Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nime mblock kila chember kila aina ya mawasiliano nimewaambia ndugu zangu wasimpe taarifa yeyote ile kuhusu mimi.
Tuachie hio namba mabaharia hatuchagui polisi wala mwanajeshi wote tunapiga kambi na kutembeza rungu la komredi kipepe kwani polisi kitu gani? Achia namba hio baharia
 
Habari.

Moja kwa moja kwenye mada

Mnamo mwaka 2016 nikiwa form form five mkoa x nilibahatika kuonana na huyu binti mweusi, mrefu wastan, mnene kiasi na mcha Mungu mpaka sasa.

Nilimpenda ikiwa ni sababu hizo alikuwa ananishauri muda mwingi kuwa mtu mwema na kumpenda, kumcha Mungu wakati wote

Na ni kweli nilikuwa naogopa kufanya vituko au fujo sehemu akiwepo nilikua na behave kuepuka ku mkwaza japo jasiri haachi asili.

Muda ni miaka 8 sasa tukiwa kwenye uchumba wa kawaida tulikua tunapotezana lkn tunapatana tena

Yeye hakuwa vizuri sana darasani mimi nilikua najiweza kias chake japo sio sana lkn sijawai ku fail wala kupigwa fimbo za ku fail masomo class.

Hivyo yeye ali fail na kurudi kwaO mkoa x mimi nikabahatika kujiunga na chuo kikuu cha dodoma UDOM

Nilitukiwa shahada yangu ya kwanza mwaka 2021 huku nikiwa naendelea kuwasiliana nae kila mara. Lkn tulipotezana gafla hakuwa online kwa muda na bila taarifa kuniambia

Baada ya mda kupita alinitafuta na kunijulisha kuwa kajiunga na jeshi (JKT) Mkoa X mwaka miezi ikapita akaomba nafasi za polisi akapata na sasa hivi ni polisi mkoa x

Nimemuacha kwa sababu 1. Nampenda sana sana 2. Yeye ni mwajiliwa wa jeshi la polisi kwa kifupi polisi mimi siwapendi wote 3. Amekua na lugha za komandi anataka nihamie dhehebu analosali yeye EAGT na mimi ni MLUTELI PURE UKOO WETU 4. Nipo mbali naye sana yeye yupo KILIMANJARO mimi MBEYA 5. Haoni thamani ya fedha (ni mfujaji ananunua kitanda cha 700k) na vitu vingine vya thaman vya thamani tofauti na anachokiingiza asilimia kubwa ya fedha anategemea atoe kwangu kama sio nusu item husika 6. nikiwa nime chill naye mama mkwe nilimsikia kwa simu kuwa atafute askari mwenzie ndio awe mwanaume wake japo hajui kuwa nilisikia. N.k

Najipanga niongezee kipato ni focus na mambo yangu niitumie degree yangu tukutane kileleni i declare now am single again

Namuacha roho yangu inauniuma sana na haitaki nimuache kabisa lkn inanibidi tu nimuache tu. Nime mblock kila chember kila aina ya mawasiliano nimewaambia ndugu zangu wasimpe taarifa yeyote ile kuhusu mimi.

Am sorry mumy siku yeyote mwaka wowote siku ukija kuona huu uzi basi kila lenye mwanzo halikosi mwisho but jua kuwa NAKUPENDA sana kila la kheri kwenye majukumu yako ya kazi na kupata mpenzi aliye bora na sahihi kuliko mimi
Na muachwe tu
 
🤣Njoo bariadi tukupe kabinti ukakakuze

Wahenga wanasema hivi

"ukiona maisha ya biashara, mapenzi, jamii yanakutesa badili mfumo wa m
Hapo uhakika mzee of ur 28 and above deal with 17-23 years chicks, utilize your energy don't date age mates 24 and above chronic retired hoe's piga chini
Mkuu umepata mimi ni 27 dem 25
 
Huyo hasiye kubali chochote tayari ni mpumbavu maana anakataa hata jambo la akili litokalo kwa mzazi wake au House girl wake wu mtumwa wake qu mtoto wake nk....soma nilicho andika kwa kutumia akili... nilicho sema ni vipi mwanaume ashindwe kujua jambo jema la kufanya hadi kusubiri ushauri wa mwanamke ?
Ok sawa
 
Habari.

Moja kwa moja kwenye mada

Mnamo mwaka 2016 nikiwa form form five mkoa x nilibahatika kuonana na huyu binti mweusi, mrefu wastan, mnene kiasi na mcha Mungu mpaka sasa.

Nilimpenda ikiwa ni sababu hizo alikuwa ananishauri muda mwingi kuwa mtu mwema na kumpenda, kumcha Mungu wakati wote

Na ni kweli nilikuwa naogopa kufanya vituko au fujo sehemu akiwepo nilikua na behave kuepuka ku mkwaza japo jasiri haachi asili.

Muda ni miaka 8 sasa tukiwa kwenye uchumba wa kawaida tulikua tunapotezana lkn tunapatana tena

Yeye hakuwa vizuri sana darasani mimi nilikua najiweza kias chake japo sio sana lkn sijawai ku fail wala kupigwa fimbo za ku fail masomo class.

Hivyo yeye ali fail na kurudi kwaO mkoa x mimi nikabahatika kujiunga na chuo kikuu cha dodoma UDOM

Nilitukiwa shahada yangu ya kwanza mwaka 2021 huku nikiwa naendelea kuwasiliana nae kila mara. Lkn tulipotezana gafla hakuwa online kwa muda na bila taarifa kuniambia

Baada ya mda kupita alinitafuta na kunijulisha kuwa kajiunga na jeshi (JKT) Mkoa X mwaka miezi ikapita akaomba nafasi za polisi akapata na sasa hivi ni polisi mkoa x

Nimemuacha kwa sababu 1. Nampenda sana sana 2. Yeye ni mwajiliwa wa jeshi la polisi kwa kifupi polisi mimi siwapendi wote 3. Amekua na lugha za komandi anataka nihamie dhehebu analosali yeye EAGT na mimi ni MLUTELI PURE UKOO WETU 4. Nipo mbali naye sana yeye yupo KILIMANJARO mimi MBEYA 5. Haoni thamani ya fedha (ni mfujaji ananunua kitanda cha 700k) na vitu vingine vya thaman vya thamani tofauti na anachokiingiza asilimia kubwa ya fedha anategemea atoe kwangu kama sio nusu item husika 6. nikiwa nime chill naye mama mkwe nilimsikia kwa simu kuwa atafute askari mwenzie ndio awe mwanaume wake japo hajui kuwa nilisikia. N.k

Najipanga niongezee kipato ni focus na mambo yangu niitumie degree yangu tukutane kileleni i declare now am single again

Namuacha roho yangu inauniuma sana na haitaki nimuache kabisa lkn inanibidi tu nimuache tu. Nime mblock kila chember kila aina ya mawasiliano nimewaambia ndugu zangu wasimpe taarifa yeyote ile kuhusu mimi.

Am sorry mumy siku yeyote mwaka wowote siku ukija kuona huu uzi basi kila lenye mwanzo halikosi mwisho but jua kuwa NAKUPENDA sana kila la kheri kwenye majukumu yako ya kazi na kupata mpenzi aliye bora na sahihi kuliko mimi
We ndyo Ulikuwa serious na mahusiano, na mpaka ukawa unayapangia future, yeye alikuwa kivyake, so don't cry.
 
We ndyo Ulikuwa serious na mahusiano, na mpaka ukawa unayapangia future, yeye alikuwa kivyake, so don't cry.
Ohoo hapana mkuu yey kanitaja hadi nyumban kwao lkn hata hivyo ndio nilikua serious nampenda of course nina wanawake wengi yeye hata akiambia kitu acha naachaa wengine siwasikiliz
 
Ohoo hapana mkuu yey kanitaja hadi nyumban kwao lkn hata hivyo ndio nilikua serious nampenda of course nina wanawake wengi yeye hata akiambia kitu acha naachaa wengine siwasikiliz
But alikuwa na multiple choice A-D, some body else finally succeed, na pia mkawa kwenye mazingira tofauti sana, ndyo maana unashangaa alinunua bed ya laki7 i.e embezzlement of funds😇🤣
 
But alikuwa na multiple choice A-D, some body else finally succeed, na pia mkawa kwenye mazingira tofauti sana, ndyo maana unashamgaa kununua bed ya laki7😆
Ndio mkuu halafu mi mbao tu na vanish na sio mninga imagine bro
 
😹😹😹 sijui nikupe pole au nikucheke??
Hao askari polisi na wajeda nyuchi zishatumika sana kambini hawana cha kupoteza, nadhani ushajifunza sasa..!! Doko mkuu puliza patapoa
 
Back
Top Bottom