kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Mkuu wasomi wa bongo hasa wa miaka hii ya Leo ni watu wa ovyo sana na ni wa kupuuza.
Wasomi wengi wa bongo ni wavivu,waoga,wajuaji na ni wajinga pia.
Ukimchukua msomi wa bongo na msomi wa Kenya ambao wako level sawa kimaisha na hawana ajira baada ya miaka miwili msomi wa bongo utamkuta yuko pale pale anaomba hela ya nauli wakati huo wa Kenya atakuwa hata anaendesha NGO yake mwenyewe.
Huyo niliyemquote ni mmoja wapo ya wapuuzi ambao wanastahili kupuuzwa kwenye hili jukwaa.
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Kweli kabisa mkuu kwa hili ni [emoji817]