Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Nimechoka kuonewa wacha nichangamke🤣🤣🤣 Ila bff wanakuibia sana fanya jambo ulivamie la yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechoka kuonewa wacha nichangamke🤣🤣🤣 Ila bff wanakuibia sana fanya jambo ulivamie la yoyote.
Tingisheni hata vichwa inatosha best, tutaelewa tu 😅 😅tutatingisha nini sisi wa huko 'mlimani', basi bhaana hadithi yetu itakuwa imeishia hapo..!!
Weka mzigo tuoneSina shepu
Mimi nina flat screen

Huyo atakuwa kamtega mbaba wa watu. Na hapo atakuwa amemuachia mfadhaiko huko aliko 😅
Mimi huyo?? 😅😅Kama ninavyokuangaliaga😂
Yaani kamtega halafu kaja kumsema JF.Huyo atakuwa kamtega mbaba wa watu. Na hapo atakuwa amemuachia mfadhaiko huko aliko [emoji28]
Asijibane bane ama nene! 🤠Umetishaaa
Asante mkuu, yaani anagoma kutemebea na "maziwa"..hahaha!😀 😀 😀 😀 Haya ni maneno ya walio chini ya 25 years of age, tena siyo wote. Come 30 utarudi kukishangaa hiki ulichokiandika
Oya we koro, uyo mbwa kafata nini hapo..
Wifi mji mzito huu 🤣🤣🤣😂😂😂😂
samaleko wifi yangu, tchaaah'..!🙌
tunaomba uwe kungwi kwa wakaskazini siye, mambo kumbe huko duniani ni makubwa mno..!
Nirudi unyagoni walaqhi', sema hapo pa 'macalio' nimewaza zile shape zetu nikasema eeh' Jehovah Shama tuhurumie, tutatingisha nini sisi wa huko 'mlimani', basi bhaana hadithi yetu itakuwa imeishia hapo..!!
Acha tu mkuu 😅😅Yaani kamtega halafu kaja kumsema JF.
Hawa watoto wa 2000s hawa.
Unavamia lipi sasa?? Au nikutafutie? 😂😂😂Nimechoka kuonewa wacha nichangamke
Acha kutusema.Unavamia lipi sasa?? Au nikutafutie? [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia lenye maokoto bff hawa wazee wa kupiga domo achana nao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂Wifi mji mzito huu 🤣🤣🤣
Hii ya jamaa kuachana na mke wake kisha kuhamishia majeshi kwa rafiki wa mke wake nimeishuhudia pia.Kwahiyo hapo ndio umemaliza research yako kuwa wanaume wote wanacheat,hiyo tabia yako ya kuwa na rafiki mke wa mtu ndio itakugharimu,kwa maisha kama hayo nimewahi kushuhudia mtu kaacha mke na kuhamia kwa rafiki wa mkewe.
Usijaribu kushindana na shetani kwa kutumia akili zako mwenyewe,usipoangalia utashtukia tu siku moja mko chumba kimoja na Baba Cathe mmejifungia mlango...