Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Elimu haina facts labda kama huelewi , dini ina facts ndio maana maandishi ya muda yanatumika mpaka sasa ...Elimu yote ni manipulation yaani inapitwa na wakati ...Elimu haina majibu ni vile haina uelekeo mmoja .

Mpaka sasa elimu sio mfunguo wa maisha tena , elimu ni dini maana ni utaratibu : Mfano elimu ya sheria leo haina maana kwa vile ni utaratibu wa wazungu wala hukumu zake hazina uhusiano , ile hukumu ya kunyongwa inaweza kufutwa hata kesho ila hauwezi kubadili elimu ya dini.

Elimu na dini ni ishu pana sana , nikikuambia Hadzabe wana elimu na dini zao utakataa?

Elimu unayozungumzi wewe ni kuongea kingereza πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ukienda nchi nyingine ukakuta wanasoma mambo tofauti utashangaa.
 
Kila mmoja kwa maamuzi na utashi wake.
 
Hivyo ndivyo ndivyo inavyotakiwa! Uko sahihi Kabisa! Unachotakiwa ni, 1.Mwamini BWANA Yesu,
2.Tubu dhambi zako kwa Mungu kwa Jina la Yesu
.
Yesu ndie nani?, kwanini niombe kwa jina lake ikiwa na yeye ali muimba baba ake?
 
Dini ilikuwepo kabla ya watu?
Au watu walikuwepo kabla ya dini?

Ina maana maisha yalikuwepo na watu walikuwepo kabla hizi dini hazijaanza na Imani mbalimbali.

Sasa hapo usichoelewa ni kipi?
 
Mkuu kwanini unaniona mjinga ? Duniani kuna dini ngapi ? Kwanini yakwako uione ya maana kuliko zote ? Wakati wewe utakuwa Muislam sababu tu umezaliwa na wazazi waislam, leo na wap waliipokea hivyo hivyo kabla ya christianity na uislam kuja Africa watu hawakuwepo ? Walikuwa wanaabudu dini gani ? Yan hizi dini za mapokeo zimefanya umeniona mjinga , dini za mapokeo zimekufanya utengeneze matabaka, kama unaweza kuionyesha chuki wazi wazi kwenye mwezi wenu mtukufu wa ramadhani hapa nani ni stupid mimi au wewe ?.. kwanini hamtaki watu wahoji uhalali wa hizi dini ? Dunia ina dini zaidi ya 10 na man uhakika ungezaliwa shiraz huko labda ungekuwa mbahai, leo ungekuja kusema vibaya christianity na uislam, umesahau kufikiria geographia ya eneo ulilozaliwa ndio linaamua uwe dini gani? Ndio mana wazaramo wengi ni Muslim ila wachaga wengi wakristo tena RC, Sababu tu sehemu wanazotokea dini fulani ikiwa kusambazia hawa wote hawakuchagua dini wameipokea kutoka kizazi hadi kizazi, kabla ya hizi dini kuja Africa MUNGU hakuwepo? Umesahau kujiuliza kwanini hakuna Mtume hata mmoja rangi nyeusi, au kwanini hakuna hata mtume hata mmoja alotokea Africa ?
 
Dini ilikuwepo kabla ya watu?
Au watu walikuwepo kabla ya dini?

Ina maana maisha yalikuwepo na watu walikuwepo kabla hizi dini hazijaanza na Imani mbalimbali.

Sasa hapo usichoelewa ni kipi?
Huyu hafikiriii kabisa, uislamu na ukristo ulivyokuja Africa ulikuta watu ndio wakapewa hizo habari wakazibeba kama zilivyo ndio wanatutukania saivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dini ilikuwepo kabla ya watu?
Au watu walikuwepo kabla ya dini?

Ina maana maisha yalikuwepo na watu walikuwepo kabla hizi dini hazijaanza na Imani mbalimbali.

Sasa hapo usichoelewa ni kipi?
Kwa akili yako unafikiri dini kwa ajili ya watu tu peke yao ? Huu ujinga mnautoa wapi ?

Binadamu ndio kiumbe cha mwisho cha kuumbwa.

Weka ushahidi ya kuwa watu walianza kisha ikafata dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…