Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Another cop down .
Few years to come we wanna have many numbers of unmarried cops ,but always civilian feel to be undermined .
Usingeweza na katu raia haumuwezi Askari ,tuliazana Kaka ,tafuta hata mwalimu wa shule ya msingi muoawane ,hao labda wanaweza kumatch na raia .

Miaka inaenda Sana ,ahsante kwa yote mapambano yaendelee
 
Another cop down .
Few years to come we wanna have many numbers of unmarried cops ,but always civilian feel to be undermined .
Usingeweza na katu raia haumuwezi Askari ,tuliazana Kaka ,tafuta hata mwalimu wa shule ya msingi muoawane ,hao labda wanaweza kumatch na raia .

Miaka inaenda Sana ,ahsante kwa yote mapambano yaendelee
Ni mitazamo tu mkuu haina uhalisia wowote mke ni mke otherwise wewe huna kazi afu dem ndio ana kaz hapo unaweza paatwa vizur lkn ukiwa na kazi na ni kubwa kuliko wewe au kipato kikubwa bado ni mwanamke na mimba anashika
 
Ni mitazamo tu mkuu haina uhalisia wowote mke ni mke otherwise wewe huna kazi afu dem ndio ana kaz hapo unaweza paatwa vizur lkn ukiwa na kazi na ni kubwa kuliko wewe au kipato kikubwa bado ni mwanamke na mimba anashika
Rafiki naelewa ni nini unazungumza Ila Mimi ninayezungumza na wewe nimeishi na mtu wa kada hiyo na nimemzalisha na nilimzidi kila kitu mpaka elimu lakini bado alinisumbua hivyo sio mtazamo najaribu kuongelea sub fact about cops
 
Acha kujipa uungu na kujiona wewe ni superio kwenye hii dunia au huko kwenye ukristo kuna agizo la kutamba kwenye hii ardhi ya Mungu? Usipowapenda polisi wetu umewapunguzia nini cha maana ulichonacho!!
Mimi mkulima tu wa ufuta ila huwa nachukia sana mtu anayejikweza wakati huo huo kila siku huenda chooni kunya.Shubaamit!! Wewe ni nani!!?😎
 
Rafiki naelewa ni nini unazungumza Ila Mimi ninayezungumza na wewe nimeishi na mtu wa kada hiyo na nimemzalisha na nilimzidi kila kitu mpaka elimu lakini bado alinisumbua hivyo sio mtazamo najaribu kuongelea sub fact about cops
Wako huenda alikua na tabia za kwake ki vyake lkn wangu ni mwanamke ndan ya wanawake anajielewa sana
 
Ikiwa ni hivyo mdogo wangu ,nakushauri mrudie na ufanye mpango wa kuwa muwazi kwaake kumueleza nini hupendi na kipi unapenda then akiwa katika mstari walau nusu njia ,nakushauri muoe tu
Mkuu nahitaji ku prosper mapenzi naona kama kikwazo nakuwa mnyonge na huruma sana kumuonea huruma hata nikichepuka hajui ila akigusia kuwa nisichepuke wakati najua nimechepuka roho inaanza kuniuma
 
Acha kujipa uungu na kujiona wewe ni superio kwenye hii dunia au huko kwenye ukristo kuna agizo la kutamba kwenye hii ardhi ya Mungu? Usipowapenda polisi wetu umewapunguzia nini cha maana ulichonacho!!
Mimi mkulima tu wa ufuta ila huwa nachukia sana mtu anayejikweza wakati huo huo kila siku huenda chooni kunya.Shubaamit!! Wewe ni nani!!?😎
Mkuu punguza makasiriko njoo taratibu niulize shida nini nikujibu halafu ndio unihukumu
 
Mkuu nahitaji ku prosper mapenzi naona kama kikwazo nakuwa mnyonge na huruma sana kumuonea huruma hata nikichepuka hajui ila akigusia kuwa nisichepuke wakati najua nimechepuka roho inaanza kuniuma
Muda mzuri wa kubadili tabia ni Sasa ukiwa kijana mdogo wangu ,ikiwa roho na nafsi yako vinakusuta basi ni wakati sahihi wa wewe kubadilika na kubali na mkeo wa maisha .
Achana na Mambo ya kuchepuka maana huna Jambo unaloingiza la faida zaidi ya kujitengenezea future mbaya na kuishi bila amani .
Rudi kwa huyo dada ,anza upya na mueleze ukweli anza mwanzo mpya ,maisha ni maamuzi ,amua leo
 
Back
Top Bottom