Unajua kinacho fuata baada ya mawasiliano ya mke na wakwe wa ma x zake ....? Hapo mke ataomba talaka hiyo nyumba itagawanywa alafu ili iwaje....?Pole mkuu, Ila 'two wrongs don't make it right'..!!
Unauza hadi nyumba uliyokuwa unaijenga kwa ajili ya wanao..? kisha ndiyo uwe busy na mchepuko..?
maskiini..!!
Imeshaisha hiyo, mwanamke akiwasiliana na ex wake na wewe ukajua na akaendelea maana yake huna Chako hapo, jamaa analinda mfuko wa sukari ulitumbukia bahariniNdoa ndiyo inaishia hivyo
Inaonekana nyumba ilikuwa kwa jina la mke wake... Vitabu vitakatifu vimeandika tuishi nao kwa akili...Ukiona unafanya jambo ili kumkomoa au kumridhisha mwanamke bado haujafika kwenye level ya wanaume rijali.
Unauza nyumba kumkomoa mwanamke? Nimehuzunika sana
Mwanamke huwa hapotezi, anaweza kuolewa tena na ex wake. Wewe je? Umepanga hautaki kujenga unafikiri unamkomoa mwanamke,watoto wanakua wakubwa anaenda kuishi kwa watoto, wewe je?
Jenga nyumba, kusanya mali za kutosha ili uzeeni uishi vizuri.
Shida ipo kwako kuoa mke wa mtu, ulitakiwa ufukuzie mbali mapema kabla ya kuoa
Achana nae oa mwingineLeo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Mchumba kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na Mashemeji wa X wakeLeo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
π¨π¨π¨π¨π¨π¨KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
point to notePole mkuu, Ila 'two wrongs don't make it right'..!!
Unauza hadi nyumba uliyokuwa unaijenga kwa ajili ya wanao..? kisha ndiyo uwe busy na mchepuko..?
maskiini..!!
hizo za kuuza nyumba zinaitwa hasira za mkizi.Haaaa. Kila nilichoandika ndivyo, kilivyo....
Sa niongeze chumvi ili nipate Faida Gani, wala hatufahamiani,na Wala haina Faida kwa Yeyote.
Pengine alizaa nae sema umefichwa hujui kitu.wala hajazaa na Huyo Jamaa.