Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Kukishakuwa na SoulBond hakuna wa kuwatenganisha. Ogopa sana Kiumbe kinachoitwa Mwanamke. Mimi Nina mchepuko mwaka wa 5 huu ameolewa na kati ya watoto wake watatu mmoja ni Wangu Hilo Halina Ubishi. Alivyojifungua ikapita miezi 6 alisafiri kunifwata Dar--Mbeya eti kaniletea zawadi ya mtoto Wangu na Ukimcheki dogo Leo Ni Copy Yangu. Ogopa sana Mwanamke akipenda
Ndiyo maana ndoa hazina thamani tena.
 
Ndio hivyo mkuu sasa ni watu wa namna gani!! Niliuliza na jamaa wengi walisema kuwa ndivyo walivyo kuna jamaa anadai wamesomaa wote jamaa alikua na kosa dg la ulevi mchana akamkamata na kumsweka ndan kama hamjui yule. Jamaa hajawai kumsamehe hata alipo ludi kuomba msamaha aliuliza kama ningeiba jamaa anganipiga shaba huyu
Hawa aga urafiki hawa Ndugu zetu ila kwenye undugu tena wa Familia kabisa yaani mtoto hii nilikuwa sifahamu. Ila wapo hivyo.
 
Back
Top Bottom