DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 853
- 1,040
okay, hapo ndyo alifanikwa kukutoa mchezoni, she wanted to get away🤣Ndio mkuu halafu mi mbao tu na vanish na sio mninga imagine bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay, hapo ndyo alifanikwa kukutoa mchezoni, she wanted to get away🤣Ndio mkuu halafu mi mbao tu na vanish na sio mninga imagine bro
Kama bibilia ni moja haina shida hayo mengine ni mbwembwe tuuUpo hao TAG EAGT PENTECOST NI WALOKOLE AFU LUTHERAN ROMA ANGLICAN NA MORAVIAN
Ni mitazamo tu mkuu haina uhalisia wowote mke ni mke otherwise wewe huna kazi afu dem ndio ana kaz hapo unaweza paatwa vizur lkn ukiwa na kazi na ni kubwa kuliko wewe au kipato kikubwa bado ni mwanamke na mimba anashikaAnother cop down .
Few years to come we wanna have many numbers of unmarried cops ,but always civilian feel to be undermined .
Usingeweza na katu raia haumuwezi Askari ,tuliazana Kaka ,tafuta hata mwalimu wa shule ya msingi muoawane ,hao labda wanaweza kumatch na raia .
Miaka inaenda Sana ,ahsante kwa yote mapambano yaendelee
Rafiki naelewa ni nini unazungumza Ila Mimi ninayezungumza na wewe nimeishi na mtu wa kada hiyo na nimemzalisha na nilimzidi kila kitu mpaka elimu lakini bado alinisumbua hivyo sio mtazamo najaribu kuongelea sub fact about copsNi mitazamo tu mkuu haina uhalisia wowote mke ni mke otherwise wewe huna kazi afu dem ndio ana kaz hapo unaweza paatwa vizur lkn ukiwa na kazi na ni kubwa kuliko wewe au kipato kikubwa bado ni mwanamke na mimba anashika
Wako huenda alikua na tabia za kwake ki vyake lkn wangu ni mwanamke ndan ya wanawake anajielewa sanaRafiki naelewa ni nini unazungumza Ila Mimi ninayezungumza na wewe nimeishi na mtu wa kada hiyo na nimemzalisha na nilimzidi kila kitu mpaka elimu lakini bado alinisumbua hivyo sio mtazamo najaribu kuongelea sub fact about cops
Sawa mdogo wangu ,pamoja Sana .🙏Wako huenda alikua na tabia za kwake ki vyake lkn wangu ni mwanamke ndan ya wanawake anajielewa sana
Ikiwa ni hivyo mdogo wangu ,nakushauri mrudie na ufanye mpango wa kuwa muwazi kwaake kumueleza nini hupendi na kipi unapenda then akiwa katika mstari walau nusu njia ,nakushauri muoe tuSure mkuu toka zaman anajitambua japo usoni sio mkali sana.
Mwenyezi Mungu nisamehe
Mkuu nahitaji ku prosper mapenzi naona kama kikwazo nakuwa mnyonge na huruma sana kumuonea huruma hata nikichepuka hajui ila akigusia kuwa nisichepuke wakati najua nimechepuka roho inaanza kuniumaIkiwa ni hivyo mdogo wangu ,nakushauri mrudie na ufanye mpango wa kuwa muwazi kwaake kumueleza nini hupendi na kipi unapenda then akiwa katika mstari walau nusu njia ,nakushauri muoe tu
Mkuu punguza makasiriko njoo taratibu niulize shida nini nikujibu halafu ndio unihukumuAcha kujipa uungu na kujiona wewe ni superio kwenye hii dunia au huko kwenye ukristo kuna agizo la kutamba kwenye hii ardhi ya Mungu? Usipowapenda polisi wetu umewapunguzia nini cha maana ulichonacho!!
Mimi mkulima tu wa ufuta ila huwa nachukia sana mtu anayejikweza wakati huo huo kila siku huenda chooni kunya.Shubaamit!! Wewe ni nani!!?😎
Muda mzuri wa kubadili tabia ni Sasa ukiwa kijana mdogo wangu ,ikiwa roho na nafsi yako vinakusuta basi ni wakati sahihi wa wewe kubadilika na kubali na mkeo wa maisha .Mkuu nahitaji ku prosper mapenzi naona kama kikwazo nakuwa mnyonge na huruma sana kumuonea huruma hata nikichepuka hajui ila akigusia kuwa nisichepuke wakati najua nimechepuka roho inaanza kuniuma