Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Ukisikia anaolewa? Utaweza kuhandle? Hakikisha maswal hayo unajijibu huku ukiwa huna maumivu. Ukioa huto mkumbuka, mkikutana huko mbeleni hamtaharibiana ndoa ambayo kila mtu naingia? Kwani ukisimama Kama mwanaume na kumpa msimamo Wako kuwa usipo badirika tuna achana , halafu umwangalie atafanyaje . Ndugu mapenz ni mazuri Sana ukipatia, na ni mabayaaaa Sana ukikosea
Mkuu ikichukua mwaka haitaniuma ila week 3 itaniuma sana mkuu
 
Mimi mambo ya kuniambia nikupe laki 7 ujue ndio umetuma maombi ya kuachana. Bado sijawahi kuwa na nyege ya kufika bei hiyo, bye
Tafta hela mkuu watu wana honga crown na iphone za macho matatu
 
Sa hihi mkuu japo na mm ni mtumishi lkn ile kauli ya mama mkwe huenda ni watu wanapenda u fahari kweli hta hivyo mimi mwenyewe sio kinyonge na nyumban pia kupo bomba sana japo sio mboga saba
Nmekukubal sababu unamsimo ingawa sio rahis kumsahau ila utazoea
 
Mapenzi yanauma kichizi hichi kikombe omba kikuepuke au uki experience mapema maana sio mchezo kama utachelewa .roho inauma unaweza pata hata shinikizo la damu na kama Hujawah experience heartbreak basi usitukane mamba kama mimi nilivyo kuwa nikifanya


Nikikumbuka my teenage old days nacheka kwakweli
Ndo maana siku hizi unalala na wake za watu
 
Yote tisa demu wangu siku amemaliza diploma with 21 of age mwakajana nikampigia simu mama yake! Siku moja maza akaanza kanyoosha mwanangu ameniambia anataka aunge degree
Sitaka akae abweteke mwishowe aishie kuolewa(🤔remind you mother hajui kama Nina mahusiano na huyo binti)

Siku moja binti akaniambia kuolewa labda afikishe miaka 28😁nilicheka kimoyo moyo (hajui alisemalo)

End mother ake hajawah kuolewa sahv anaitafuta 50

Hitimisho,maneno ya mama kwa mtoto wake yananguvu, wewe usitufanye sisi watoto demu unampenda Ila ishi maneno yako
Mkuu hata mama yake ni single mother hawa watoto wa ma single maza mama zao huwalisha sumu watoto kwa baba zao mpaka kwa waume zao
 
Tupo mwaka 2025 lakini bado kuna watu mnaamini kuna kupendana.!

Feelings change, people get bored, heart always chase fantasies and adventure.

Love is an illusion.
 
Alipata 3 na zaidi kwahyo anayo qualification ya kuproceed mbele sahv Kako degree, naona anajipost tu tako mtandaoni,
Sasa siku moja mwanangu nimechill mwanangu kaniletea video demu anatoka guest na mzee ambaye kwangu ni baba kwake ni babu🤔duh nikasema afadhali nilimpiga chini
Single mother watoto wa kulelewa na single mother ni noma mkuu mama anavisha mtoto anaona
 
Back
Top Bottom