Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

Kuna jamaa nilimpa buku akanunue..
Alileta kiasi ambacho tuliweza kutengeneza misokoto mitatu ya liza imejaa full.
Hiyo sio shada hayo ni makapi ndio maana mnawehuka halafu mnaifanya hii kitu ionekane mbaya mi nikitoa buku 2000 napata stick inayoweza kutoa joints 3 kitu cha kigoma mara moja moja sana ndio navutaga haya mapuya ya moro ambayo moja ni jero kiboko ya yote weed nzuri ni skunk tatizo ni gharama na ukishaizoea ni shida hizi nyengine unaona hovyo kabisa yani kama vile mtu wa Hennessey umpe kvant hato feel good japo zote ni spirit
 
Hayo yako sasa,
Die for what your body/heart need/love
 
Bangi ni kama mapenzi
Kuna watu inawatesa mbaya, na kuna watu hawajui ubaya wake.

Haina madhala sana ukitumia vizur lakin kwa kwa jinsi ambavyo dunia hii imejaa watu wanaoongozwa na mwili na starehe na sio akili ndio maana wakaamua isizuiliwe
kama huku kwetu iwe haramu.
 
Mm natumia kvant chupa ndogo nusu, nachanganya na energy drink, aisee nakuwa na akili nyingi balaa, inanisaidiaga kufanya maamuz magumu kazini, bila hivyo nakuwa na uoga au huruma nyingi..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi nipo chuo, nlikua na presentation, kabla sijaingia nkanywa viroba viwili, babaa. ... Presentation ilikua amazing darasa zima linacheka lecturer anacheka......yani niliwafurahisha sana darasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jr[emoji769]
 
Nikizidisha kipimo sienjoy....., Unajua saikolojia ya makuzi ndo inatuathiri sisi sometimes tunakosa kujiamini.....kuna uzi upo unazungumzia ma introvent na extrovent, wengine ni asili yao wengine ni athari ya makuzi ya kunyanyapaliwa, tabu, dhiki alizopitia
Ila najua kuna siku huwa kanakuja kaujinga furani unaamua kuzidisha hicho kipimo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jr[emoji769]
 
Bangi haijengi utegemezi mkuu! kahawa, chai, vinajenga utegemezi (addiction) ila bangi haina...
 
Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…