukwel huyu wa kuniita mim black mamba wako cheupe